DAVID de GEA AONDOKA MAN UNITED

BAADA ya kudumu kwa muda miaka 12 ndani ya Manchester United hatimaye ameondoka ndani ya kikosi hicho. Ni David De Gea ameweka wazi kuwa wamefanikiwa mambo mengi tangu zama za Sir Alex Ferguson. Nyota huyo mkataba wake umegota mwisho msimu huu na alipewa muda wa kufikiria kusaini mkataba mpya walipokuwa kwenye mazungumzo. Anatajwa kuwa kwenye…

Read More

YANGA KUINGIA KAZINI KWA MARA NYINGINE TENA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi kesho Mei 4 kinatarajiwa kushuka uwanjani kusaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting. Tayari kikosi hicho kimewasili salama Kigoma na kupokelewa kwa shangwe kubwa na mashabiki ambao walijitokeza jana Mei 2. Ni mchezo wa mzunguko wa pili baada ya ule wa kwanza Yanga kushinda mabao 3-1 Uwanja…

Read More

WAMEVUJA JASHO KINOMANOMA

STAA wa Manchester United, Bruno Fernandes ametumia dakika nyingi zaidi uwanjani kuliko mchezaji mwingine yeyote barani Ulaya msimu huu. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 28 amecheza asilimia 92 ya dakika zote ambazo Kocha Erik ten Hag amewaongoza Mashetani msimu huu na alianza mechi zote isipokuwa tatu kati ya 45 za mashindano yote. Kama ilivyokuwa…

Read More

WATANI WA JADI VITANI KUSAKA POINTI TATU

LIGI ya Wanawake Tanzania inaendelea ambapo watani wa jadi wote Simba Queens na Yanga Princess mechi zao za ufunguzi walipasuka. Kesho Desemba 22 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa watani wa jadi wenye rekodi zinazofanana. Simba Queens wao walinyooshwa mabao 2-1 dhidi ya JKT Queens huku Yanga Princess wao wakinyooshwa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate Princess…

Read More

SIMBA YAWAFUATA SINGIDA BIG STARS

KOCHA Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema kuwa wanatambua mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars utakuwa na ushindani mkubwa. Kikosi cha Simba leo Novemba 7 kimesepa Dar ambapo kitapitia Dodoma kabla ya kuibukia Singinda. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti ukiwa ni wa pili kwa Simba kucheza…

Read More

HIZI HAPA SILAHA ZA GAMONDI DHIDI YA AZAM FC

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wachezaji wake wote wapo tayari kwa ajili ya mchezo dhidi ya AzamFC. Leo ni Mzizima Dabi inatarajjiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 23 kwa wababe wawili kusaka pointi tatu. Miongoni mwa silaha ambazo zipo tayari kuikabili Azam FC ni Skudu Makudubela, Farid Mussa, Khalid Aucho, Jesus…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA REAL BAMAKO

KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Vipers Uwanja wa Mkapa Aishi Manula Shomari Kapombe Henock Inonga Joash Onyango Mohamed Hussein Mzamiru Yassin Sadio Kanoute Clatous Chama Saidi Ntibanzokiza Pape Sakho Moses Phiri Akiba Beno Kakolanya Israel Mwenda Kennedy Juma Jonas Mkude Peter Banda Erasto Nyoni John Bocco Jean Baleke Habib Kyombo

Read More

MANARA AKUBALI UBORA WA INONGA,ATAJA TATIZO LAKE

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa Henock Inonga beki wa Simba ni moja ya wachezaji wazuri lakini wanapenda kucheza na jukwaa. Inonga ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Pablo Franco ndani ya Simba anapewa nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza Aprili 30 mbele ya Yanga. Manara amesema:“Inonga ni beki mzuri lakini sijui…

Read More

BALE AWATIBULIA MAREKANI KOMBE LA DUNIA

BAO la nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale dakika ya 82 kwa mkwaju wa penalti lilitibua hesabu za ushindi kwa timu ya taifa ya Marekani. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Al Rayyan ni kipindi cha kwanza Marekani ilipata bao la mapema ambalo liliwapa uongozi. Dakika ya 36 staa wao Timothy Weah…

Read More

NDONDO CUP YAFIKA 16 BORA

BAADA ya kivumbi kutimka hatua za makundi mashindano ya Ndondo Cup hatimaye 16 bora imepatikana na inatarajiwa kuanza Agosti 12-16 na viwanja viwili vitatumika ikiwa ni Uwanja wa Kinesi na Bandari. Mashindano hayo yenye ushindani mkubwa yanaratibiwa na Chama cha Soka wilaya ya Ubungo. Katibu wa chama cha soka wilaya ya Ubungo, Hassan Bakari  amesema:”Kwa…

Read More