Meridianbet Yabeba Bendera ya Matumaini Katika Mapambano Dhidi ya Saratani ya Matiti

Mwezi Oktoba kila mwaka, dunia nzima huungana kwa ajili ya matumaini, mapambano, na upendo. Kwa kampuni ya Meridianbet, huu si mwezi wa alama tu, bali ni muda wa kutekeleza matendo halisi yanayogusa maisha ya watu, hasa wanawake wanaopambana dhidi ya saratani ya matiti. Kupitia mpango wao wa kijamii unaoitwa “Tuko Pamoja Nanyi”, Meridianbet imeendelea kuwa…

Read More

Simba SC vs TRA United kitaumana Oktoba 30,2025

Simba SC itakaribishwa na TRA United kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Oktoba 30. Ofisa Habari wa TRA United, Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kuwakabili wapinzani wao kuelekea mchezo huo na maandalizi yapo tayari. Viingilio kwenye mchezo wa Oktoba 30 ni 20,000 VIP na mzunguko ni 10,000 ambapo tiketi…

Read More

Yanga SC vs Mtibwa Sugar, H2H

NBC Premier League inaendelea na leo Oktoba 28,2025 kutakuwa na mchezo mkali kwa wababe wawili kukutana Uwanja wa KMC Complex. Ni Yanga SC vs Mtibwa Sugar ya Morogoro hapa tunakuletea baadhi ya matokeo walipokutana mechi zilizopita:- 13/05/2024 FT: Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC 16/12/2023 FT: Yanga SC 4-1 Mtibwa Sugar 31/12/2022 FT: Mtibwa Sugar 0-1…

Read More

Simba SC vs TRA United mtihani mwingine kwa Pantev

MENEJA Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev kwenye mtihani mwingine wa Ligi Kuu Tanzania Bara ugenini msimu wa 2025/26. Simba SC vs TRA United unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa  Pantev kukaa benchi kwenye mechi za ligi mara baada ya kuchukua mikoba ya Fadlu Davids. Mechi mbili ameongoza Pantev akiwa ndani ya Simba SC ilikuwa…

Read More

Brendan Rodgers Ajiuzulu Celtic Scotland

Miamba ya soka ya Scotland, Celtic FC, imethibitisha kuwa Meneja wao Brendan Rodgers amejiuzulu rasmi leo kutoka nafasi yake ya ukocha. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na klabu hiyo, Celtic imesema imepokea na kukubali barua ya kujiuzulu kutoka kwa Rodgers, ambaye ataondoka katika majukumu yake mara moja. “Brendan anaondoka Celtic tukiwa na shukrani kwa nafasi aliyochukua…

Read More