
SAUTI:SIMBA KUFUMULIWA UPYA KABISA
ZORAN Maki, Kocha Mkuu wa Simba ameweka ayana kwamba atafanya marekebisho makubwa kwenye kikosi hicho hasa katika safu ya ulinzi ili kuweza kupunguza makosa ya kufungwa kwenye mechi ambazo watacheza
ZORAN Maki, Kocha Mkuu wa Simba ameweka ayana kwamba atafanya marekebisho makubwa kwenye kikosi hicho hasa katika safu ya ulinzi ili kuweza kupunguza makosa ya kufungwa kwenye mechi ambazo watacheza
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa kwa sasa hawana mpango wa kuweza kumsajili mchezaji mwingine wa kigeni kama ambavyo imekuwa ikielezwa. Jina la nyota Cesar Manzoki ambaye ni mali ya Vipers SC ya Uganda limekuwa likitajwa kuweza kumalizana na Yanga kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo msimu wa 2022/23. Pia mshambuliaji…
BOSI wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kuwa hatma ya mkataba wa winga wa timu hiyo Bukayo Saka itafahamika hivi karibuni. Saka amekuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Arsenal ambapo kocha wa timu hiyo anapambana kusuka kikosi upya. Winga huyo mkataba wake wa awali unamalizika Juni 2024 kikosini hapo. Timu za Manchester United, Manchester City na…
Jitihada za Muingereza Anthony Joshua kunyakua tena mataji ya uzito wa juu yaliyounganishwa ya dunia yalimalizika kwa mafadhaiko huku Oleksandr Usyk akitoa matokeo mazuri na kushinda kwa uamuzi wa uliowagawanya waamuzi huko Jeddah, Saudi Arabia. Katika pambano lililoitwa ‘Rage on the Red Sea’, Joshua aliyekuwa na ukakamavu, mwenye umri wa miaka 32, alionyesha nia ya…
Unapokuwa katika wakati mgumu, unafaa kuwa na matumaini kuwa kuwa jamii yetu ni bora sana, na changamoto zako sio za kwako peke yako. Andrew Rossi, alifarijika sana kuona nyuso za wana Meridianbet wakigonga hodi nyumbani kwake. Bwana Rossi, ana changamoto ya kiafya, ambayo alihitaji kiasi cha fedha kwa ajili ya vipimo vya afya na matibabu….
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa wamepoteza mchezo wao mbele ya Simba kutokana na makosa ambayo walifanya wachezaji wake huku akiwataja wachezaji wa Simba ikiwa ni pamoja na Clatous Chama kuwa ni moja ya viungo wazuri
KOCHA Mkuu wa Simba, Zoran Maki ameshangilia kwa furaha huku akibainisha wazi kuwa mshambuliaji wa timu hiyo Dejan Georgejivi ana uwezo mzuri katika kutimiza majukumu yake
AHMED Ally, Meneja wa Habari na Mawasiliano ndani ya kikosi cha Simba amefunguka kuhusu mzungu wa Simba, Dejan ambaye alifunga bao la kwanza kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa
BEKI Juma Makapu amefunguka sababu za kuondoka ndani ya Yanga huku akibainisha kwamba Ligi Kuu Bara ni ngumu
MZARAMO ambaye ni shabiki wa Simba amebainisha kuwa ikiwa mzungu wa Simba, Dejan Georgejivic akianza kikosi cha kwanza kabla Sakho,Chama hajachoka ataondoka na mpira kwa kuwa anaweza kufunga mabao matatu, mchezo wa kwanza kwa Dejan kufunga ilikuwa mbele ya Kagera Sugar wakati Simba ikishinda mabao 2-0, Uwanja wa Mkapa
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga alifunga msimu wa 2022/23 kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania mchezo uliochezwa Uwanja wa heikh Amri Abeid huku akibainisha kuwa tayari muunganiko kwenye kikosi hicho umeanza kupatikana.
MSHAMBULIAJI wa Tottenham, Harry Kane ameweka rekodi yake wakati timu hiyo ikishinda bao 1-0 dhidi ya Wolves kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa jana. Kane alivunja rekodi ya Aguero kwa kufikisha mabao 185 na kuwa mchezaji ambaye amefunga mabao mengi akiwa na timu moja ndani ya Ligi Kuu England. Nyota huyo amebeba tuzo ya…
MAJINA ya wachezaji wa timu ya Taifa ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya kujiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Mataifa Afrika, (CHAN) dhidi ya Uganda yameshawekwa wazi. Nyota 25 ambao wameitwa kazi yao kubwa ni kuweza kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa ili waweze kupata matokeo chanya katika mchezo huo. Imani kubwa ni kuona…
YANGA, Simba, shoo shoo, mido mpya kimeeleweka Simba SC, ndani ya Spoti Xtra Jumapili
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amesema kuwa wachezaji wake, Mghana Bernard Morrison na Mkongomani, Heritier Makambo, wana kazi maalum za kimbinu na kiufundi katika kikosi chake. Nabi amesema kuwa wachezaji hao anawatumia kama ‘Super Sub’ ambao kazi yao ni kwenda kuwazuia mabeki na viungo wakabaji wa timu pinzani kupanda. Nabi amesema kuwa anapenda…
SIMBA imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mabao ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki yamefungwa na Moses Phiri dakika ya 42 na bao la pili lilifungwa na Dejan dk ya 81. Simba inafikisha pointi 6 kibindoni baada ya kucheza mechi mbili…
MOSES Phiri amefunga bao la kuongoza kwa Simba kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar dk ya 42 kwa pigo la kichwa baada ya nyota Clatous Chama kupiga faulo iliyogonga mwamba. Mchezo huo ni wa kasi kubwa kwa timu zote kucheza kwa tahadhari kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Nyota wa Kagera Sugar, Apolinary ameonyeshwa kadi…