UKIWA NA MERIDIANBET UNAKOSAJE MPUNGA?

Mechi mbalimbali kupigwa huku timu hizo kugombea pointi tatu leo. Je wewe beti yako unaiweka wapi kwenye mechi hizo?. Ingia meridianbet sasa na uanze kusuka mkeka wako, Leo Simba, Chelsea, Juventus uwanjani. Sasa unakosaje pesa hapo?. Pale Italia, SERIE A leo hii vijana wa Allegri Juventus watazipiga dhidi ya Udinese Calcio katika dimba la Allianz…

Read More

SIMBA YAIVUTIA KASI AL HILAL KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa maandalizi ya mchezo wao wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal yamekamilika kwa asilimia kubwa na kilichopo kwa sasa ni maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo unaosubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa wachezaji ambao walikuwa wamepewa mapumziko…

Read More

MABINGWA WATETEZI SENEGAL WAMEUMALIZA MWENDO

HATIMAYE bingwa mtetezi Senegal katika Kombe la Mataifa Afrika mwendo ameumaliza kwa kufungashiwa virago na Ivory Coast. Senegal walikuwa ni mabingwa wa 2022 wa AFCON safari yao imegota mwisho baada ya kupoteza mbele ya Ivory Coast kwenye mchezo ambao walikuwa wakipewa nafasi kubwa ya kusonga hatua inayofuata. Ilikuwa ni hatua ya 16wanaishia wakikwama kutinga robo…

Read More

SENEGAL V MISRI FAINALI NGOMA NZITO

ZILIANZA kumeguka dakika 45 kwa miamba miwili Senegal v Mali kutofungana katika mchezo wa fainali ya AFCON 2021 nchini Cameroon. Katika dakika ya 2, Senegal walipata penalti ikapigwa na Sadio Mane na kipa wa Misri aliweza kuipangua baada ya kupewa maujuzi kutoka kwa Mohamed Salah. Zikameguka dakika 90 ngoma ikawa Senegal 0-0 Misri na hata…

Read More

YANGA YAMALIZANA NA JEMBE HILI LA KAZI

KLABU ya Yanga imemtambulisha rasmi nyota Ibrahim Bacca kuwa ni njano na kijani kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu wa 2021/22. Nyota huyo wa zamani wa KMKM,Malindi na Taifa Jang’ombe sasa atakuwa ndani ya Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Anaungana na Salim Aboubakhari, ‘Sure Boy’,Dennis Nkane,Aboutwalib Mshery ambao ni nyota…

Read More

NABI:TUTASHINDA MBELE YA PRISONS

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanaga amesema kuwa kuelekea mchezo wao wa ligi dhidi ya Tanzania Prisons wanaamini kwamba watashinda. Leo Mei 9, vinara hao wa ligi wanatarajia kusaka pointi tatu mbele ya Prisons ambao nao wanahitaji pointi hizo, Uwanja wa Mkapa. Maandalizi ya mwisho ameweka wazi kwamba yamekamilika na miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa…

Read More

YANGA:HATUNA MASHAKA KIMATAIFA, TUPO TAYARI

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kuwa hawana mashaka na hatua ya robo fainali waliyofikia zaidi ni hesabu kwenye mechi za hatua hiyo kupata matokeo chanya. Yanga imakamilisha kundi D ikiwa ni namba moja kibindoni ilikusanya pointi 13 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 9. Inakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Rivers…

Read More

SIMBA:TUTAJARIBU KUSHINDA LEO KIMATAIFA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa leo watajaribu kushinda mbele ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. Saa 1:00 usiku, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ambao ni Simba wana kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Orlando Pirates. Huu ni mchezo wa hatua ya robo fainali ukiwa ni wa pili baada…

Read More

MABOSI HAWA WATAKA KUWA WAMILIKI WA CHELSEA

BINGWA wa Dunia mara 7 katika mashindano ya uendeshaji wa magari ya Langalanga maarufu kama Formula 1 Sir Lewis Hamilton pamoja na Bingwa namba moja katika mchezo wa tenesi kwa wanawake Serena Williams kwa pamoja wameweka kitita cha Paundi milioni 20 ili kuwa wamiliki wapya wa Klabu ya Chelsea. Wanamichezo hao maarufu wameingia ubia kwa…

Read More

MASTAA SIMBA WAJAZWA NOTI MAPEMAAA

WACHEZAJI wa Simba washindwe wao tu sasa hivi hiyo ni baada ya kuhakikishiwa kupewa pesa ya maana katika michezo miwili ya robo fainali ya AFL dhidi ya Al Ahly. Simba Oktoba 20 wanatarajiwa kukipiga dhidi ya Al Ahly katika mchezo wa kwanza wa michuano hiyo ya AFL dhidi ya Ahly utakaofanyika katika Uwanja wa Mkapa,…

Read More

GAMONDI AMKOMALIA JOB

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa ni lazima safu yake ya ulinzi kuhakikisha inakuwa kwenye mwendo bora kila wakati katika mechi za ushindani ili kuongeza nguvu ya kupata ushindi. Katika safu ya ulinzi ya Yanga chaguo namba moja kwa Gamondi ni Dickson Job beki mwenye rekodi ya kuwa mfungaji wa bao la…

Read More

MUDA MKALI WA MABAO YA USIKU YANGA

KWENYE mechi ngumu ambazo wapinzani wa Yanga walikuwa wakicheza kwa kujilinda zaidi, kiungo Mudathir Yahya alikuwa ni mkali wa kutibua mipango hiyo na kuipa timu hiyo pointi tatu mazima Uwanja wa Azam Complex. Ikumbukwe kwamba Yanga ilipata sare yake ya kwanza msimu wa 2023/23 Februari 2 ubao wa Uwanja wa Kaitaba uliposoma Kagera Sugar 0-0…

Read More