YANGA WAPEWA HEKO NA RAIS SAMIA, WAITWA IKULU

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameialika timu ya Yanga kwenye hafla ya chakula cha jioni Juni 5, 2023 Ikulu jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Juni 4 imeeleza hivyo. Taarifa hiyo imeeleza kuwa Rais ameialika Yanga kwenye hafla ya chakula cha jioni…

Read More

HUYU HAPA MKALI WA MABAO YA VICHWA

WAKATI wa usajili kwa msimu wa 2024/25 Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally aliweka wazi kuwa kuna staraika refu kuliko goli ambalo lenyewe haliruki mipira ya juu bali ni waa, mpira upo kambani. Nyota huyo ni Steven Mukwala ambaye kafunga jumla ya mabao mawili kwenye ligi na katika mabao hayo kafunga…

Read More

KUMUONA GEORGE MPOLE,SAMATTA BUKU 3

 BAADA ya kupata sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Niger nchini Benin sasa hesabu za timu ya Taifa ya Tanzania ni kuelekea kwenye mchezo ujao dhidi ya Algeria unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Juni 8, mashabiki wajitokeze kwa wingi kwani huu ni mchezo muhimu kwetu na ushindi wetu ni furaha…

Read More

YANGA YAKWEA PIPA KUWAFUATA MBEYA KWANZA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Novemba 28 kimekwea pipa kwa ajili ya kuelekea Mbeya. Ni Air Tanzania itawafikisha Mbeya kwa ajili ya kuweza kuanza kufanya maandalizi ya mwisho baada ya jana Novemba 27 kufanya mmazoezi kwa mara ya mwisho kambini Kigamboni kabla ya leo kusepa. Mchezo wao wa ligi unatarajiwa…

Read More

YANGA KAMILI KWA KARIAKOO DABI, KIPENGELE HAKUNA

MABOSI wa Yanga wamebainisha kuwa hakuna kipengele kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unatarajiwa kuchezwa leo Machi 8 2025, saa 1:15 Uwanja wa Mkapa. Uongozi wa Simba usiku wa kuamkia Machi 8 2025 walitoa taarifa kwamba hawatashiriki mchezo kutokana na kutopewa ruhusa ya kufanya mazoezi Uwanja wa Mkapa siku moja kabla ya mchezo. Wakati hayo…

Read More

SINGIDA BIG STARS 0-2 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Liti unasoma Singida Big Stars 0-2 Yanga ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara, mzunguko wa pili. Singida Big Stars imeshuhudia mabao yakifungwa kipindi cha kwanza cha mchezo huo ambao unafuatiliwa na mashabiki wengi duniani. Ni Aziz KI alipachika bao la kwanza kwa shuti kali ambalo lilimpoteza mlinda mlango Benedickt Haule…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI LEO NA MATOKEO

 LEO Agosti 17,2022 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo timu sita zitakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Coastal Union v KMC, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid,Arusha. Simba v Geita Gold, Uwanja wa Mkapa. Azam FC v Kagera Sugar,Uwanja wa Azam Complex. Jana Agosti 16 zilichezwa mechi kwenye viwanja tofauti na matokeo yalikuwa namna hii:-…

Read More