HAWA HAPA WAPINZANI WA YANGA SC KIMATAIFA

Kwene anga la kimataifa Yanga SC ya Tanzania katika anga la kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika imepangwa kucheza na Klabu ya Wiliete Benguela ya Angola. Ni katika droo ya hatua za awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika ambayo imechezwa Agosti 9 2025. Droo hiyo imefanyika katika studio za Azam TV,…

Read More

YANGA SC BADO WAPO SOKONI KUSAKA WACHEZAJI WAPYA

KAMA unadhani Yanga SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamemaliza usajili, bado kazi haijaisha kwa kuwa kuna wachezaji wengine wapya bado hawajatambulisha. Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa mara 31 wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC hii ni ligi namba nne kwa ubora Afrika.Ni pointi 82 Yanga SC ilikusanya baada ya mechi…

Read More

MSHAMBULIAJI MPYA SIMBA SC JONATHAN SOWAH ATUMA UJUMBE

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba SC 2025/26 Jonathan Sowah raia wa Ghana ametuma ujumbe kwa mashabiki kwa kubainisha kuwa watafurahi msimu mpya. Nyota huyo yupo kambini nchini Misri chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Sowah alitambulishwa ndani ya kikosi cha Simba SC akitokea Singida Black Stars. Msimu wa 2024/25 alifunga jumla ya magoli 13. Katika mabao…

Read More

YANGA SC KUWEKA KAMBI RWANDA

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC Yanga SC wanatarajiwa kuelekea Rwanda. Timu hiyo inaenda Rwanda kwa mualiko maalum kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Mchezo huo unatarajiwa kuwa dhidi ya kikosi cha Rayon Sports.  Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema: “Hivi karibuni tulizindua kampeni ya Tofali la ubingwa. Hii…

Read More

PLAYSION SHORT RACES, MCHEZO MWEPESI, ZAWADI KUBWA

Meridianbet imezindua tena burudani kali ya kasino mtandaoni, ni Playson Short Races, mashindano ya usiku yanayowasha moto kwa mashabiki wa michezo ya kubahatisha Tanzania. Kuanzia saa 4 usiku hadi saa 8:50 usiku, kila spini yako inaweza kukupandisha kileleni na kukupeleka kwenye ushindi wa mamilioni. Kila usiku, kuna mashindano 10 yanayoendeshwa kwa kasi, yakitoa nafasi ya…

Read More

YANGA SC WAPO KAZINI, KUMSHUSHA WINGA WA KAZI

KLABU ya Yanga ipo katika mazungumzo ya mwishoni katika kuipata saini ya winga wa Singida Black Stars, Edmund John ili awe sehemu ya kikosi hicho katika msimu ujao. Inadaiwa makubaliano binafsi kati ya mchezaji na Yanga tayari yamekamilika na mchezaji yupo tayari. Nyota huyo alikuwa tishio katika mchezo wa Nusu Fainali wa Kombe la CRDB…

Read More

YANGA SC NA HAIER FAMILIA, BILIONI 3.3 KUVUNWA

YANGA SC itavuna kiasi cha shilingi bilioni 3.3 kutokana na kuongeza mahusiano na kampuni ya Haier wakisaini mkataba wa miaka mitatu rasmi Agosti 7 2025 katika Hotel ya Hyatt Regency, Dar. Rais wa Yanga SC, Injinia Hersi Said amesema kuwa wana matumaini makubwa na mkataba huo kuwa ni faida kwa pande zote mbili kutokana na…

Read More