
SAUTI; MBINU ZA YANGA NNE HIZI HAPA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametaja mbinu nne ambazo atazitumia kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika kuwakabili Al Hilal
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametaja mbinu nne ambazo atazitumia kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika kuwakabili Al Hilal
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Vijana Chini ya Miaka 23, leo Septemba 24 kimeanza safari kuelekea Rwanda. Kinatarajiwa kucheza na Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa marudiano kuwania kufuzu AFCON. Mchezo wa kwanza uliochezwa jana Septemba 23, Uwanja wa Azam Complex ubao ulisoma Tanzania 0-0 Sudan Kusini. Hemed Morocco, Kocha Mkuu…
KIUNGO wa Yanga, Bernard Morrison amezidi kuwa imara hali yake na tayari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambao waligawana pointi mojamoja. Ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 2-2 Azam FC na Morrison aliyeyusha dakika 90 lakini…
MASAA machache yamesalia kutoka hivi sasa leo Jumamosi Septemba 24, 2022 mabondia Twaha Kiduku na Abdo Khaled raia wa Misri kupanda ulingoni kuwania mkanda wa UBO Intercontinental kutoka Mtwara Ubabe Ubabe linalotarajia kupigwa kwenye Uwanja wa Nangwanda wa Sijaona mkoani Mtwara. Kiduku na Khaled wa wamepima uzito na tayari kwa pambano hilo la uzani wa…
NABI ataka krosi,kona bao, Mgunda atenga dakika 180 Simba ndani a Championi Jumamosi
KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 23 leo Septemba 23 kimelazimisha suluhu dhidi ya Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON. Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo wageni Sudan Kusini walicheza kwa umakini wakitumia mbinu ya kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza. U 23 ilianza…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amesema yeye na wachezaji wenzake hawana presha kuhusu mchezo wa raundi ya pili ya mtoano dhidi ya Al Hilal ya Sudan Kaskazini. Mayele ametoa kauli hiyo kwa kujiamini akisema ni halali yao kuingia makundi katika michuano ya Kombe la Mabingwa Afrika kwani wana wachezaji wazuri na wanajiamini, hivyo hawana presha…
WINGA wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Ufaransa Ousmane Dembele amefunguka juu ya maumivu aliyoyapitia katika miaka yake mitano ya awali akiwa na kikosi chake cha Barcelona. Dembele ambaye kwa sasa yupo na kikosi cha Taifa cha Ufaransa kinachoshiriki michezo ya Uefa Nations amefunguka akidai kuwa miaka yake mitano ya awali akiwa…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wameona ubora wa wapinzani wao Al Hilal ya Sudan hivyo watafanya maandalizi mazuri kupata matokeo. Nabi amesema ameona ubora wa Al Hilal ambao ameuficha kwa kukataa kuuweka wazi kwa kuhofia wapinzani kushtuka, zaidi akipanga kukiimarisha zaidi kikosi chake ili kuhakikisha anapata ushindi nyumbani na ugenini. “Mimi ni…
KOCHA Mbrazili aibukia Simba,mastaa Yanga waiapia Al Hilal ndani ya Championi Ijumaa
MECHI mbili za kirafiki watacheza wakiwa Zanzibar watanza na Kipanga, Septemba 25 na Septemba 28 watacheza dhidi ya Malindi. Mechi hizi za kirafiki ni kutokana na mwaliko ambao wameupata kutoka Shirikisho la Soka la Zanzibar, (ZFF). Meneja wa Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mechi zote zitachezwa saa moja usiku na itakuwa…
Baada ya Ligi nyingi kusimama sasa moto umehamia kwenye michezo ya kimataifa ya kirafiki. Mataifa ya Ulaya yatakuwa uwanjani kuhakikisha heshima ya nchi inasimama na mashabiki wanapata burudani ya soka safi, Meridianbet hawajakusahau wanamtonyo wako. Macho ya wapenzi wa soka hayatakuwa na ukungu usiku wa Alhamisi, wakati kijana wa Kifaransa Kylian Mbappe akiwa mstari…
HAYA hapa mabadiliko ya ratiba ya mechi za Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 Mchezo nambari 35 Kati ya KMC FC dhidi ya Mtibwa Sugar FC uliopangwa kuchezwa Septemba 27, 2022 saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru, Dar, utachezwa Octoba 15, 2022. Mchezo nambari 33 Kati ya Ruvu Shooting FC dhidi ya Coastal Union FC…
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars,Honour Janza, amesema kuwa mechi za kirafiki za kimataifa zilzio kwenye Kalenda ya FIFA zitampa mwanga wa kusuka kikosi imara kwa ajili ya ushindani. Stars inatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Uganda na Libya na zitachezwa nchini Libya na tayari kikosi hicho kimeshatua nchini…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa anawafahamu wapinzani wake kimataifa Al Hilal watajipanga kupata matokeo chanya
MCHAMBUZI wa masuala ya mpira Bongo,Ahmed Abdalla amewachambua wapinzani wa Simba kimataifa
KOCHA Mkuu wa Azam FC Denis Jean Lavagne ameweka wazi kuwa mchezo wao wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya TP Mazembe utampa nafasi ya kuwajua wachezaji wake kwa ukaribu. Wachezaji 20 wa Azam FC wanatarajiwa kukwea pipa leo kuelekea Zambia kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya TP Mazembe. “Mazoezi ni mazuri…