HUYU HAPA WINGA MKENYA WA SIMBA,YANGA YAFUATA BEKI GHANA
Simba wamepania,yashusha winga Mkenya Dar na unaambiwa Yanga yashituka yafuata beki Ghana ndani ya Championi Jumamosi
Simba wamepania,yashusha winga Mkenya Dar na unaambiwa Yanga yashituka yafuata beki Ghana ndani ya Championi Jumamosi
CRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa kesho watakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu dhidi ya Biashara United kwenye mchezo wa ligi ambao ni wa mzunguko wa pili
WAKATI wakijua kuwa wataachana na kiungo wao mkabaji, Taddeo Lwanga, uongozi wa Simba upo kwenye mawindo makali ya kumchukua kiungo Cedric Zemba Ekong raia wa Cameroon ili azibe pengo hilo. Simba wanataka kuliboresha eneo lao la ukabaji ambapo Ekong anayeitumikia Apejes FC ya kwao akifanywa kuwa chaguo namba moja. Kikosi hicho kwa msimu huu kimekuwa…
MABOSI wa Yanga wameiangalia ripoti ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi haraka wakachukua maamuzi magumu ya kumfuata beki Mghana, Mohammed Alhassani. Beki huyo anayemudu kucheza namba 4 na 5 anakipiga Klabu ya Heart of Oak inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana ambaye anakuja kuimarisha safu ya ulinzi. Nabi hivi karibuni alisitisha mpango wa kusajili…
JANA asubuhi sana Simba ilimshusha winga wa kimataifa raia wa Kenya, Harrison Mwendwa kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya kumsajili kuelekea katika msimu ujao. Simba tayari imefanikisha usajili wa kimyakimya wa wachezaji wanne pekee ambao ni Mzambia, Moses Phiri aliyetambulishwa tayari wengine Mnigeria Victor Akpan, Mghana Augustine Okrah na Nassoro Kapama. Timu hiyo inaendelea kufanya…
UWANJA wa Mkapa, kesho Juni 25,2022 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa hisani kati ya mabingwa wa Ligi ya Wanawake Tanzania, Simba Queens dhidi ya washindi wa nafasi ya pili Fountain Gate ambao ni mchezo wa hisani na timu zote zimeweka wazi kwamba zitatumia mchezo huo kutambulisha wachezaji wao wapya
NYOTA wa Biashara United, Ramadhan Chombo ‘Redondo’ ameweka wazi kuwa msimu ujao atakuwa nje ya Biashara United ambayo anaitumikia kwa sasa. Ikumbukwe kwamba nyota huyo amebakiza mechi mbili tu kuvua rasmi jezi ya timu hiyo baada ya kuivaa kwa misimu mitatu na msimu ujao hatakuwa katika kikosi hicho. Licha ya kushindwa kuweka wazi, atakuwa timu…
WINGA, Harrison Mwendwa ametua Dar es Salaam leo Juni 24 ambapo anatajwa kuwa amekuja kukamilisha suala la usajili wake na timu moja inayosiriki Ligi Kuu Bara. Winga huyo anatajwa kuingia kwenye rada za Azam FC,Yanga na Simba ambazo zinahitaji kuweza kupata saini yake kwa ajili ya msimu ujao wa 2022/23. Mguu wake wenye nguvu ni…
IKIWA imefanikisha lengo la kufuzu kushiriki Kombe la Dunia kwenye Kombe la Dunia kwa timu ya Wasichana ya Tanzania, U 17, Serengeti Girls kundi lao ni D. Timu hiyo imefanikisha malengo hayo kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-1 Cameroon ulioifanya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Bakari Shime kukamilisha lengo hilo Juni 5,mwaka huu….
KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ameweka wazi kuwa kazi kubwa ambayo wanaifanya uwanjani ni kusaka ushindi jambo linalowafanya wawe na furaha. Fei ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi amekuwa kwenye ubora kila awapo uwanjani. Kesho Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City na wanatarajiwa pia kukabidhiwa taji lao la…
BEKI kisiki wa Simba, jana Juni 23 2022 aliagwa rasmi kwenye kikosi hicho kwa kushuhudia ushindi wa mabao 2-0 kwa timu hiyo ambayo inacheza Ligi Kuu Bara. Ni mabao ya Pape Sakho dk ya 17 na Peter Banda dk ya 44 yalitosha kuipa pointi tatu Simba, kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Wawa ambaye amedumu…
MGHANA hatari kwa mabao rasmi Simba.mastaa wajazwa mamilioni kisa ubingwa Yanga ndani ya Championi Ijumaa
Baada ya kutajwa sana kutakiwa na kujiunga baadhi ya klabu za hapa nchini,kiungo Morlaye Sylla wa klabu ya Horoya amejiunga na klabu ya Arouca ya nchini Ureno.
IMEELEZWA kuwa, Simba ipo katika mazungumzo ya mwisho kwa ajili ya kumuachia mshambuliaji wake, Yusuph Mhilu kwenda Singida Big Stars. Mhilu ni kati ya washambuliaji waliosajiliwa na timu hiyo mwanzoni mwa msimu huu, kwa ajili ya kukiimarisha kikosi chao ambacho kimeshindwa kutetea mataji yake ya Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho la Azam Sports….
NA Hussein Msoleka MAISHA ya soka yana siri kubwa na changamoto nyingi, kuna wakati unaweza kutamani siku zirudi nyuma ili uweze kuona yale ambayo tuliyashuhudia huko nyuma. Hivi sasa hakuna ubishi wowote kuwa George Mpole ndiye mshambuliaji bora zaidi mzawa kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu. Tayari straika huyu wa Geita Gold FC amehusika kwenye…
YANGA SC wanataka kuzifundisha timu nyingine namna gani ya kushangilia ubingwa msimu huu, hiyo ni baada ya Msemaji wa Yanga, Haji Manara kuweka wazi kwamba wameagiza gari maalumu la kubeba wachezaji na kutembeza kombe lao. Manara anasema, basi ambalo wameagiza ni kama lile walilolitumia Real Madrid kushangilia ubingwa wao wa La Liga na Ligi ya…
Kiungo Rally Bwalya raia wa Zambia ametambulishwa rasmi kuwa Mchezaji wa Timu ya Amazulu ya Afrika Kusini akitokea Simba Bwalya amesema “Kujiunga na Amazulu kwangu ni mafanikio makubwa kwani nimekuwa nikiitazama na kuifuatilia kwa muda mrefu” Timu ya Amazulu imemaliza Msimu wa 2021/22 ikiwa nafasi ya 7 katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini kati ya…