
MUONEKANO UKURASA WA MBELE CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa umepokea ofa nyingi ambazo zinahitaji huduma ya nyota Fiston Mayele. Mayele wa Yanga mkononi ana tuzo ya ufungaji bora wa ligi baada ya kufunga mabao 17 pia katika Kombe la Shirikisho Afrika ni namba moja kwa utupiaji akiwa na mabao 7. Ana hat trick moja kwenye ligi aliwatungua Singida…
VICTOR Ackpan kiungo wa Simba amepewa mkono wa kwa kheri ndani ya kikosi cha Simba. Kiungo huyo raia wa Nigeria yamemkuta masuala ya ‘Thank You’ kama iliyokuwa kwa Augustino Okra raia wa Ghana. Kiungo huyo aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Coastal Union ya pale Tanga inayotumia Uwanja wa Mkwakwani kwa mechi za nyumbani….
KOCHA Mkuu wa KMC Jamhuri Khiwelo, ‘Julio’ amesema kuwa hana hofu na timu yoyote anafanya kazi kubwa kusuka kikosi kwa ajili ya msimu mpya. Julio amewahi kuifundisha Simba iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo na aliwahi kuingoza timu hiyo kwenye mchezo wa dabi dhidi ya Yanga. Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 wamekusanya…
LEGEND kwenye uandishi wa masuala ya michezo Bongo kitaifa na kimataifa Saleh Jembe amefungukia kuhusu viongozi wa Yanga pamoja na nyota wa Yanga. Miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wanatajwa kuwa kwenye hesabu za kuondoka ni Djigui Diarra, Yannick Bangala na Fiston Mayele mshambuliaji namba moja wa Yanga
NYAKATI zinakuja na kupita na sasa ni wakati wa maandalizi ya msimu mpya ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote baada ya mabingwa wa ligi ambao ni Yanga kutangazwa. Ipo wazi kuwa kesi ya ubingwa kwenye kila eneo kuanzia Ligi Kuu Bara, Azam sports Fedaration mpaka suala la tuzo zote zimefungwa. Tumeona namna…
KISUGU amfungukia Mayele wa Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Yanga imetwaa ubingwa huo ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi
ABDI Banda nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania ameweka wazi kuhusu suala la mashabiki wa timu hiyo ambayo ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Niger kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON
ADEBAYO asaini miaka miwili Simba, Yanga mpya balaa ndani ya Spoti Xtra Jumanne
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Mrundi Cedric Kaze amekataa kusaini mkataba mpya wa timu hiyo, akitoa masharti magumu kwa uongozi ulioanza mazungumzo ambao ulitarajiwa kukutana naye mapema. Mkataba wa Nabi na Kaze ulimalizika Jumatatu hii mara baada ya mchezo wa Fainali ya Kombe la FA kumalizika kwa Yanga kutwaa taji hilo kwa kuwafunga Azam FC bao…
MKONGWE kwenye tasnia ya Habari za Michezo Bongo Saleh Jembe ameweka wazi kuhusu uzinduzi wa mdhamini wa jezi z Simba ambeye ni Sandaland. Jembe amegusia maendeleo kwenye Ligi ya Tanzania ambapo kwa msimu wa 2022/23 mabingwa ni Yanga huku Simba ikigotea nafasi ya pili pia Yanga wamecheza hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika wakigotea…
MILTON Karisa nyota mwenye miaka 27 anayekipiga ndani ya Vipers ya Uganda anatakiwa kuwa katika hesabu za Simba. Kiungo huyo amewahi kufanya kazi na Robert Oliviera ambaye ni Kocha Mkuu wa Simba ikiwa dili lake litajibu atakuwa miongoni mwa nyota watakaokutana na watani zao wa jadi Yanga kwenye mechi za ushindani. Yanga ni watani za…
DJUMA Shaban na Yannic Bangala wanatajwa kuomba kuondoka ndani ya kikosi cha Yanga. Habari zinaeleza kuwa kuondoka kwa Nasreddine Nabi ndani ya Yanga kwenye benchi la ufundi kunawafanya mastaa wengine kufikiria kuondoka pia. Ipo wazi kuwa Bangala mkataba wake bado unaishi ndani ya Yanga kama ilivyo kwa Djuma mpaka 2024 lakini wanahitaji kuondoka. Djuma ameomba…
WAKIWA ni mashuhuda wa ubingwa kuelekea kwa watani zao wa jadi Yanga Simba wameanza mpango kazi kwa ajili ya kuunda kikosi kipya kwa msimu wa 2023/24. Yanga ni mabingwa watetezi msimu ujao huku Simba wakiwa wamegotea nafasi ya pili. Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Salim Abdallah, ‘Tray Again’ amebainisha kuhusu mipango kazi ya timu hiyo.
KOCHA mpya Yanga aanza na vigingi vitatu atajiwa Simba ndani ya Championi Jumamosi
TUNAONA timu zimeanza kuwaacha wachezaj wale ambao walikwama kufanya vizuri ama mikataba yao imegota mwisho hilo ni jambo linalohitaji umakini. Sio wachezaji tu hata benchi la ufundi imekuwa hivyo kama ambavyo wamefanya Yanga, Azam FC na Simba. Mbali na Yanga na Simba tunaamini bado zingine zitafuata kwa kuwa mwanzo wa msimu ni mwanzo wa mipango…
UONGOZI wa Simba leo Jui 16 2023 umemtambulisha mdhamini mpya ambaye atasimamia masuala ya utengenezaji wa jezi za timu hiyo ambayo imeshuhudia ubingwa wa ligi ukienda kwa watani zao wa jadi Yanga. Awali mpango kazi wa jezi za Simba ulikuwa unasimamiwa na VunjaBei ambaye alikuwa akitenda kazi hiyo baada ya kushinda tenda na alitoa ajira…