SIMBA QUEENS MABINGWA KIMATAIFA

BAADA ya ubao wa Uwanja wa Azam Complex kusoma She Corporate 0-1 Simba Queens katika Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake ukanda wa CECAFA Simba wanatangazwa kuwa mabingwa wa mashindano hayo. Bao pekee la ushindi kwa Simba lilijazwa kimiani na Vivian Corazona dakika ya 46 kwa mkwaju wa penalti. Dakika 45 za mchezo…

Read More

MAN UNITED YASHINDA,CR 7 KUSEPA

 MANCHESTER United imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa Uwanja wa St Mary’s. Kwenye mchezo wa leo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa bao la ushindi limefungwa na Bruno Fernades dakika ya 55. Ni mashuti 17 ambayo Southampton walipiga huku matano yakilenga lango na United ni mashuti 11…

Read More

NABI: MECHI ZA UGENINI ZILIKUWA NGUMU

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mechi za ugenini zilikuwa ni ngumu ila wanachofurahia ni kupata matokeo chanya. Mechi ya kwanza kwa msimu wa 2022/23 ilikuwa dhidi ya Polisi Tanzania ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ulisoma Polisi Tanzania 1-2 Yanga na ule wa pili ulisoma Coastal Union 0-2 Yanga. Kinara wa…

Read More

KIUNGO WA KAZI NGUMU SIMBA KUKOSEKANA MECHI MBILI

SADIO Kanoute, kiungo wa kazi ngumu ndani ya Simba hayupo na timu nchini Sudan kutokana na kupewa ruhusa maalumu kuelekea nchini Mali kushughulikia pasi yake ya kusafiria. Simba imeweka kambi kwa muda nchini Sudan ambapo wamealikwa kwenye mashindano maalumu yaliyoandaliwa na Klabu ya Al Hilal. Anatarajiwa kukosa mchezo wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko na…

Read More

AZAM FC KUKIWASHA NA TAIFA JANG’OMBE LEO

 BAADA ya Azam FC kukamilisha dakika 180 kwenye Ligi Kuu Bara na kusepa na pointi nne leo kikosi hicho kitakuwa Zanzibar. Mchezo wa kwanza wa ligi Azam FC iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar na iliambulia sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Geita Gold. Mechi zote hizo mbili zilichezwa Uwanja…

Read More

MAYELE ANATAKA TUZO LIGI KUU BARA

FISTON Mayele, mshambuliaji wa Yanga amebainisha kuwa malengo yake kwa msimu wa 2022/23 ni kutwaa kiatu cha ufungaji bora. Nyota huyo msimu wa 2021/22 kasi yake ya kutupia mabao iligotea kwenye namba 16 na pasi nne. Namba moja alikuwa ni staa wa Geita Gold, George Mpole ambaye alitupia mabao 17 na pasi nne za mabao….

Read More

SIMBA QUEENS KUSAKA UBINGWA KIMATAIFA LEO

SIMBA Queens leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya She Corporate ya Uganda kwenye mchezo wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ukanda wa Cecafa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Agosti 27 Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku na ikishinda itatwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza. Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian…

Read More

TENGENEZA MKWANJA KUPITIA MCHEZO WA FOXPOT

Zaidi unakuwa kwenye nafasi nzuri ya kushndinda Bonasi, Mizunguko ya bure na Jackpot kibao kwenye sloti ya Foxpot, na kasino ya Meridianbet. Fahamu Kuhusu Sloti ya Foxpot Unapoitazama sloti hii ya Foxpot, utashangazwa wapi hizi shilingi zinatoka. Jibu ni rahisi sana, sloti hii ya Foxpot inakujia na Jackpoti tatu kubwa na Mbweha akiwa kama alama…

Read More

MZEE WA KUCHETUA BM ZALI LAKE LIPO HAPA

KIUNGO mshambuliaji ndani ya kikosi cha Yanga, Bernard Morrison ana zali na Coastal Union akiwa na uzi wa timu mbili tofauti kwa kuwatungua bao lake la kwanza.  Raia huyo wa Ghana, msimu wa 2021/22 alikuwa akivaa uzi wenye rangi nyekundu na nyeupe alipokuwa ndani ya kikosi cha Simba na msimu huu wa 2022/23 uzi wake…

Read More

KOCHA YANGA AITAMANI REKODI YA SIMBA CAF

KOCHA wa makipa wa Yanga, Mbrazili, Milton Nienov, ameweka wazi kuwa, ndoto yake ni kuona anafikia rekodi aliyoiweka akiwa na Simba ya kufika angalau robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Mbrazili huyo ameweka wazi kuwa, wana nafasi kubwa ya kufikia mafanikio hayo kutokana na ubora wa kikosi walichonacho msimu huu. Katika michuano…

Read More

KIUNGO MNIGERIA MAMBO SAFI SIMBA, MWENYEWE AZUNGUMZA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mserbia, Zoran Maki, amebadili uamuzi na haraka amembakisha kiungo wake mkabaji, Mnigeria, Victor Akpan kwa ajili ya kuendelea kuicheza timu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku moja tangu kocha huyo achukue uamuzi wa kuwaacha nyota wake watatu ambao John Bocco, Nassoro Kapama na Akpan. Akpan ni kati ya wachezaji ambao awali waliondolewa…

Read More