KOCHA SIMBA AWAAMBIA WASAJILI KIUNGO

ALIYEKUWA Kocha wa Viungo wa Simba, Mtunisia, Adel Zrane, amefunguka kuwa anaamini kama Simba inahitaji kutetea ubingwa wake msimu huu, basi ni lazima wahakikishe wanavunja benki kwenye dirisha dogo la usajili na kuongeza angalau kiungo mchezeshaji mmoja mwenye uwezo mkubwa.   Zrane, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes na aliyekuwa kocha wa makipa, Milton Nienov Oktoba 26, mwaka huu…

Read More

JASHO LILIWAVUJA SIMBA DHIDI YA WYDAD

ILIKUWA roho ya mnyama kwenye ardhi ya Bongo wakati wakipambana na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Wydad Casablanca. Weka kando kutokuwepo kwa kipa namba moja Aishi Manula kutokana na kutokuwa fiti bado ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-0 Wydad Casablanca. Kazi haijaisha ugenini hatma ya Simba itajulikana ila hapa tunakudondoshea namna…

Read More

SIMBA INAFIKIRIA BADO UBINGWA WA LIGI

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba hesabu zao bado zipo palepale kufanya vizuri kwenye mechi zao kwa kuwa bado kuna nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi. Simba ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo ikiwa na pointi 45 baada ya kucheza mechi 19 vinara ni Yanga wenye pointi 52. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed…

Read More

AZAM FC YAMALIZWA KIMKAKATI NA YANGA

MABOSI wa Yanga wamebainisha kwamba mkakati wa kuimaliza Azam FC ulishachorwa Songea kwa kuwa walipata muda wa kuitazama timu hiyo ilipocheza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Azam FC jana ilipoteza mchezo wake wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Pyramids FC kwa kufungwa bao 1-0. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kaimu Mtendaji…

Read More

NYOTA HAWA WA SIMBA KUIKOSA MECHI YA KIMATAIFA KWA MKAPA

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco Martín amesema kuwa Katika mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) dhidi ya ASEC Mimosas watawakosa nyota wao watano kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo majeruhi. Wachezaji hao ni mshambuliaji Chris Mugalu  ambaye amevunjika mkono hivyo hatahusika katika mchezo huo, Kibu Denis  ambaye anatarajiwa kuanza mazoezi mepesi. Pia…

Read More

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond Desemba 8 ina kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana. Ni Joyce Lomalisa huenda akakosekana baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Gamondi ameweka wazi kuwa kuna nyota wawili ambao watabeba mikoba…

Read More

YANGA :TUNAHITAJI MAOMBI KIMATAIFA

IKIWA leo inatarajiwa kutupa kete yake ya tatu kimataifa dhidi ya Real Bamako mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika benchi la ufundi limeomba dua kutoka kwa Watanzania. Yanga ipo nafasi ya pili kwenye kundi D baada ya kucheza mechi mbili imekusanya pointi tatu sawa na TP Mazembe wakiwa tofauti kwenye mabao ya kufunga na kufungana….

Read More

Bashiri na Meridianbet Mechi za Leo

Wikendi inaanza Ijumaa ye leo ambapo ligi mbalimbali zinatarajiwa kupigwa kuanzia kule Ujerumani mpaka Italia huku meridianbet wakikupa nafasi kubwa za kupiga maokoto ukisuka jamvi lako na kubashiri nao. Ingia sasa meridianbet ushinde pesa. Leo SERIE A saa 1:30 kutakuwa na mtanange mzito kabisa kati ya Genoa dhidi ya Lazio ambaye yupo nafasi ya 7…

Read More

WAWAKILISHI WA TANZANIA KIMATAIFA MUHIMU KUJITOA

WAWAKILISHI wa kimataifa leo wanatarajiwa kutupa ket zao kwenye mechi za awali kusaka ushindi ndani ya dakika 90 za awali kabla ya nyingine tena. Yanga wao watakuwa ugenini wakicheza na Zalan FC ya Sudan Uwanja wa Mkapa, Simba itakuwa ugenini kucheza dhidi ya Big Bullets na KMKM wao watakuwa ugenini dhidi ya Al Ahly Tripol….

Read More