
VIDEO: CHEKI TIZI LA WAPINZANI WA SIMBA, de AGOSTO
WAPINZANI wa Simba kimataifa de Agosto kutoka Angola leo Oktoba 15,2022 wamefanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 Uwanja wa Mkapa
WAPINZANI wa Simba kimataifa de Agosto kutoka Angola leo Oktoba 15,2022 wamefanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 Uwanja wa Mkapa
MATOKEO ya mechi za Ligi Kuu Bara leo Oktoba 15,2022 yapo namna hii:- KMC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro, mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Ni mabao ya Irahim Ame dakika ya 39 na Emmanuel Mvuyekule dakika ya 58. Kwa upande wa bao la Mtibwa Sugar mtupiaji ni Charlse…
Toleo la hivi karibuni zaidi la Maonesho ya Kimataifa ya Michezo ya Kubahatisha (G2E) limekuwa na mafanikio makubwa. \Wakati huu umekuwa pia ni wakati wa mafanikio makubwa ya Expanse Studio, mojawapo ya waandaaji na wasambazaji wa michezo ya kasino mtandaoni wanaokuwa kwa kasi zaidi. Expanse Studios walirejea kwenye jukwaa kuu na kuwasilisha matoleo yake mapya…
Oktoba 14 siku ya kumbukizi ya Kifo cha aliyekuwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Kampuni ya Meridianbet wameweza kutoa Aprons zaidi ya 300 kwa wafanyabiashara hasa baba lishe na mama lishe katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar- es salaam ikiwemo maeneo ya Makumbusho, Magomeni pamoja na eneno la Muhimbili. Kama ilivyo kawaida ya…
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 baada ya ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Yanga 1-1 Al Hilal. Alfajiri ya leo Oktoba 15,2022 kikosi cha Yanga kinachonolewa…
FEI Toto gumzo kila kona Sudan, Simba tunatinga makundi kwa kishindo ndani ya Championi Jumamosi.
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa ukweli mchungu kwa timu hiyo kushindwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika jambo ambalo linawafanya wawafuate wapinzani wao wakiwa wanahitaji ushindi ndani ya dakika 90 bila hofu. Kamwe amebainisha kuwa kuna wachezaji watatu ambao watakosekana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Sudan, Oktoba 16,2022
MCONGO wa Simba amesema kuwa kimtazamo Simba imefanikiwa kupita hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kuwa ndani ya hatua ya makundi lakini bado mpira unaendelea na hawatarudia makosa ambayo waliyafanya kimataifa dhidi ya Jwaneng Galaxy kwa kuwa kwa sasa wamefanya usajili mzuri
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Al Hilal unatarajiwa kuwa na ugumu kutokana na kushindwa kutumia nafasi ambazo walipata kwenye mchezo uliopita na inatarajiwa kuwa na mabadiliko kwenye kikosi hicho
KIKOSI cha Polisi Tanzania kimeadhibiwa na nyota wa Polisi Tanzania ambao walikuwa kwenye kikosi hicho kwa nyakati taofauti na sasa wanapata changamoto mpya ndani ya Mbeya City. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, baada ya dakika 90, ubao umesoma Mbeya City 3-1 Polisi Tanzania. Ni mabao ya Hassan Nassoro dakika ya…
KIMTINDO Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ametupa dongo kwa watani zao wa jadi akibainisha kuwa mud mrefu hawajatinga hatua ya makundi na wameshatolewa, pia amesema wale waliokuwa wanabeza kuhusu usajili waliofnya hawajui mpira kwani wao waliwaacha waongee na muda sasa unazungumza
KIKOSI cha Yanga alfajiri ya Oktoba 15,2022 wanatarajia kukwea pipa kuelekea nchini Sudan kwa ajili kuwakabili Al Hilal, Jumapili. Hiki hapa kikosi kazi cha Yanga kinachotarajia kuibukia nchini Sudan:- Makipa ni Aboutwalib Mshery Djigui Diarra Eric Johora Mabeki Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Dickson Job Ibrahm Abdullah, (Bacca) Djuma Shaban Kibwana Shomari Mutambala Lomalisa David Bryson…
KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba v de Agosto hamasa imeendelea kwa mashabiki kukumbushana kuwa wana kazi ya kupata ushindi dhidi ya de Agosto
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kikosi hicho kipo tayari kuwakabili wapinzani wao Al Hilal na watapokewa na Balozi wa Tanzania nchini Al Hilal
KOCHA Mkuu wa Geita Gold, Felix Minziro amesema kuwa pointi moja ambayo wameipata ugenini ni muhimu kwao kwa kuwa wanazidi kujiamini kuelekea mechi zijazo. Ikiwa Uwanja wa Mkwakwani, Geita Gold ilishuhudia ubao ukisoma Coastal Union 0-0 Geita Gold baada ya dakika 90 kukamilika. Minziro amesema kuwa wanatambua walikuwa wanahitaji pointi tatu muhimu lakini wamepata moja…
KUTOKANA na kasi ambayo anakwenda nayo Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda mabosi wa timu hiyo wamebainisha kuwa wezo wake upo vizuri na hawakufanya makosa kumpa timu Mgunda akishirikiana na Seleman Matola ambaye ni msaidizi na wote ni wazawa
BAADA ya kichapo cha mabao 7-1 walichokitoa Liverpool kwa Rangers katika Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi kimemfanya Jurgen Klopp aamini kwamba watakuwa wanajiamini kuelekea mchezo wao dhidi ya Man City. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumapili unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki wa mpira kutokana na ushindani wa timu hizo mbili. Ni mabao matatu ambayo yalifungwa…