Nafasi ya Kuwa Bingwa Ipo Meridianbet Leo

kucheza mechi nyingi za kirafiki. Lille kushinda mechi hii ana ODDS 1.60 kwa 4.80. Jisajili hapa. Huku Arsenal wao leo hii watapepetana dhidi ya Villarreal ya kule Hispania. Vijana wa Arteta wamefanya usajili mkubwa msimu huu na wanataka makombe makubwa hivyo ushindi kwao ni muhimu sana ili kujua wapi bado hapajakamilika. Bashiri mechi hii kwa ODDS 1.43 kwa 6.00….

Read More

MRITHI WA ZIMBWE JR ATAFUTWA

MRITHI wa kitambaa cha unadhoa ndani ya kikosi cha Simba SC kwa sasa anatafutwa mara baada ya beki huyo wa kushoto kutambulishwa Jangwani. Zimbwe Jr alikuwa nahodha wa Simba SC msimu wa 2024/25 mkataba wake ulipogota mwisho hakuongeza kandarasi nyingine hivyo katambulishwa Jangwani akiwa mchezaji huru. Inatajwa kuwa mabosi wa Simba SC na benchi la…

Read More

MOHAMED HUSSEN ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI

USIKU wa kuamkia Agosti 6 2025, Mohamed Hussen Zimbwe Jr aliyekuwa nahodha wa Simba SC 2024/25 ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Yanga SC. Zimbwe Jr beki wa kazi ndani ya Simba SC msimu wa 2024/25 upande wa kushoto alikuwa ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Fadlu Davids. Anatambulishwa Yanga SC akiwa mchezaji huru…

Read More

Shindano Jipya la Kasino, Ingia Ulimwenguni Wa Zombie Apocalypse

Meridianbet, kwa ushirikiano na Expanse Studios, wamezindua promosheni mpya ya kuvutia iitwayo Zombie Apocalypse, inayowaalika wachezaji kuingia katika ulimwengu wa kusisimua wa mapambano dhidi ya mazombi, huku wakifurahia burudani ya hali ya juu pamoja na fursa za kushinda za kipekee. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Agosti 2025, promosheni ya Zombie Apocalypse inawapa wachezaji changamoto ya kushiriki katika mchezo…

Read More

NANI KUCHUKUA TUZO YA MCHEZAJI EPL 2025/26?

Meridianbet inakuambia hivi, sasa unaweza kuweka jamvi lako kwa mchezaji ambaye unaona anaweza kushinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu sasa. ODDS zao zinaanzia 7.00 na kuendelea hivyo usipitwe na chaguo hili sasa. Suka mkeka wako wa ushindi hapa. Alexander Isak raia wa Sweeden anapewa nafasi ya 8 kuchukua tuzo hiyo. Toka ajiunge na Magpies…

Read More

BEKI WA KAZI MLIGO ATAMBULISHWA SIMBA SC

KOCHA Fadlu Davids alipomuona kijana kwenye majukumu yake inaelezwa kuwa akawaambia mabosi wa Simba SC anahitaji saini ya Antony Mligo aliyekuwa ndani ya Namungo FC. Haya ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ambapo Simba SC ilipishana na ubingwa msimu wa 2024/25 ulikwenda kwa watani zao wa jadi Yanga SC….

Read More

BEKI SIMBA SC AANZA KAZI UARABUNI

BAADA ya kutambulishwa katika Klabu ya USM Algers ya nchini Algeria beki Fondoh Che Malone ameanza mazoezi katika kikosi hicho. Beki huyo anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga ndani ya kikosi cha Simba SC kwenye mechi za ligi ilikuwa Uwanja wa KMC, Mwenge Dar. Katika mchezo huo Che Malone alifungua ukurasa wa mabao…

Read More

MSHAMBULIAJI WA MABAO YANGA SC AUZWA UARABUNI

INAELEZWA kuwa Yanga SC wamefikia makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wa mabao ndani ya kikosi hicho ambaye ni mzawa namba moja kufunga mabao mengi msimu wa 2024/25. Ni Clement Mzize ambaye alikuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Mzize anashikilia rekodi ya kucheza mechi zote 30 za ligi msimu uliopita. Mshambuliaji huyo alifunga jumla…

Read More

MERIDIANBET WAMKARIBISHA IMOON, MTOA HUDUMA MPYA MICHEZO YA KASINO MTANDAONI

Meridianbet wamewaletea wateja wao habari njema baada ya kumtambulisha rasmi mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino, iMoon Gaming, ambaye anachagiza mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya kasino mtandaoni. iMoon ni jukwaa la michezo lililojengwa kwa teknolojia ya kisasa likiwa limejikita kwenye utoaji wa michezo mirahisi na ya haraka huku ikiwa na burudani ya kutosha. Kipaumbele…

Read More