MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
KLABU ya DTB inayoshiriki Championship leo Machi 5 imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu FC ya Mbeya. Ilikuwa ni mchezo mmoja wa kukata na shaka uliowakutanisha vigogo hawa wanaopewa nafasi kubwa ya kuweza kushiriki Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Bao pekee la ushindi lilifungwa na Ally Ally wa Ihefu ambaye ni…
KOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi amefurahia kurejea uwanjani mastaa wake wawili jambo linalomuongezea nguvu kuelekea mchezo wake dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa kesho. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana Jumapili hii katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kupigwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mastaa hao waliorejea katika…
LEO ni leo kwa Azam FC kusaka pointi tatu muhimu mbele ya Polisi Tanzania ambayo nayo inapiga hesabu ya kusepa na pointi hizo tatu. Ikumbukwe kwamba jana Polisi Tanzania wachezaji wote pamoja na viongozi wa timu hiyo waliweza kumtembelea mchezaji wao Gerald Mdamu ambaye alipata ajali na aliweza kuwapa ujumbe wa kuwaomba wachezaji wenzake wazidi…
NYOTA wawili wa Simba ambao ni Chris Mugalu na Kibu Dennis tayari wameanza mazoezi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Nyota hao ni mitambo ya kutengeneza mabao kutokana na kuwa na rekodi za kuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za mabao kwenye mechi ambazo wamecheza msimu wa 2021/22. Mugalu yeye ametengeneza…
JURGEN Klopp,Kocha Mkuu wa Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu England amethibitisha kwamba ataondoka ndani ya timu hiyo mkataba wake utakapomeguka 2024. Ameongeza kuwa anaweza kuamua kubaki hapo ikiwa tu ataona ana nguvu ya kuweza kuiongoza timu hiyo. Liverpool chini ya Klopp iliweza kuvunja mwiko wa kupitisha miaka 30 kusubiri taji la Ligi Kuu England akiwa amekaa…
MJUMBE wa Kamati ya Wazee ya Klabu ya Simba, Said Muchacho, amemuahidi kumpatia zawadi ya mbuzi mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele kama atafanikiwa kuifunga Simba katika michezo inayofuata ambayo watakutana. Ahadi hiyo imekuja ikiwa ni siku chache baada ya shabiki mmoja wa Yanga kutoka Morogoro kumpa Mayele ng’ombe baada ya kufunga bao dhidi ya Mtibwa…
Licha ya kuwa miongoni mwa kampuni kubwa ya burudani kule Ulaya Kusini mashariki, Meridianbet imekuwa ikifanya kazi nzuri kwenye nchi za Umoja wa Ulaya, Amerika ya Kusini na Afrika kwa zaidi ya miaka 10, hii ikiwa ni pamoja na kusaidia vilabu. Meridianbet ni mshirika wa michezo ya kubashiri kwa zaidi ya vilabu 20 vya…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
UWANJA wa Mkapa ubao umesoma Simba 3-0 Biashara United na kuwafanya Simba kuondoka na alama tatu mazima. Mabao yote yalipachikwa kipindi cha kwanza kwa upande wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Ni Pape Sakho alipachika bao dk ya 8 ,Mzamiru Yassin di 13 na Clatous Chama di ya 17. Majaribio ta Biashara United…
KAMPUNI ya mchezo ya kubahatisha ya M-BET Tanzania imezidi kumwaga fedha baada ya kumzawadia shabiki wa timu ya Yanga na Chelsea Peter Nangi kitita cha Sh milioni 50. Nangi ambaye ni mkazi wa Geita, ameshinda kiasi hicho cha fedha baada ya kubashiri kwa usahihi jumla ya michezo 12 ya mchezo wa kubahatisha wa Perfect12 wa kampuni ya M-Bet Tanzania. Mkurugenzi Masoko…
NI mzunguko wa pili unaendelea na mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa leo Machi 4,2022. Kagera Sugar v Namungo FC, Uwanja wa Kaitaba hii itapigwa saa 10:00 jioni. Simba SC v Biashara United, Uwanja wa Mkapa hii itapigwa saa 1:00. Kagera Sugar imetoka kupoteza mchezo wake mbele ya Yanga kwa kufungwa mabao 3-0 Uwanja wa Mkapa hivyo…
UONGOZI wa Yanga jioni ya Machi 3,2022 waliweza kumtembelea mtoto Ally Kimara maarufu kama Ally Yanga ambaye ni shabiki wa Yanga na mchezaji ambaye anampenda ni Fiston Mayele. Viongozi wa Yanga waliweza kufanya dua pia na Ally Yanga katika na kumuombea dua njema na kusema kuwa haitakuwa mwisho kutenda matendo ya huruma. Haji Manara, Ofisa…
NYOTA watatu wa kikosi cha kwanza cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco wanatarajiwa kuukosa mchezo wa leo wa ligi. Simba ikiwa nafasi ya tatu inatarajiwa kumenyana na Biashara United Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa ligi wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku. Kwa mujibu wa Pablo ni Aishi Manula ambaye…
MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
PABLO Franco Kocha Mkuu wa Simba ametenga siku mbili sawa na saa 48 za vijana wake kupata ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United ambao unatarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba Machi Mosi 2022 kikosi cha Simba kiliweza kurejea nchini baada ya kuwa Morocco kwenye mechi ya kimataifa na…