RATIB LIGI KUU BARA MEI 13 2025

MECHI za Ligi Kuu Tanzania Bara zinatarajiwa kuendelea ambapo ni mzunguko wa pili leo Mei 13 2025 kuna timu zitakuwa uwanjani katika msako wa pointi tatu muhimu. Wakati Mei 12 2025, ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 0-1 Mashujaa FC, Tanzania Prisons 2-1 Coastal Union, kuna mwendelezo mwingine itakuwa leo. Ratiba ipo namna…

Read More

NAMUNGO FC KAMILI KUWAKABILI YANGA SC

BAADA ya kupoteza mchezo wa mzunguko wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora uliochezwa Novemba 30 2024 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukasoma Namungo 0-2 Yanga SC, Namungo FC wameweka wazi kuwa watawakabili wapinzani wao kwa mbinu tofauti kupata matokeo chanya, Mei 13 2025, Namungo FC inatarajiwa kushuka Uwanja wa…

Read More

MERIDIANBET YAWAPELEKA WACHEZAJI KWENYE DUNIA YA MIUNGU KUPITIA MCHEZO MPYA – GATES OF OLIMPIA

Wapenzi wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa…

Read More

KMC: TUMEHARIBU HATI SAFI YA CAMARA, BAHATI YAO

UONGOZI wa KMC FC umebainisha kuwa bahati ilikuwa upande wao Simba SC kupata matokeo kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Mei 8 2025 wakipoteza pointi tatu. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma KMC FC 1-2 Simba SC, mabao yalifungwa na Rashid Chambo dakika ya 8 kwa upande wa KMC huku yale…

Read More

LIGI KUU BARA RATIBA HII HAPA MEI 12 2025

MEI 12 2025 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo ikiwa ni mzunguko wa pili kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Tanzania Prisons ambayo ipo nafasi ya 14 kwenye msimamo na pointi 27 baada ya kucheza mechi 27 itawakaribisha Coastal Union ya Tanga ambayo ipo nafasi ya 8. Coastal Union imecheza mechi 27…

Read More

SIMBA YATANGAZA VIINGILIO VYA FAINALI YA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA NA KUZINDUA HAMASA KWA MASHABIKI

“Tunataka kufanya fainali yenye hadhi ya juu mno, na hayo ni mambo ambayo sisi tunayamudu. Ndugu zangu fainali ndio hatua ya juu kabisa ya mashindano. Kuelekea katika mchezo huu tunatangaza viingilio na tutakaporudi kutoka Morocco tutazindua hamasa. Napenda kuwasihi Wanasimba kununua tiketi mapema. Mwakani tutacheza tena fainali lakini haitakuwa kama hii ambayo tumeisubiri kwa miaka…

Read More

CHEZA NA USHINDE MAMLIONI YA GODDESS OF THE NIGHT KASINO.

Historia Inasema kwamba Marekani iliwahi kukaliwa na Wahindi wekundu kabla yaw a Waafrika kuanza kupelekwa na kufanyishwa kazi mashambani na viwandani. Kupitia kasino ya mtandaoni unaweza kujifunza mengi huku unatengeneza pesa, kwa kucheza mchezo unaoitwa Goddess of the Night. Jisajili na Meridianbet kubashiri kirahisi na kushinda. Goddess of the Night Kasino ya Mtandaoni Mchezo wa…

Read More

ORODHA YA VINARA KWENYE UTUPIAJI LIGI KUU BARA

KAZI bado inaendelea ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora kwa kila timu kupambania kufikia malengo kukamilisha mzunguko wa pili 2024/25. Katika eneo la ushambuliaji kuna orodha ya mastaa ambao ni wakali kwenye eneo la kucheka na nyavu waliopo kwenye vita ya kuwania tuzo ya kiatu cha ufungaji bora. Hapa…

Read More