SIMBA KAMILI KUWAVAA WAARABU KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba wameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wao wa hatua ya makundi dhidi ya wapinzani wao SC Sfaxine utakaopigwa nchini Tunisia. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo waliokutana Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 Simba walishinda kwa mabao 2-1 na mtupiaji alikuwa mkandaji Kibu Dennis ambaye yupo…

Read More

ZAMU YA BRAZIL IMEFIKA

Zamu ya Brazil imefika ndivyo ambavyo unaweza kusema kwani kampuni ya Meridianbet ambayo inajihusisha na michezo ya ubashiri duniani ambayo ni sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI) wamefanikiwa kufungua tawi jipya nchini Brazil ambapo watakua wakiendesha shughuli zao za michezo hiyo kama wanavyofanya sehemu nyingine. Ni furaha kubwa sana kwa mabingwa hao wakongwe wa…

Read More

HII HAPA RATIBA YA SIMBA KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika anga la kimataifa Simba kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wanakete zao kusaka pointi tatu muhimu. Simba kutoka ligi namba sita kwa ubora Afrika katika Ligi Kuu Bara wanaongoza wakiwa na pointi 40 baada ya kucheza mechi 15. Januari 5 itakuwa SC Sfaxine v Simba, ngoma itapigwa saa 1:00 usiku itakuwa 2025,…

Read More

HII HAPA RATIBA YA YANGA KIMATAIFA

KUTOKA Ligi Kuu Bara namba 6 kwa ubora Afrika, Yanga inaoeperusha bendera katika Ligi ya Mabingwa Afrika na itakuwa na kete 3 2025 kusaka nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Ni Januari 4 2025 dhidi ya TP Mazembe, Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jioni katika mchezo uliopita walipokutana Yanga iligawana pointi moja na miamba…

Read More

Desemba ya Mwisho Hii Chukua Mzigo Wako

Jumatatu ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na ligi kuu ya Uingereza EPL leo hii mechi nyingine za pesa kupigwa Ipswich atakipiga dhidi ya Chelsea ya Enzo Maresca ambao mechi mbili zilizopita…

Read More

HAWA HAPA NI NAMBA MOJA KWENYE LIGI BORA AFRIKA

KWENYE ligi namba sita kwa ubora Afrika, kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa pasi za mwisho akiwa nazo 9 na katupia mabao manne. Ipo wazi kuwa Azam FC wnatumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani wamekuwa kwenye ubora wao katika mechi za hivi karibuni na walipokamilisha mechi 15 walikuwa…

Read More

SIMBA IMEPOTEZWA HAPA NA YANGA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Simba wamepotezwa na Yanga kwenye upande wa mabao ya kufunga ambapo wameachwa kwa bao moja tu baada ya wote kucheza mechi 15. Katika mechi tano za Sead Ramovic kwenye ligi ni mabao 18 Yanga imefunga huku ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya…

Read More

YANGA SIO KINYONGE KUIKABILI FOUNTAIN GATE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa matokeo waliyopata nyuma hawatayaangalia badala yake watapambana kupata pointi tatu mbele ya Fountain Gate. Yanga Desemba 29 2024 inatarajiwa kucheza mchezo wa ligi dhidi ya Fountain Gate, Uwanja wa KMC na mchezouliopita walishinda ugenini Dodoma Jiji 0-4 Yanga. Ni pointi 36 Yanga imekusanya baada ya mechi 14…

Read More

ARSENAL IMEKWEA MPAKA NAFASI YA PILI

Arsenal imekwea mpaka nafasi ya pili kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Ipswich Town katika dimba la Emirates huku iikiporomosha Chelsea mpaka nafasi ya tatu. Washika Mitutu wamefikisha pointi 36 baada ya mechi 18, alama 6 nyuma ya vinara, Liverpool ambao wamecheza mechi moja pungufu. FT: Arsenal 1-0 Ipswich ⚽ 23’ Havertz

Read More