
MERIDIANBET KUKUPATIA SAMSUNG A25 KWA KUSHIRIKI AVIATOR
Kampuni ya ubashiri inayongoza Tanzania, Meridianbet, imezindua promosheni mpya ya kusisimua kwa wapenzi wa mchezo maarufu wa Aviator. Kuanzia tarehe 1 Julai hadi 31 Julai 2025, wachezaji wana fursa ya kushinda simu mpya za Samsung A25 kwa kucheza mchezo huu wa kuvutia. Masharti ni rahisi, cheza Aviator kama kawaida wakati wa promosheni. Kila wiki, wachezaji…