Aziz Ki Amzawadia Hamisa Gari ya G-Wagon ya Milioni 300
Kiungo nyota wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye hivi karibuni ameondoka Wydad Athletic Club na kujiunga na Al Ittihad Club ya Libya, amemzawadia mke wake, Hamisa Mobetto, gari la kifahari aina ya Mercedes Benz G-Class (G-Wagon) lenye thamani zaidi ya TSh milioni 300. Zawadi hiyo imekuja ikiwa ni maadhimisho ya mwaka mmoja wa ndoa…