NABI ISHU YAKE YA KUFUTWA KAZI IPO HIVI

 INAELEZWA kuwa Nasreddine Nabi amefikia makubaliano ya kuachana na Yanga kutokana na kushindwa kufikia malengo ambayo yalipangwa. Timu hiyo malengo makubwa ilikuwa ni kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika iligotea kwenye hatua za mtoano kwa kuodolewa kwa jumla ya mabao 2-1 dhidi ya Al Hilal. Mchezo wao wa ligi dhidi ya Simba ilikuwa…

Read More

MIKOBA YA LAVAGNE MIKONONI MWA ONGALA

KALI Ongala kocha wa washambuliaji Azam FC na Agrey Morris kocha mchezaji wamekabidhiwa timu hiyo kwa sasa kuelekea maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Ni Dennis Lavagne alikuwa kocha wa timu hiyo wamefikia makubaliano ya kuachana naye kwa kile kilichoelezwa kuwa hajafikia malengo ambayo walikuwa wamekubaliana. Ofisa Habari wa Azam FC,…

Read More

KMC HAWANA JAMBO DOGO, HIKI WANAKITAFUTA

 UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa unahitaji kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ulio mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. KMC chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery imekusanya pointi 13 baada ya kucheza mechi 8 za ligi, imeshinda tatu, sare nne na imepoteza mchezo mmoja ikiwa nafasi ya tatu.  Christina Mwagala, Ofisa…

Read More

DAKIKA 90 ZAKIBABE KARIAKOO DABI

DAKIKA 90 za Kariakoo Dabi kila mmoja kasepa na pointi moja baada ya sare ya kufungana bao 1-1 Uwanja wa Mkapa. Simba walianza dakika ya 14 kupitia kwa Augustino Okra ambaye alionyeshwa kadi ya njano na mwamuzi Ramadhan Kayoko kwa kosa la kushangilia akiwa amevua jezi. Ngoma iliwekwa usawa na Aziz KI kwa pigo huru…

Read More

MWAMUZI WA KADI NYEKUNDU, TUTA, KUAMUA YANGA V SIMBA

WATANI wa jadi Yanga na Simba wapo kwenye mtihani mzito kutokana na kupewa mwamuzi mwenye rekodi ya kutoa kadi za njano, nyekundu pamoja na penalti kwenye mechi ambazo alikuwa kati. Leo Uwanja wa Mkapa ulimwengu utashuhudia Kariakoo Dabi ambapo tayari waamuzi wameshatangazwa ikiwa ni pamoja na Ramadhan Kayoko atakayekuwa mwamuzi wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa Oktoba…

Read More

MDAKA MISHALE NA AIR MAULA KIMATAIFA WAMEKIMBIZANA

MDAKA mishale wa Yanga, Djigui Diarra, kwenye anga la kimataifa amekimbizwa na Aishi Manula maarufu Air Manula wa Simba. Katika mechi nne za Ligi ya Mabingwa Afrika ambazo Yanga na Simba zimecheza msimu huu, Diarra katunguliwa mabao mawili, huku akiwa na clean sheet mbili. Alifungwa bao mojamoja dhidi ya Al Hilal nyumbani na ugenini kwenye…

Read More

MABEKI YANGA KUMKAZIA MOSES PHIRI KWA MKAPA

MABEKI wa Yanga wameweka wazi kuwa hawatakubali kufanya makosa na kuwaruhusu washambuliaji wa Simba wakiongozwa na Moses Phiri kupata nafasi ya kuwafunga. Simba kwa sasa wanatamba na ubora wa mshambuliaji wao Moses Phiri ambaye ameifungia timu hiyo mabao 4 katika michezo 5 ya ligi kuu msimu huu, jambo ambalo ni tishio kuelekea mchezo wa leo…

Read More

SIMBA WABAINISHA WAMECHOKA KUFUNGWA NA YANGA

UONGOZI wa Klabu ya Simba, umekiri kuwa umechoka kufungwa na Yanga, na safari hii watapambana kuhakikisha kuwa wanaibuka na ushindi katika mchezo wa ligi kuu leo Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Simba wameshindwa kupata matokeo katika michezo minne iliyopita ambayo walikutana na Yanga, wakiambulia sare mbili na vipigo viwili, mmoja wakipoteza katika nusu fainali…

Read More

SERENGETI GIRLS WAPAMBANAJI WANASTAHILI PONGEZI

TIMU ya Taifa ya Wasichana ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Girls, jana Jumamosi iliyaaga mashindano ya Kombe la Dunia Wanawake U17 baada ya kuchapwa mabao 3-0 dhidi ya Colombia, lakini wametuhesimisha Watanzania. Kikosi hicho cha Bakari Shime, kilimaliza mechi hiyo ya robo fainali kikiwa tisa uwanjani kufuatia wachezaji wawili kuonyeshwa kadi nyekundu. Alianza…

Read More