Steven Mukwala mambo bado Simba SC

Steven Mukwala msimu wa 2025/26 mambo bado magumu kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kukwama kufungua akaunti ya mabao. Ipo wazi kwamba Mukwala hajawa katika ubora ambao unahitajika kutokana na kukosa nafasi za kufunga anapopata nafasi kwenye mechi za ushindani. Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Novemba 8,2025…

Read More

Waamuzi Waondolewa Kwa Kutafsiri Vibaya Sheria za Mchezo

Mwamuzi wa kati, Amina Kyando kutoka Morogoro na mwamuzi msaidizi namba mbili (2), Abdalah Bakenga kutoka Kigoma wameondolewa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mitano kwa kosa la kushindwa kutafsiri vema sheria za mpira wa miguu na kushindwa kuchukua hatua kwa vitendo vya ukiukwaji wa sheria za mpira kwenye mchezo wa Ligi Kuu kati ya…

Read More

Azam FC hawataki utani wapya watano wanahitajika

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani msimu wa 2025/26 ambapo inatajwa kuwa katika dirisha dogo maboresho makubwa yatafanyika kwenye timu hiyo. Mchezo uliopita Azam FC ilikuwa ugenini kwenye ligi na ubao ulisoma Namungo FC 1-1 Azam FC. Timu hiyo pia imetinga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika hivyo ina kazi kubwa katika mechi…

Read More

Simba SC yajivunia uwepo wa Abraham Morice

UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa unajivunia uwepo wa kiungo mshambuliaji Abraham Morice kutokana na kazi kubwa anayofanya kwenye mechi za ushindani. Nyota huyo amekuwa kwenye ubora katika mechi ambazo anapata nafasi ya kucheza akianzia benchi ama kikosi cha kwanza amekuwa akionyesha kitu. Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya JKT…

Read More

Yanga SC vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC ni vinara wa ligi msimu wa 2025/26 ambao una ushindani mkubwa. Ushindi kwenye mchezo dhidi ya KMC FC uliochezwa Novemba 9,2025 unawapa tiketi ya kuwa namba moja kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 4. Awali ni watani zao wa jadi walikuwa hapo baada ya Mbeya City…

Read More

Wachezaji Azam FC kwenye hesabu nzito

WACHEZAJI wa Azam FC, matajiri wa Dar wapo kwenye hesabu nzito kuelekea mechi zijazo za ushindani msimu wa 2025/26. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge katika mchezo uliopita ilitoshana nguvu na Namungo FC ilikuwa Novemba 9,2025. Baada ya dakika 90 ubaowa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 1-1 Azam FC. Ni Azam FC walianza…

Read More

Aziz Andambwile kwenye maisha mapya Yanga SC

KIUNGO Aziz Andambwile kwa sasa yupo katika maisha mapya ndani ya kikosi cha Yanga SC baada ya kupoteza namba kikosi cha kwanza. Aziz zama za Romain Folz alikuwa akianza kikosi cha kwanza mara baada ya kocha huyo kufutwa kazi Oktoba 18,2025 nchini Malawi hajawa chaguo la kwanza kwa Kocha Mkuu, Pedro Goncalves ambaye yupo Jangwani…

Read More

Jonathan Sowah bao lake lazua utata Bongo, Nangu atajwa

JONATHAN Sowah mshambuliaji wa Simba SC bao lake alilofunga kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania limezua utata huku ikielezwa kuwa alikuwa kwenye mtego wa kuotea. Sowah alifunga bao hilo Novemba 8,2025 Uwanja wa Meja Isahmuyo wakati ubao uliposoma JKT Tanzania 1-2 Simba SC. Mabao matatu yalipatikana kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani, Edward Songo alianza…

Read More