
VIDEO:YANGA YAWAITA MASHABIKI KWA MKAPA KUONA PIRA SUKARI
PRIVALDINHO awaita mashabiki kwa Mkapa kuona pira full shangwe na pira sukari
PRIVALDINHO awaita mashabiki kwa Mkapa kuona pira full shangwe na pira sukari
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Adel Amrouche kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa, Taifa Stars. Amrouche ni raia wa Ubelgiji mwenye asili ya Algeria, ana uzoefu mkubwa wa soka la Afrika. Amewahi kufundisha ukanda wa Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja na Kenya pamoja na Ukanda wa Kusini Mashariki, Kati na Kaskazini. Amewahi kuwa…
WAKIWA Uwanja wa Manungu, Mtibwa Sugar wamekata tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Azam Sports Federation. Ni ushindi wa bao 1-0 ambao walipata huku mtupiaji akiwa ni David Kameta, ‘Duchu’ dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti uliowandoa mazima KMC kwenye mashindano. KMC hawana bahati pia kwenye mashindano haya kwa kuwa…
KIKOSI cha Namungo kwa sasa kipo kwenye maandalizi ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo ni wa mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa Machi 11, Uwanja wa Majaliwa, Lindi. Wachezaji wa timu hiyo wanaendelea na mazoezi kuikaili Prisons yeye maskani yake Mbeya. Miongoni mwa mastaa hao ni pamoja na Shiza…
NABI afichua siri 2 Yanga,Simba yaivaa Vipers kininja ndani ya Spoti Xtra Jumapili
LICHA ya Bournermouth kuanza kwa kasi kuliandama lango la Arsenal na kupata mabao ya kuongoza kila kipindi. Bao la mapema lilifungwa dakika ya kwanza na Philip Billing na bao la pili lilifungwa na Marcus Senesi dakika ya 51. Mwisho ubao ulisoma Arsenal 3-2 Bournemouth ambapo ni mabao ya Thomes Partey dakika ya 62, Ben White…
KILE chumba cha mafanikio kilichokuwa kina giza totoro mwanzo mwisho angalau sasa mwanga umeanza kupenya huku ile dhahabu ikianza kupata moto. Ni wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika walifanikiwa kupata ushindi ugenini baada ya ubao kusoma Vipers 0-1 Simba, Februari 25,2023 Uwanja wa St Mary’s, hapa tunakuletea kazi ilivyokuwa namna hii:- Aishi Manula…
MABEKI wawili kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara wanaongoza kwa pasi ndefu za uhakika kwenye mechi za ligi. Nyota hawa wamekuwa wakifanya hivyo kwenye mechi ambazo wanacheza jambo ambalo linaongeza nguvu kwa timu hizo kufanya mashambulizi kuanzia nyuma kwenda mbele. Pia wamekuwa wakiweka uimara kwenye lango lao ndani ya dakika 90 kwenye kutimiza majukumu…
SIMBA yazungumzia husuda za watani zao wa jadi
JEMBE afungukia sakata la kesi ya nyota wa Yanga, azungumzia masuala ya familia
Fei Toto akutana na nyundo tano, Mbrazil ataja namna watakavyoimaliza Vipers ndani ya Championi Jumamosi
Meridianbet wanakuita wewe mteja ambao umekua ukibashiri na mabingwa hawa wa michezo ya kubashiri muweze kushinda kwa pamoja, Kwani wikiendi hii meridianbet wameweka odds bomba katika michezo tofauti tofauti itakayokwenda kupigwa. Bashiri na meridianbet ushinde Michezo ya Jumamosi Machi 4 Baada ya kupata matokeo ya ushindi mchezo uliopita klabu ya Manchester City watakua nyumbani kuwakaribisha…
MABINGWA watetezi wa Kombe la Azan Sports Federation, Yanga wamepenya hatua ya robo fainali baada ya kupata ushindi leo Machi 3,2023. Uwanja wa Azam Complex umesoma Yanga 4-1 Tanzania Prisons ambapo mabao yote yamefungwa kipindi cha pili. Ni Bakari Mwamnyeto alifungua ukurasa wa mabao dakika ya 51 kisha likawekwa usawa na Jeremiah Juma dakika ya…
MAPEMA leo kwenye mechi za hatua ya 16 bora Kombe la Azam Sports Federation Geita Gold walikata tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali. Ni ushindi wa mabao 3-1 wameupata dhidi ya Green Warriors kwenye mchezo huo. Geita Gold imeweka wazi kuwa hesabu zake ni kutinga hatua ya fainali ya kombe hilo ambalo bingwa mtetezi…
DAKIKA 45 za kipindi cha kwanza za msako wa ushindi zimekamilika kwa jasho kwa kila mchezaji kuvuja. Ni Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Kombe la FA wakiwa kwenye msako wa kulitetea taji lao dhidi ya Prisons. Ubao wa Uwanja wa Azam Complwx unasoma Yanga 0-0 Tanzania Prisons. Ni Prisons wamepata pigo kutokana na makosa…
PRINCE Dube wa Azam FC kwenye msako wa pointi sita dhidi ya Simba katupia mabao mawili, mwendo wa bao mojamoja. Mzunguko wa kwanza alitupia bao lililoipa pointi tatu na kwenye mchezo wa mzunguko wa pili alitupia bao moja wakapata pointi mojamoja. Ni pointi nne wamesepa nazo Azam mbele ya Simba ambayo imeambulia pointi moja tu….
HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Tanzania Prisons mchezo wa hatua ya 16 bora Kombe la Azam Sports Federation, Uwanja wa Mkapa ni full mkoko namna hii:- Diarra Djigui Kibwana Shomari Lomalisa Joyce Bakari Mwamnyeto Bacca Mauya Zawadi Jesus Moloko Sure Boy Musonda Aziz KI Kisinda Akiba Metacha Djuma Doumbia Job Bangala Mudathir Clement…