Simba SC vs Nsingizini Hotspurs matokeo yafutwa mazima

Simba SC vs Nsingizini Hotspurs uongozi wa timu hiyo umebainisha kwamba utaingia uwanjani kama tmu ambayo haijafunga hivyo ni sawa na kusema matokeo yafutwa mazima ili kuongeza ushindani kwenye mchezo huo wa marudio unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wa…

Read More

Kila Dakika ni Fursa ya Ushindi – Cheza Win&Go na Rejeshewa 10% Ukianguka!

Huu ni mwezi wa kujikusanyia pesa tu. Ukiwa na Meridianbet, jua umechagua kushinda kila siku, kwani wanahakikisha kila mwanafamilia wake ananufaika. Na sasa, wamezindua Win&Go, mchezo unaokupa fursa ya kushinda kila baada ya dakika tano. Zaidi ya hapo, unacheza bila hofu ya kupoteza kwani ukikosa, unarejeshewa 10% ya dau lako siku inayofuata. Wachezaji wote wanaoshiriki…

Read More

Hakim Ziyech Ajiunga Rasmi na Wydad Casablanca

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech, amefikia makubaliano ya kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kwa mujibu wa mwandishi maarufu wa masuala ya usajili, Fabrizio Romano, Ziyech amesaini kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Al-Duhail ya Qatar mwishoni mwa msimu uliopita. Ndani ya kikosi…

Read More

Meridianbet Yazindua Clash 4 Ca$h Tournament – Zawadi Zaidi ya TZS 1.5 Bilioni Kusubiri Washindi!

Wapenzi wa michezo ya kasino, habari njema imewasili kwenu. Meridianbet, kinara wa michezo ya kasino mtandaoni, imezindua Clash 4 Ca$h Tournament, mashindano makubwa zaidi kuwahi kutokea, yakibeba zawadi ya jumla ya zaidi ya TZS 1.5 Bilioni. Hii ni nafasi ya kipekee kwa wachezaji wote nchini kuonyesha uwezo wao kwenye michezo ya sloti na kuwania nafasi…

Read More

Yanga SC vs Silver Strikers hesabu zimeanza mapema

UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa unaamini utafanikiwa kuandika historia kwa kutinga hatua ya makundi kwa kupata ushindi kwenye mchezo ujao dhidi ya Silver Strikers. Ikumbukwe kwamba Oktoba 18, 2025 matokeo yalikuwa Yanga SC 0-1 Silver Strikers CAF Champions League mchezo uliochezwa Uwanja wa Bingu.  Goli la ushindi lilifungwa dakika ya 76 na Andulu Yosefe…

Read More

Live: Nsingizini Hotspurs 0-3 Simba SC

FT: Ligi ya Mabingwa Afrika:  Nsingizini Hotspurs 0-3 Simba SC Uwanja wa Somholo kuwania kufuzu hatua ya makundi. Magoli yamefungwa na Wilson Nangu dakika ya 45, Kibu Denis magoli mawili dakika ya 83 na 89. Zinaongezwa dakika 6 Gooooal Simba SC wanapata goli la tatu dakika ya 89 kupitia kwa Kibu Dennis akitumia pasi ya…

Read More

eal Madrid na Liverpool Moto Uleule! Bashiri Mechi Kali za Wikiendi

Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa Wikendi bila kubashiri na Meridianbet hainogi kabisa. Unajua ni kwanini?. Kwasasa mechi kibao zinatarajiwa kuendelea hivyo nafasi kubwa ya wewe kuondoka na mshindo ni kubwa pia. Jisajili na ubashiri sasa. BUNDESLIGA nayo itaendelea kwa michezo miwili, Freiburg atamleta kwake Eintracht Frankfurt ambao wametoka kupoteza mechi yao iliyopita, huku wenyeji…

Read More