Ratiba ya hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika
TIMU nne kutoka Tanzania zimetinga hatua ya makundi katika mashindano ya CAF ambapo mbili zipo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na mbili zipo katika hatua ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba SC na Yanga SC zipo katika hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Azam FC na Singida Black Stars zipo katika hatua ya Kombe…