
BREAKING:AZAM FC YAACHANA NA MAKOCHA WAO
UONGOZI wa Azam FC umefikia makubaliano ya kuachana na makocha wao wawili kwenye majukumu ya kuinoa timu hiyo hivyo watabadilishiwa majukumu. Taarifa rasmi iliyotolewa na Azam FC imeeleza namna hii:”Tumefikia makubaliano ya pande mbili na kocha wetu, Abdihamid Moallin, na msaidizi wake, Omary Nasser, kuachia ngazi kama kocha mkuu na msaidizi mtawalia. “Hata hivyo, makocha…