
PABLO:HATUNA PRESHA NA YANGA
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema wapinzani wao Yanga kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya nusu fainali haiwapi presha kwa kuwa wanaamini watafanya maandalizi mazuri. Zimebaki siku 7 kabla ya watani hawa wa jadi hawajakutana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mei 28. Pablo amesema kuwa anawatambua wachezaji wake namna…