
KIPA SIMBA AWEKA REKODI YAKE MATATA
ALLY Salim kipa namba tatu wa Simba amekiwasha ndani ya dakika 90 ikiwa ni mchezo wake wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara akifanikiwa kusepa na dakika 90 bila kutunguliwa. Salim hakuwa chaguo la kwanza ndani ya Simba ambapo chaguo la kwanza ni Aishi Manula na namba tatu ni Beno Kakolanya. Salim hata msimu wa…