WAKATI WA KUWAJIBIKA NI SASA KWA KILA MMOJA

KILA mmoja afanye kazi yake kwa wakati kutimiza majukumu yake. Katika anga la kimataifa wachezaji wengi wanatambua namna ushindani ulivyo. Hakuna ambaye anapenda kuona matokeo mabaya yanatokea uwanjani. Kwa sasa wachezaji wanakazi kufanya kweli kwenye mechi za kimataifa. Ni ushindani mkubwa kwa kila mechi kufanya kweli. Ukweli ni kwamba kushinda ndani ya uwanja kunahitaji mbinu…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA MZUNGUKO WA 29

FUNGA kazi inaendelea ndani ya Ligi Kuu Bara ambapo Mei 25 kunatarajiwa kuwa na mechi kali za maamuzi kwa kila timu kupambania pointi tatu muhimu. Hii hapa ratiba ipo namna hii:- Coastal Union v JKT Tanzania, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Simba dhidi ya KMV, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Ihefu v Dodoma Jiji, Uwanja…

Read More

Bashiri na Meridianbet Jumatatu ya Leo

Ikiwa ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi ya mechi kibao zinaendelea leo hii abapo Meridianbet tayari wameshakuwekea ODDS KUBWA na machaguo uyatakayo hivyo ingia na uanze kubashiri sasa. LALIGA kutakuwa na mechi moja kali Osasuna atamenyana dhidi ya Valencia CF. Mwenyeji yupo nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi huku mgeni akiwa nafasi…

Read More

KILA LA KHERI TAIFA STARS KIMATAIFA

MCHEZO wa kimataifa wa leo kwa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni muhimu kupambana kupata matokeo. Kete ngumu na itakuwa na ushindani mkubwa. Wachezaji ni muda wa kuonyesha thamani ya kile ambacho kipo kwenye miguu yenu. Muda ambao ulipatikana kwa maandalizi unatosha na sasa ni kazi kuonesha ukweli kwenye vitendo. Nafasi yenu ni…

Read More

ZAIDI YA WATANZANIA 142 WAMENUFAIKA NA AJIRA KUPITIA MERIDIANBET TANZANIA

ZAIDI ya watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania, ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma za michezo ya kubashiri mtandaoni. Akizungumza katika uzinduzi wa duka la Meridianbet lililopo Mtaa wa Tandika Majaribio, Temeke, Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Meridianbet Tanzania, Matina Nkurlu, alisema kuwa kama…

Read More

SINGIDA BLACK STARS KUZINDUA UWANJA KUKIPIGA NA YANGA

Klabu ya Singida Black Stars itazindua uwanja wake mpya wa ’AIRTEL STADIUM’ Machi 24, 2025. Uwanja huo utazinduliwa kwa mechi ya kirafiki katibya Singida Black stars dhidi ya Yanga SC. Kwenye taarifa yao, Singida wamesema kuwa uwanja huo umejengwa kwa viwango vya kimataifa na unatarajiwa kuwa kitovu cha mashindano makubwa ya kitaifa na kimataifa. Je,…

Read More

MADRID NA LIVER FAINALI YAO IMEBUMA

MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid wataanza ugenini dhidi ya Liverpool na wababe PSG watavaana na Bayern Munich kwenye mechi za hatua ya 16 bora. Mechi za raundi hiyo zinatarajiwa kuanza kupigwa Februari 14 mpaka Machi 14, mwakani 2023 baada ya droo kuchezwa Novemba 7,2022. Liverpool na Real Madrid msimu uliopita zilikutana…

Read More

BUKU YAMPA MAMILIONI SHABIKI WA YANGA

SHABIKI wa timu ya Yanga na Manchester United Ezekiel Mwang’onda (34) amesema ndoto yake ya miaka saba katika kubashiri imekuwa kweli baada ya kushinda kitita cha Shilingi Milioni 234,272,830 kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-Bet Tanzania. Mwang’onda ambaye ni mjasiriamali ameshinda mamilioni baada ya kubashiri kwa usahihi jumla…

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU SINGIDA BIG STARS

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema wanatambua ugumu wa mchezo wao dhidi ya Singida Big Stars lakini wapo tayari. Vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 68 baada ya kucheza mechi 26 kesho Mei 4 wanatarajiwa kumenyana na Singida Big Stars, Uwanja wa Liti. Kaze amesema:”Tunawaheshimu wapinzani wetu na tunatambua wapo imara hivyo tutaingia…

Read More