
VIDEO: JEMBE:SIMBA WALIKUWA NA NAFASI YA KUSHINDA DHIDI YA YANGA
MKONGWE kwenye masuala ya uandishi wa Habari Saleh Jembe amesema kuwa wachezaji wa Simba walikuwa na nafasi ya kushinda huku mchezaji Okra akiwa ni mmoja ambaye amewanyima nafasi ya ushindi Oktoba 23,2022 na kufanya sare ya kufungana bao 1-1.