
SIMBA WAJIVUNIA KUMLETA AZIZ KI BONGO
UONGOZI wa Simba umesema kuwa hauna hofu hata kama wakimkosa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas, Stephane Aziz Ki kwani wapo wachezaji bora na wazuri wengine katika timu hiyo. Simba wamejipongeza kwa kuwaleta wachezaji wazuri Bongo ikiwa ni pamoja na Aziz KI kwenye mechi za Kombe la Shirikisho, Uwanja wa Mkapa. Hiyo ikiwa ni siku chache…