Rais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, Orodha Ipo Hapa – (Picha +Video)

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza leo Novemba 17, 2025 Baraza jipya la Mawaziri katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Tangazo hilo limekuja kufuatia mabadiliko ya kiutendaji na mapitio ya baadhi ya wizara yaliyolenga kuongeza ufanisi, uwajibikaji na kasi ya utekelezaji wa mipango ya serikali….

Read More

Saudi Arabia Yajenga Uwanja Wa Mpira Angani – Una Vituo Vya Burudani Na Mazoezi…

Katika siku za hivi karibuni, Saudi Arabia imekuwa ikifanya juhudi kubwa kujiweka kwenye ramani ya dunia kama kiongozi katika maendeleo ya michezo, na mojawapo ya miradi mikubwa zaidi ni ujenzi wa uwanja wa mpira wa mawinguni, ambao unalenga kuwa kivutio cha kipekee katika sekta ya michezo duniani. Uwanja huu, unaojulikana kama Neom Sky Stadium au…

Read More

Mechi 8 za Kihistoria Leo – Ni Siku ya Washindi na Meridianbet! England On The Move! Albania Mna Bahati?

Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina machaguo zaidi ya 1000. Italy watakuwa dimbani kusaka ushindi dhidi ya Norway huku timu hizi mbili zikiwa zinafatana kwenye msimamo wa Kundi lao kwani mwenyeji ni wa kwanza akiwa…

Read More

Azam FC yaipigia hesabu AS Maniema kimataifa

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa sasa unaendelea na maandalizi kwa ajili ya mchezo wao wa kimataifa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika ambapo wataanzia ugenini. Azam FC saa 10:00 jioni watakuwa Uwanja wa De Martyrs kwenye kete yao ya kwanza katika anga la kimataifa ugenini Novemba 23,2025. Hasheem Ibwe, Ofisa Habari…

Read More