
AZAM FC KAMILI KUIVAA SIMBA KWA MKAPA
KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala kipo tayari kuelekea mchezo wake ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 21,Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Ni Azam FC waliitungua Simba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza kwa bao 1-0 huku mtupiaji akiwa…