WACHEZAJI STARS WAKATI MWINGINE KUJITOA
MCHEZO wa kwanza umekishwa na kila mmoja ameambulia maumivu hasa baada ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Uganda. Haikuwa siku nzuri kwa mashabiki na wachezaji pia kutokana na malengo ambayo walikuwa wanatarajia kushindwa kutimia. Uwanja wa Mkapa mbele ya mashabiki wao Stars ilikwama kuibuka na ushindi…