
INONGA,ONYANGO WAMPA NGUVU MBRAZIL
KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amesema kuwa anafurahishwa na ushirikiano uliopo kwenye safu ya ulinzi kwenye mechi ambazo wanacheza kitaifa na kimataifa. Simba imetoka kupata ushindi dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa na ilipata ushindi mchezo wake uliofuata dhidi ya Wydad Casablanca ambao ni wa Ligi ya…