REAL MADRID VS JUVENTUS KUKUPATIA MSHIKO MARA 2 LEO

Real Madrid vs Juventus  ni mechi kali leo hii ya kutazama lakini huku ukiwa unaitazama inakupa pesa. na GG&3+ mtanange huu ujiweke kwenye nafasi ya kupata bonasi hadi shilingi 60000 leo. Jinyakulia bonasi ya kibabe ya elfu 60000 endapo utasuka jamvi lako hapa na kubashiri mechi ya Real Madrid vs Juventus za kule Italia .Nafasi…

Read More

RAIS MWINYI AWAPONGEZA YANGA SC

MAKOMBE matano ambayo Yanga SC imeyatwaa msimu wa 2024/25 yamefika Ikulu ya Zanzibar na zawadi wakakakabidhiwa Yanga SC ikiwa ni sehemu ya kutambua mafanikio ambayo wamefikia. Rais wa Klabu ya Yanga SC, Iniinia Hersi Said alimkabidhi makombe hayo matano Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussen Ali Mwinyi ambaye aliwapongeza Yanga…

Read More

YANGA SC KINATOKA CHUMA KINAINGIA CHUMA

RAIS wa Yanga SC, Hersi Said ameweka wazi kuwa kwenye kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi kinatoka chuma kinaingia chuma. Juni 29 2025, Yanga SC ilitwaa taji la CRDB Federation Cup kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Singida Black Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex. Walirejea Dar, Juni 30…

Read More

SIMBA SC: TUTARUDI TUKIWA IMARA

MOHAMED Hussen Zimbwe Jr ameweka wazi kuwa watarejea msimu ujao wa 2025/26 wakiwa imara kwenye kupambania mataji ambayo watashiriki kwenye mechi za ushindani msimu mpya. Ipo wazi kwamba msimu wa 2024/25 Simba SC imepishana na mataji yote iliyokuwa ikipambania. Kombe la CRDB Federation iligotea hatua ya nusu fainali ikiodolewa na Singida Black Stars iliyopoteza fainali…

Read More

YANGA SC YAPOKELEWA KWA KISHINDO, YAWEKA NGOME MSIMBAZI

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara mara 31, Yanga SC Juni 30 2025 wamepokelewa kwa kishindo wakitokea Zanzibar kwa kufanya pared la kihistoria chini ya uangalizi mkali wa Jeshi la Polisi Tanzania ambao walikuwa wakihakikisha usalama unakuwa wakutosha. Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Juni 29 2025 ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi…

Read More

SIMBA SC KWENYE HESABU NYINGINE KUBWA

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amesema kuwa kwa msimu wa 2024/25 wamejitahidi kupambana na kufikia malengo licha ya kushindwa kutwaa ubingwa watafanya maboresho kwa msimu ujao. Kuna asilimia chache kwa Fadlu kubaki ndani ya kikosi cha Simba SC msimu wa 2025/26. Taarifa zinaeleza kuwa uongozi wa Simba SC unafanya mazungumzo na kocha huyo…

Read More

YANGA SC BINGWA CRDB FEDERATION CUP 2024/25

MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa furaha kubwa ni kuona timu hiyo inaendelea kupata matokeo mazuri na kutwaa mataji ambayo walikuwa wanayatafuta. Kwenye fainali ya CRDB Federation Cup, Juni 29 2025 Yanga SC ilishinda mabao 2-0 dhidi yaSingida Black Stars fainali iliyopigwa Uwanja wa New Amaan Complex. Mabao ya Duke Abuya dakika…

Read More

OFISA HABARI WA AZAM FC ANALITAKA JIMBO

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa Klabu ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, ametangaza nia ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, (CCM) Ibwe amesema: “Salamu kwa Vijana wenzangu. Huu ni wakati wa kusimama imara, kuchukua nafasi na kuwa sehemu ya mabadiliko tunayoyataka kuyaona katika jamii zetu. Maendeleo hayaji kwa kusubiri, yanajengwa…

Read More

MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC

KIUNGO wa Simba SC, Deborah Mavambo ambaye ni ingizo jipya katika kikosi hicho kwa msimu uliogota mwisho wa 2024/25 yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango chake kuporomoka mwanzo mwisho. Nyota huyo kwenye mechi za awali alianza kuonyesha ubora wake lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi uwezo wake ulikuwa unaporomoka. Atakumbukwa kwenye mchezo…

Read More

SIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA

SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini ipo katika harakati za kumsajili kipa wa JKT Tanzania, Yakoub Seleman katika msimu ujao. Kipa namba moja kwa sasa ndani ya Simba SC ni Moussa Camara. Ni hati safi 19 amekusanya msimu wa 2024/25 akiwa kipa namba moja mwenye hati nyingi ndani ya…

Read More