VITA YA MABINGWA NA WAJELAJELA

INGEKUWA ni mchezo wa Ligi Kuu Bara tungesema ni tatu zinasakwa ndani ya tatu kwa wababe wawili ambao watavuja jasho ndani ya dakika 90. Bahati nzuri ni hatua ya 16 bora Kombe la Azam Sports Federation ambapo yule atakayetunguliwa inakuwa ni kwaheri ya kuonana wakati ujao. Ni vita ya mabingwa watetezi Yanga chini ya Kocha…

Read More

VIDEO:HAYA HAPA MAZOEZI YA MWISHO YA RS BERKANE

WAPINZANI wa Simba kimataifa RS Berkane ya Morocco walifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya kuikabili Simba Uwanja wa Mkapa na miongoni mwa nyota ambao walikuwepo ni pamoja na Fiston Abdulazack na Tuisila Kisinda ambao waliwahi kucheza Klabu ya Yanga. Mchezo wa kwanza wa kundi uliochezwa nchini Morocco, Simba ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 hivyo…

Read More

JEMBE:TARIMBA HAHUSIKI SIMBA KUJIONDOA SPORTPESA

MCHAMBUZI wa soka nchini Saleh Ally Jembe ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa SportPesa Abas Tarimba amehusika katika kukwamisha dili la Kampuni hiyo yakubashiri na Simba SC. Jembe amesema habari hizo si za kweli licha ya kwamba Tarimba ni mwana Yanga lakini Simba waliachana na dili la SportPesa…

Read More

AZAM FC WANAZITAKA POINTI TATU ZA KMC

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa muda ndani ya Azam FC ameweka wazi kuwa wanawaheshimu wapinzani wao KMC lakini pointi zao tatu wanazitaka jambo linalowafanya wajiandae vizuri. Ibwe amepewa majukumu kwa muda akichukua mikoba ya Zakaria Thabit ambaye amefungiwa kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miezi mitatu na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa…

Read More

ANAKUWA MCHEZAJI WA KWANZA KUTAMBULISHWA UNYAMANI

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye mpango mkubwa wa kufanyia maboresho kikosi hicho ambapo inakwenda kuongeza viungo na washambuliaji.Miongoni mwa nyota ambaye anatajwa kupewa dili la miaka mitatu ni kutoka viunga vya Mtibwa Sugar Chasambi. Ikiwa dili lake litakamilika atakuwa mchezaji wa kwanza kutambulishwa unyamani.

Read More

KIUNGO SAIDO YAMKUTA YANGA

KIUNGO mshambuliaji tegemeo wa Yanga hivi sasa, Mrundi Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ ameondolewa kwenye mipango ya kocha mkuu wa timu hiyo, Nasreddine Nabi kwa muda wiki tatu kutokana na tatizo la goti. Hiyo itamfanya akose mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC FC utakaochezwa Machi 19, mwaka huu kwenye Uwanja Mkapa, Dar.  Daktari wa…

Read More

JESUS MOLOKO ANAIPIGIA HESABU NAMBA YAKE

KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kuwa na majeraha amesema kuwa kwa sasa yupo fiti na anahitaji kuanza kikosi cha kwanza. Wakati alipokuwa nje kwa muda kiungo huyo mikoba yake ilikuwa mikononi mwa Said Ntibanzokiza,Farid Mussa na Chico Ushindi ambao walikuwa wakipewa majukumu na Kocha Mkuuu wa Yanga, Nasreddine…

Read More

SIMBA YATAJWA SARE ZA YANGA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi sababu kubwa ya kupata sare katika michezo yao miwili mfululizo iliyopita ni uchovu ambao wachezaji wao walikuwa nao, kutokana na kutumia nguvu kubwa ya kujiandaa na kucheza mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba uliopigwa Jumapili iliyopita. Aprili 30,2022wababe haowalikutana uwanjani kwenye mchezo wa ligi na kugawana pointi…

Read More

SIMBA NDANI YA GUINEA

MSAFARA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira umewasili Guinea kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Horoya. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 12 siku ya Jumamosi ikiwa ni mchezo wa kwanza wa kundi C kwa timu hizo. Msako wa pointi tatu kwa wawakilishi wa…

Read More

YANGA: BURUDANI INAREJEA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa burudani inarejea mahali pake baada ya kukosekana kwa muda ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Desemba 2 2023 Yanga inatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkapa kumenyana na Waarabu wa Misri, Al Ahly ukiwa ni mchezo wa hatua ya makundi. Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Yanga amesema…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA WOLVES

WOLVERHAMPTON Wanderers imemtambulisha rasmi Julen Lopetegui raia wa Hispania na aliyewahi kuwa Kocha mkuu wa Klabu ya Real Madrid pamoja na Sevilla kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo. Lopetegui hivi karibuni ametimuliwa kazi kutoka Klabu ya Sevilla anaanza kuwa kwenye majukumu yake mapya kwenye timu hiyo. Lopetegui anachukua mikoba ya Bruno Lage ambaye alitimuliwa klabuni…

Read More

YANGA KILA KONA WAMEIBANA SIMBA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamewabana kotekote mabingwa watetezi wa ligi na Kombe la Shirikisho, Simba kwa kuwa wazi kwamba wanahitaji kushinda kila sehemu. Kwenye Kombe la Shirikisho, Yanga imetinga hatua ya robo fainali na inatarajiwa kumenyana na Geita Gold na kwenye ligi, Yanga ni namba moja ikiwa na pointi 48 baada ya…

Read More