GAMONDI AFUNGA HESABU YANGA, KUFANYA MAAMUZI MAZITO

HUKU zikiwa zimesalia siku sita kabla ya kufungwa kwa doirisha dogo la usajili wa timu zilizo chini ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametangaza kuwa ametumia mashindano ya Kombe la Mapinduzi kufanya tathimini ya kikosi chake na sasa kuna maamuzi mazito yatatolewa hivi karibuni. Yanga imeondolewa katika hatua ya…

Read More

SIKU KUU YA WANAWAKE DUNIANI, IMENOGESHWA NA MKONO WA PONGEZI KUTOKA MERIDIANBET

Kama ilivyodesturi ya Meridianbet kurudisha kwenye jamii inayoizunguka, safari hii, kampuni ya Meridianbet Tanzania imetoa mkono wa pongezi kwa kina mama waliojifunga na wanaotarajia kujifungua kwenye Hospitali ya Mkoa Ya Rufaa, Mwananyamala.   Tarehe 8 mwezi Machi kila mwaka, ni siku maalumu ya kumsherehekea mwanamke kote duniani. Siku hii ni mahsusi katika kumpatia thamani mwanamke…

Read More

ALIYEWATUNGUA SIMBA KUIBUKIA IHEFU

NYOTA wa Coastal Union mwenye rekodi ya kuwatungua kwa pigo la penalti Simba msimu wa 2022/23 anatajwa kuibukia ndani ya Ihefu ya Mbeya. Ni Yanga ambao ni mabingwa hawajafungwa kwa penalti kwa kuwa katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar Djigui Diarra wa Yanga aliokoa hatari hiyo. Ikumbukwe kwamba Simba kwenye mabao 17 iliyofungwa ni bao…

Read More

NIDHAMU IWE NA MWENDELEZO KWENYE LIGI KUU BARA

MWENDELEZO wa ligi unatarajia kurejea kwa kasi kutokana na kila timu kuwa na shauku ya kupata pointi tatu muhimu. Huu ni mzunguko wa pili ambao hauna chaguo la nani atafungwa iwe nyumbani ama ugenini mambo yamebadilika sana siku hizi. Haya yote yanatokana na ushindani uliopo kwani hata zile ambazo zinajiita timu kongwe zimekuwa zikipata ugumu…

Read More

GUARDIOLA AWAPA ONYO MASTAA WAKE

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amewapa onyo mastaa wake Jack Grealish na Phil Foden kutokana na tabia zao za kupenda bata wakati wanajua kwamba wanamajukumu kwenye timu. Nyota hao wawili walishinda klabu usiku wakati wakijua kwamba kuna mchezo dhidi ya Newcastle United hali iliyopelekea kutoweza kupangwa kwenye mchezo huo. Wakati City ikishinda mabao…

Read More

SINGIDA BLACK STARS DHIDI YA YANGA KIVUMBI

FT: UWANJA wa New Amaan Complex Ligi Kuu Bara Singida Black Stars 0-1 Yanga Pacome goal dk 64.   Kivumbi kwa wababe wawili ndani ya Uwanja ambao hawajapoteza mchezo huku kila timu ikibainisha kwamba inahitaji pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Singida Black Stars inayonolewa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems ameweka wazi kuwa wanatambua mchezo…

Read More

MUKWALA HESABU ZAKE NDEFU SIMBA SC

MSHAMBULIAJI wa Simba SC Steven Mukwala hesabu zake ni ndefu kwenye kikosi hicho ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids katika mechi za ushindani. Mukwala ameweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kuona timu hiyo inapata matokeo chanya kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja msimu wa 2024/25. Mshambuliaji huyo anaingia kwenye orodha ya wakali wakucheka…

Read More

NGOMA YA MASHUJAA IMEKUWA NZITO

MCHEZO wake wa kwanza langoni kipa namba mbili wa Azam FC Ali Ahmada kashuhudia wakikomba poiñti tatu ugenini na mabao matatu Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika umesoma Mashujaa 0-3 Azam FC. Kipre Junior dakika ya 52, Gibril Sillah dakika ya 70 na Allasane Diao alimtungua kwa kipa wa Mashujaa akitumia…

Read More