
VIDEO: WACHEKI YANGA NDANI YA SUDAN, MORRISON, MAKAMBO
WAWAKILISHI wa Tanzania Yanga wapo ndani ya Sudan ikiwa ni pamoja na Bernard Morrison, Heritier Makambo, Djuma Shaban, Kibwana Shomari, Tuisila Kisinda kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal unaotarajiwa kuchezwa leo.