
VIDEO:SIMBA KUPANGWA NA WAYDAD JEMBE AFICHUA
SIMBA kupangwa na Waydad jembe afichua namna ambavyo mpira wa Tanzania umekuwa na kuwapongeza viongozi wa Yanga na Simba
SIMBA kupangwa na Waydad jembe afichua namna ambavyo mpira wa Tanzania umekuwa na kuwapongeza viongozi wa Yanga na Simba
HAKUKUWA na usalama mkubwa kwa Polisi Tanzania walipokuwa ndani ya Uwanja wa Liti baada ya kuacha poiti zote tatu. Ni majanga matupu kwa Polisi Tanzania wanaotafuta matumaini ya kucheza mchezo wa mtoano na kujinasua kutoka kwenye nafasi ya mwisho kwenye msimamo. Aprili 7 ubao ulisoma Singida Big Stars ubao ulisoma Singida Big Stars 3–0 Polisi…
AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Mabao ya Issah Ndala dakika ya 39 na lile la pili ni mali ya Idd Suleiman dakika ya 60. Bao la Mtibwa Sugar dakika ya 75 walikwama kuweka usawa mpaka ilipogota dakika ya 90 kwenye mchezo…
BAADA ya kufanikiwa kukata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali Azam Sports Federation Kocha Mkuu wa Singida Big Stars Hans Pluijm amesema kuwa iwe Yanga ama Geita Gold wapo tayari kuwakabili. Singida Big Stars ilipata ushindi dhidi ya Mbeya City kwa mabao 4-1 mchezo war obo fainali uliochezwa Uwanja wa Liti. Kocha huyo amebainisha…
KWA nyundo hizi 5 Rivers wamelala Yoo, Mbrazil Simba awatega Waarabu ndani ya Championi Jumamosi
SIMBA inatinga hatua ya nusu fainali Azam Sports Federation kwa ushindi wa 5-1 Ihefu. Ni mchezo ambao umechezwa Uwanja wa Azam Complex huku ukishuhudia matumizi makubwa ya nguvu kwa wachezaji wa pande zote mbili. Mabao ya Simba yamepachikwa na Jean Baleke ambaye ametupia mabao matatu kwenye mchezo wa leo. Saido Ntibanzokiza katupia bao moja kipindi…
UWANJA wa Azam Complex ubao unasoma Simba 4-0 Ihefu ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali Azam Sports Federation. Mabao ya Simba ymepachikwa na Jean Baleke ambaye ametupia mabao matatu kwenye mchezo wa leo. Bao moja limefungwa na Saido Ntibanzokiza kipindi cha kwanza. Ngoma ilianza na Baleke dakika ya 2,15 na 27 huku lile…
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho inahitaji kucheza na Simba. Aprli 3 Azam FC ilishinda mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar na kukata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali inamsubiri mshindi kati ya Simba na Ihefu icheze naye hatua ya nusu fainali. Ofisa Habari…
Aishi Manula yupo langoni leo kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali Azam Sports Federation dhidi ya Ihefu Israel Mwenda Mohamed Hussein Onyango Joash Henock Inonga Erasto Nyoni Clatous Chama Mzamiru Jean Baleke Ntibanzokiza Kibu D
Wikiendi ya kishua na Meridianbet imeanza tangu Ijumaa na itaenda mpaka Jumapili, kwa Odds kubwa mechi zote unazipata ikumbukwe Liverpool atakipiga na Arsenal ambao ni vinara wa EPL, Nice atakipiga na PSG huku Lazio atacheza na Juventus kati ya mechi hizi unaweza kuwa mshindi wa Tsh Milioni 85,000,000/= za Jakipoti ya timu 13 Meridianbet. Wakati…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utawakabili wapinzani wao Ihefu kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali kwa tahadhari kubwa ili kupata matokeo mazuri. Simba inatarajiwa kutupa kete yake leo mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex mshindi wa mchezo atakutana na Azam FC hatua ya nusu fainali. Azam FC iliibuka na ushindi wa mabao…
ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kuwa hawana mashaka na hatua ya robo fainali waliyofikia zaidi ni hesabu kwenye mechi za hatua hiyo kupata matokeo chanya. Yanga imakamilisha kundi D ikiwa ni namba moja kibindoni ilikusanya pointi 13 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 9. Inakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Rivers…
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa watacheza vizuri leo dhidi ya wapinzani wao Ihefu. Simba ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali ya Kombe la Azam Sports Federation utakaochezwa Uwanja wa Azam Complex. Awali mchezo huo ulitarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru kutokana na matumizi mengie umepelkwa Uwanja…
NYOTA wa Ihefu Said Makapu awazungumzia wapinzani wao Simba hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Azam Sports
YANGA: Rivers wameingia kwenye mfumo, Mbrazil: Waarabu? Mhona tunaenda nusu Caf ndani ya Championi Ijumaa
USAJILI wa Simba kwa mshambuliaji Mkongomani, Jean Baleke umeonekana kuwa bora zaidi ya straika wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda. Hiyo imetokana na kasi na ubora wake wa kufunga mabao tangu Mkongomani huyo ajiunge na Simba katika usajili wa dirisha dogo kama ilivyo kwa Musonda. Usajili wa Baleke ulikuwa ukibezwa kutokana na kujiunga na timu hiyo…
WINGA wa TP Mazembe ya DR Congo, Phillipe Kinzumbi, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kutua nchini tayari kwa kuingia kambini Yanga. Nyota huyo ni kati ya wachezaji walio katika mipango ya kusajiliwa na Yanga kwa ajili ya msimu ujao ambapo wikiendi iliyopita alipewa mkataba wa awali. Usajili wa Kinzumbi ni chaguo la Kocha Mkuu wa…