
WIKIENDI HII NI YA KIBABE PATA ODDS BOMBA,KITAWAKA MECHI ZA FA, LA LIGA, SERIE A
Wikiendi hii ni ya kibabe Zaidi ikisindikizwa na Odds bomba na kubwa kutoka Meridianbet, ni FA Cup, Serie A, La Liga, Ligue 1 na Bundesliga zote kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti Jumamosi na Jumapili. LALIGA ya moto sana, Barcelona kinara kwenye msimamo atakuwa ugenini dhidi ya Girona, ikumbukwe mchezo uliopita wa Barca alipata ushindi mwembamba….