
KIUNGO TIMU YA TAIFA CHINI YA UANGALIZI MAALUMU
KIUNGO wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdul Suleiman, ‘Sopu’ yupo chini ya uangalizi wa madaktari ili kuweza kurejea kwenye ubora wake. Kiungo huyo ni mali ya Azam FC alipata maumivu akiwa na timu yake ya Azam baada ya kurejea kutoka Misri walipokuwa wameweka kambi. Kiungo huyo ni miongoni mwa nyota walioitwa na…