KIUNGO YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS

KHALID Aucho kiungo wa zamani wa Yanga SC inatajwa kuwa amefikia makubaliano mazuri na Singida Black kuelekea msimu wa 2025/26. Kiungo huyo ni moja ya wachezaji waliowahi kufundishwa na Miguel Gamondi ambaye kwa sasa ni Kocha Mkuu wa Singida Black Stars. Anajiunga na Singida Black Stars ambayo inapeperusha bendera ya Tanzania kimataifa kwenye Kombe la…

Read More

CLEMENT MZIZE BADO YUPO JANGWANI

Mshambuliaji Clement Mzize wa Yanga SC ameboreshewa mkataba wake ambapo mshahara wake inatajwa itakuwa ni milioni 40 kwa mwezi akiwa mchezaji mzawa namba mbili kukunja mshahara mrefu. Namba moja ni Feisal Salum wa Azam FC ambaye inaelezwa kuwa anakunja milioni 50 kwa mwezi. Agosti 27 2025 Yanga SC wametangaza rasmi kuongeza mkataba na mshambuliaji huyo…

Read More

MZIZE KULIPWA MSHAHARA MREFU YANGA SC

MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Clement Mzize kuna uwezekano mkubwa akabaki ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2025/26 na atakuwa anakunja mshahara mrefu kwa mwezi. Taarifa zilikuwa zinaeleza kuwa Mzize kuna timu ambazo zinahitaji huduma yake kutoka Ulaya jambo ambalo lilikuwa linasubiriwa ni kuisha kwa mashindano ya CHAN. Wakati mashindano yanaendelea Tanzania imeishia hatua ya…

Read More

ATHLETIC BILBAO VS RAYO VALLECANO: VITA YA POINTI 6 LALIGA

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwako wewe kuondoka na ushindi?. Hapa unaweza ukachagua machaguo uyapendayo na kutengeneza jamvi lako na mechi uzipendazo. Liverpool, Bilbao, Inter wote wapo kwaajili yako. Tukianza na SUPER LIG kule Uturuki kuna mechi moja ya kuongeza kwa jamvi lako ambapo Eyupspor atamenyana dhidi ya Alanyaspor ambapo mwenyeji…

Read More