SIMBA YAOMBA RADHI KWA MATOKEO MABOVU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa kilichotokea Februari 18, haikuwa malengo yao hivyo wanaomba radhi kwa mashabiki na Watanzania kiujumla. Timu hiyo inayowakilisha Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 0 -3 Raja Casablanca mbele ya mashabiki wao wakutosha. Meneja wa Idara ya…

Read More

CHAMA MZEE WA MAAMUZI MAGUMU

KIUNGO wa Yanga, Clatous Chama ni yuleyule wa maamuzi magumu kwenye mechi ambazo anapewa nafasi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Oktoba 22 2024 alifunga bao lake la kwanza kwenye ligi kwa pigo la faulo akiwa nje ya 18 mbele ya JKT Tanzania na alitoa pasi moja dakika ya 23 kwa…

Read More

YANGA YASHINDA 3-0 KAGERA SUGAR

KIKOSI cha Yanga kimesepa na pointi tatu mbele ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mabao matatu ambayo yamefungwa kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Fiston Mayele ametupia mabao mawili na pasi moja ya bao, amefunga dk 30 na 50 pasi kampa mshikaji wake Said Ntibanzokiza…

Read More

MTAMBO WA MABAO WATAMBULISHWA SIMBA

WAKIWA kwenye maboresho ya kikosi kuelekea msimu wa 2024/25 wamemtambulisha nyota mwingine ambaye ni mtambo wa mabao. Ni Simba iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo msimu wa 2023/24 kwa sasa inafanya maboresho ambapo kwenye eneo la kiungo ipo wazi haitakuwa na Clatous Chama ambaye kaibukia ndani ya Yanga. Mchezaji mpya ambaye ametambulishwa Julai 5 ndani…

Read More

SIMBA QUEENS KUSAKA UBINGWA KIMATAIFA LEO

SIMBA Queens leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya She Corporate ya Uganda kwenye mchezo wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ukanda wa Cecafa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Agosti 27 Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku na ikishinda itatwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza. Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian…

Read More

USHINDANI KWENYE LIGI KUU BARA UENDELEE

MZUNGUKO wa kwanza bado unaendelea kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba kwa sasa timu nyingi zinapambana kufanya vizuri na kupata matokeo ndani ya uwanja. Kila timu inafanya vizuri ndani ya dakika 90 kusaka ushindi. Kushindwa kufanya vizuri kwenye mechi husika haina maana kwamba kazi itakuwa imekwisha hapana ni muhimu kupambana zaidi kwa…

Read More

MAN UNITED YAICHAPA LIVERPOOL

 MANCHESTER United imesepa na pointi tatu mazima mbele ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Old Traford. Mabao ya Jadon Sancho dakika ya 16 na Marcus Rashford yalitosha kuipa pointi tatu muhimu timu hiyo. Bao la Liverpool lilifungwa na Mohamed Salah dakika ya 81. Rekodi zinaonyesha kuwa United ilipiga jumla ya…

Read More

YANGA WALIWAKIMBIZA REAL BAMAKO KWA MKAPA

UKIWEKA kando Yanga kusepa na pointi tatu mazima dhidi ya Real Bamako walitawala katika kila Idara huku wakicheza Kwa tahadhari licha ya kuwa wapo nyumbani. Mashuti waliyopiga ni 12 huku manne yakilenga lango na mawili yàkizama nyavuni watupiaji wakiwa ni Fiston Mayele dakika ya 8 na Jesus Moloko dakika ya 68. Bamako ni mashuti 11…

Read More

TABORA UNITED WATUMA UJUMBE HUU AZAM FC

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Goran Kopunovic amebainisha kwamba mchezo wao dhidi ya Azam FC hautakuwa mwepesi kutokana na wapinzani wao kuwa imara kwenye kusaka matokeo. Ipo wazi kuwa Azam FC ipo nafasi ya tatu mchezo wao uliopita wa kufunga mzunguko wa kwanza walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Geita Gold mchezo uliochezwa Uwanja…

Read More