
VIGOGO YANGA WAONGEZA NGUVU SUDAN, SIMBA YAIPA SOMO
VIGOGO wawili Yanga waongeza nguvu Sudan, ili kuifunga Al Hilal, Simba yaipa somo Yanga ndani ya Spoti Xtra Jumanne.
VIGOGO wawili Yanga waongeza nguvu Sudan, ili kuifunga Al Hilal, Simba yaipa somo Yanga ndani ya Spoti Xtra Jumanne.
BAADA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 1-1 Al Hilal mastaa wa Yanga wamerejea kambini na kuanza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao wa marudio. Mpango mpya kwa sasa ni kuwarejesha mastaa wote kwenye ubora wao na kufanyia kazi makosa ambayo walifanya mchezo uliopita Oktoba 8,2022. Jumapili ya Oktoba 16,2022 mchezo huo unatarajiwa…
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Azam FC baada ya kete yao ya kwanza kupoteza ugenini wanatarajiwa kurejea leo kuanza kujipanga upya. Juzi Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Mfaransa Denis Lavagne ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Martrys of February ukisoma Al Akhadar 3-0 Azam FC nchini Libya. Azam FC ina kibarua cha kusaka…
JANA kikosi cha Simba kiliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hii ni simulizi namna ilivyokuwa
Usiku wa deni hakawii kukucha, yes ukisema hivyo utakuwa hujakosea kabisa ni usiku wa deni kwenye Ligi ya Mabingwa wiki hii, ni mechi za marudiano kutafuta kufuzu hatua ya robo fainali. Mbungi litaanza usiku wa Jumanne ambapo macho ya wengi yatakuwa kwenye runinga, ni pale ambapo AC Milan watakapo wakaribisha Chelsea kutoka London, kwenye…
WALIMA Zabibu kutoka makao makuu ya Tanzania, Dodoma Jiji wamefikia makubaliano ya pande zote mbili kuvunja mkataba wa Masoud Djuma ambaye alikuwa ni kocha mkuu. Mbali na Djuma ni benchi lote la ufundi la timu hiyo limevunjwa kwa ajili ya kufanya maboresho upya. Ni Mohamed Muya huyu alikuwa ni kocha msaidizi ndani ya Dodoma Jiji…
KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Septemba ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Kiungo huyo ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Moses Phiri mshambuliaji wa Simba na Relliats Lusajo wa Namungo. Taarifa iliyotolewa na Kamati ya Tuzo ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) imeeleza kuwa mchezaji huyo alichaguliwa kutokana na kuonyesha uwezo…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata ugenini kwenye mchezo dhidi ya de Agosto ya Angola unatokana na jitihada za wachezaji pamoja na mipango ya Mungu. Kikosi cha Simba jana Oktoba 9,2022 kiliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo ambao walikuwa ugenini. Leo kikosi kimerejea kwa…
BAO la mapema Alex Iwobi ambalo alifunga dakika ya 5 halikutosha kuwapa pointi tatu mbele ya Man Chester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ni Antony aliweka usawa dakika ya 15 na kufanya ubao wa Uwanja wa Goodison Park kusoma Everton 1-1 United. Dakika ya 44 Cristiano Ronaldo alipachika bao la ushindi na kuifanya…
PASI milioni amsifia Chama, abainisha kuwa Juma Mgunda apewe timu
MASHABIKI wa Simba wameweka wazi kuwa kimataifa watafanya kazi kubwa kupata ushindi kwenye mechi za kimataifa
THIS is Simba, kwani nyie mnafeli wapi? Yanga SC inapenya Sudan ndani ya Championi Jumatatu
ARSENAL inazidi kujiimarisha kwenye nafasi ya kwanza baada ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Liverpool na kuifanya kuwa kwenye ubora wake chini ya Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Uwanja wa Emirates mapema kabisa katika dakika ya kwanza Gabriel Martinelli kisha misumari miwili ilipachikwa na Bukayo Saka dakika ya 45 na dakika ya 76 kwa mkwaju…
WAKIWA ugenini leo Oktoba 9,2022 Simba imeshinda kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Bao la mapema kwa Simba lilifungwa na Clatous Chama dakika ya 8 akitumia pasi ya Agustin Okra. Bao la pili ni mali ya Israel Mwenda ambaye ni beki alipachika bao hilo dakika…
BAO la Clatous Chama ni la kwanza kufungwa ugenini na dakika 45 zimekamilika de Agosto 0-1 Simba, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ni pasi ya Augustino Okra imetumika dakika ya 8 ikiwa ni mapema kabisa kwenye mchezo huo. Utulivu wa Chama umeipa uongozi Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda na msaidizi wake Seleman…
SIMBA leo ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto ya Angola, hiki hapa kikosi kinachotarajiwa kuanza
PSG wanatajwa kuwa kwenye hesabu za kuiwinda saini ya mshambuliaji wa Chelsea, Pierre Emerick Aubameyang. Ripoti kutoka Ufaransa zimeeleza habari hiyo kuhusu dili la staa huyo wa Chelsea. Auba alijiunga na Chelsea akitokea Barcelona kwa dili la pauni milioni 10 na amefunga mabao mawili kwenye mechi nne. Inaelezwa kuwa Auba yupo tayari kurejea Ufaransa kucheza…