HAWA HAPA WAMEBEBSHWA KAZI NA KOCHA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewaambia wachezaji wake wapya kuwa sasa ni muda wao muafaka wa kuonyesha thamani yao katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba inatarajiwa kuanzia ugenini nchini Zambia dhidi ya Power Dynamos katika hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mchezo utakaopigwa Septemba 15, mwaka huu. Kikosi…

Read More

PAMBA JIJI KAMILI KUIKABILI SIMBA SC

Fred Felix Kocha Mkuu wa Pamba Jiji ameweka wazi kuwa wanatambua ugumu wa mchezo wao dhidi ya Simba SC ila wana imani kuwa hawatashuka daraja. Ni mechi 26 imeshuka uwanjani Pamba Jiji ina pointi 27 ikiwa nafasi ya 13 katika msimamo ambayo ni nafasi yakucheza play off ikiwa itasalia hapo mpaka mzunguko wa pili ukigota…

Read More

YANGA YASAINI MKATABA WA MIEZI SITA NA UNICEF

 KLABU ya Yanga imeingia mkataba wa miezi sita na Shirika la Umoja wa Mataifa la Unicef kwa ajili ya kutoa elimu na kuwapa taarifa Watanzania kuhusu Corona na namna ya kujikinga na kuchukua tahadhari kuhusu Ebola. Injinia Hersi Said Rais wa Yanga amesema kuwa ni furaha kubwa kwa ajili ya timu hiyo kuingia makubaliano na…

Read More

KIBAYA NI MALI YA IHEFU FC

JAFARY Kibaya nyota aliyekuwa anakipiga ndani ya Mtibwa Sugar sasa ni mali ya Ihefu FC ya Mbeya baada ya kutambulishwa jana Julai 22,2022. Nyota huyo anakuwa miongoni mwa nyota wa mwanzo kutangazwa kwenye timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu,Zuber Katwila. Kibaya amesema:”Ni muda wa kutoa shukran zangu za dhati kwenu hakika mlinilea na kunikuza vizuri…

Read More

SIMBA WATAJA SIKU YA KUMPOKEA CHAMA

UONGOZI wa Simba SC, umepanga kumtambulisha Clatous Chama siku ya mwisho kabla ya usajili wa dirisha dogo haujafungwa Januari 15, mwaka huu. Chama ambaye aliitumikia Simba kwa misimu mitatu, aliondoka kikosini hapo mwishoni mwa msimu wa2020/21 na kutimkia RS Berkane ya Morocco. Kwa muda mrefu, kumekuwa na tetesi za Simba kuhitaji kumrudisha kundini kiungo huyo…

Read More

LIVE BUNGENI: WAZIRI MWGULU ANAWASILISHA MAKADIRIO NA MATUMIZI YA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/2025

Serikali imesema bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imelenga kutekeleza vipaumbele vitakavyojikita katika kujenga uchumi shindani na viwanda kwa maendeleo ya watu” pamoja na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2024/25. Akiwasilisha bajeti hiyo bungeni Dodoma, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameyataja maeneo ya vipaumbele yaliyoainishwa katika mpango huo kuwa ni pamoja na…

Read More

PARIMATCH YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KIBABE

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imeunganana na watoa huduma ulimwenguni kote kusherehekea Wiki ya Huduma kwa Wateja huku ikiahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi na zenye ubunifu kwa wateja wake ili kuongeza burudani pindi wanaposuka mikeka yao kwenye tovuti na App. Akitoa salamu za heri kwa wateja na wafanyakazi wa kampuni hiyo jijini Dar…

Read More

MATUMAINI YA TANZANIA OLYMPIC 2024 YAPO KWA SIMBU NA WENZAKE

Matumaini ya Tanzania kwenye michuano ya Olympic 2024 yanayoendelea nchini Ufaransa kwasasa yapo kwa Alphonce Simbu pamoja na wenzake ambao wanaiwakilisha nchi kwenye mchezo wa kukimbia mbio ndefu (Marathon). Mpaka sasa Tanzania imebaki kwenye michuano miwili ambayo ni wa kuongea ambapo kuna mshiriki mmoja huku mmoja akiwa tayari ameondoshwa, Lakini kwenye riadha mbio ndefu wamebaki…

Read More

KLOPP AMSHUTUMU KOCHA MKUU ARSENAL

 JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amemshutumu Kocha Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta kwa kumpa presha mwamuzi wa mchezo huo Michael Oliver. Jumapili Arsenal ilifanikiwa kushinda mabao 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu England Uwanja wa Emirates. Penalti ya staa Bukayo Saka ambayo ilizua utata na ilileta bao la tatu kwa Arsenal…

Read More