
YANGA WAPANGUA FITINA ZA AL HILAL KIMATAIFA
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kikosi hicho kipo tayari kuwakabili wapinzani wao Al Hilal na watapokewa na Balozi wa Tanzania nchini Al Hilal
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kikosi hicho kipo tayari kuwakabili wapinzani wao Al Hilal na watapokewa na Balozi wa Tanzania nchini Al Hilal
KOCHA Mkuu wa Geita Gold, Felix Minziro amesema kuwa pointi moja ambayo wameipata ugenini ni muhimu kwao kwa kuwa wanazidi kujiamini kuelekea mechi zijazo. Ikiwa Uwanja wa Mkwakwani, Geita Gold ilishuhudia ubao ukisoma Coastal Union 0-0 Geita Gold baada ya dakika 90 kukamilika. Minziro amesema kuwa wanatambua walikuwa wanahitaji pointi tatu muhimu lakini wamepata moja…
KUTOKANA na kasi ambayo anakwenda nayo Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda mabosi wa timu hiyo wamebainisha kuwa wezo wake upo vizuri na hawakufanya makosa kumpa timu Mgunda akishirikiana na Seleman Matola ambaye ni msaidizi na wote ni wazawa
BAADA ya kichapo cha mabao 7-1 walichokitoa Liverpool kwa Rangers katika Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi kimemfanya Jurgen Klopp aamini kwamba watakuwa wanajiamini kuelekea mchezo wao dhidi ya Man City. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumapili unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki wa mpira kutokana na ushindani wa timu hizo mbili. Ni mabao matatu ambayo yalifungwa…
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kwa sasa kinaendelea na mazoezi kuelekea mchezo wao dhidi ya Waangola,unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 16,2022. Moses Phiri, Henock Inonga, Sadio Kanoute ni miongoni mwa wachezaji waliopo kwenye mazoezi
MSHAMBULIAJI Fiston Mayele kwenye anga za kimataifa ni mabao 7 katupia katika mechi tatu za ushindani ambazo Yanga imecheza. Mayele amefunga mabao hayo kwenye mchezo dhidi ya Zalan FC ya Sudan katika mechi mbili ni mabao sita aliwafunga, mchezo wa kwanza alifunga mabao matatu na ule wa pili alifunga mabao matatu. Yanga ilitinga raundi ya…
STAA wa Simba Moses Phiri kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika katika mechi tatu kacheka na nyavu mara nne wakati timu hiyo ikipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa. Alifunga kwenye mchezo dhidi ya Big Bullets kwenye hatua ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika mchezo wa kwanza alitupia bao moja ugenini na mchezo wa pili Uwanja wa Mkapa…
MISHENI inawezekana, Simba rasmi yampa timu Mgunda ndani ya Championi Ijumaa
Shughuli itaanzia Ijumaa kwenye epl ni Brentford watakipiga dhidi ya Brighton kwenye raundi ya 11, huku kwenye Ligue 1 raundi ya 11 itawakutanisha Strasbourg watakichafua na Lile halafu sasa Laliga mchezo wa raundi ya 9 itawakutanisha Vallecano dhidi ya Getafe. Meridianbet wamejipanga kumwaga mpunga kwako, tandika jamvi lako. Epl itakuwa na michezo 4 kwa…
Ndani ya siku ya 1 tu ya maonyesho ya siku kubwa ya michezo, Expance Studio, moja ya waendelezaji wakubwa kabisa wa michezo ya kasino, wamezindua sloti tatu mpya – Pirate’s Power, Magic Wheel na Fortune Farm!. Ni wakati wa kugundua uzuri wa Bahari ya Caribbean. Katika Nguvu ya Maharamia, unaweza kujishindia hadi x5000 ya dau…
BAADA ya kupoteza ugenini kwenye mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Akhadar ya Libya, Azam FC hesabu zao ni kupata matokeo nyumbani.Wakiwa ugenini walikubali kipigo cha mabao 3-0 jambo ambalo linawafanya wawe na kibarua cha kusaka ushindi wa zaidi ya mabao matatu bila kufungwa wakiwa Azam Complex. Kocha Mkuu wa Azam FC, Denis Lavagne ameweka…
UMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa mafanikio ambayo yanapatikana ndani ya timu hiyo ni kutokana na benchi la ufundi makini pamoja na ushirikiano kutoka kwa viongozi na mashabiki. Mgunda amekuwa na mwendo mzuri ndani ya Simba baada ya kupewa kibarua cha kuinoa timu hiyo ambapo mchezo wake wa kwanza ilikuwa dhidi ya…
MO awafanyia kufuru Phiri, Chama, Yanga SC yafyatua mitego Sudan ndani ya Spoti Xtra, Alhamisi.
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa una mpango wa kubadili mfumo wa ushangiliaji kimataifa watakapotinga hatua ya makundi, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa kila timu ambayo itafungwa na Simba itaitwa dhaifu kwani waliwafunga Al Ahly, Uwanja wa Mkapa watu wakasema pia huku akibainisha namna ambavyo walipata tabu kipindi cha pili.
VIUNGO wa Yanga ikiwa ni pamoja na Aziz KI, Feisal Salum, Bernard Morrison, Khalid Aucho wamepewa kazi maalumu kuelekea kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa nchini Sudan, Jumapili, Oktoba 16,2022 saa 2:00 usiku baada ya ule uliochezwa Uwanja wa Mkapa,ubao usoma Yanga 1-1 Al Hilal. Nasreddine…
TIMU ya taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17 leo Oktoba 12,2022 imepoteza mchezo wa kwanza kwenye Kombe la Dunia dhidi ya Japan. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Pandit Jawaharlal Nehru umesoma Japan 4-0 Tanzania. Shiragaki alifunga bao la ufunguzi kipindi cha kwanza na kufanya dakika 45 kukamilika Japan…
HUYU hapa shabiki wa Simba akizungumzia umuhimu wa mechi yao dhidi ya Al Hilal huku akimzungumzia Aziz KI wa Yanga pamoja na makosa ya Simba kwenye mchezo dhidi ya Jwaneng Galax