AZAM FC WAPITIA KIKOMBE CHA MATESO DK 270
KILE kikombe cha mateso ambacho wachezaji wa Simba walikuwa wanakipitia kwa muda wa dakika 270 bila kufunga kwenye mechi tatu mfululizo sasa kimebebwa jumlajumla na Azam FC. Ikumbukwe kwamba Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ilipitia msoto huo Januari 17,2022 iliponyooshwa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kisha kikombe kikaendelea mpaka Januari 22,2022 walipotoshana…