HONGERENI STARS, KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO

TUMEONA namna ambavyo wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars walivyokamilisha majukumu yao kwa kupata ushindi. Haikuwa kazi rahisi kushinda mchezo dhidi ya Niger ugenini hivyo wanastahili pongezi. Kuanzia benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki pongezi zinawastahili kwa kuwa wamefanya kazi kubwa. Furaha ambayo wameipata wachezaji inapaswa kuwa endelevu. Furaha ambayo wameipata mashabiki…

Read More

MASTAA AZAM FC WAONGEZEWA MAUJANJA

YUSUPH Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa ni muhimu kwa wachezaji wake kuongeza umakini wakiwa kwenye mechi za ushindani ili kupata matokeo mazuri. Timu hiyo kwenye mechi mbili za ugenini ilikomba pointi zote sita kwa sasa ipo Dar kwa maandalizi ya mchezo wake ujao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar. Ni pointi 19…

Read More

SIMBA YATAMBIA HIKI KUWAKABILI ASEC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utawaonyesha nguvu ya mashabiki wapinzani wao ASEC Mimosas kwa vitendo kwa kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo huo. Novemba 25 Simba inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Mkapa wakiwa na tuzo ya mashabiki bora wa African Fotball League.  Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano…

Read More

81 CRYSTAL FRUITS SLOTI RAHISI KUSHINDA MERIDIANBET

81 Crystal Fruits ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka Meridianbet inayojumuisha nguzo nne zilizopangwa katika mistari mitatu na una mistari ya malipo saba. Ili upate Bonasi ya Kurudia (Re-Spin Bonus), mchezo unakuwa na mchanganyiko wa ushindi aina 81. Ili kushinda, unahitaji kupata alama tatu au nne zinazofanana katika mfuatano wa ushindi. Mchanganyiko wowote wa kushinda…

Read More

BOSI YANGA ANUNUA KESI YA WAARABU WA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu katika Ligi ya Mabingwa Afrika ni kupata pointi tatu kwenye kila mchezo ikiwa ni pamoja na Waarabu wa Misri, Al Ahly. Ikumbukwe kwamba Al Ahly waliwafungashia virago Simba kwenye African Footbal League kwa faida ya mabao ya nyumbani baada ya mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Simba…

Read More

STARS YAPETA, MTUPIAJI AFUNGUKA

UKIWA ni mchezo wa ugenini kwa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Novemba 18 ilifanikiwa kupeta na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Niger katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali ya Kombe la Dunia 2026. Bao pekee la mchezo huo wa kwanza kuwania kufuzu Kombe la Dunia limefungwa na Charles M’mombwa dakiak…

Read More

CHAMA MAMBO BADO MAGUMU KWAKE

MWAMBA wa Lusaka, Clatous Chama mkali wa pasi za mwisho mambo bado ni magumu kwakwe kwa kushindwa kufurukuta kwenye mechi za hivi karibuni. Ikumbukwe kwamba Oktoba 5 2023 ilikuwa ni mara ya mwisho kwa staa huyo wa Simba raia wa Zambia kufunga ndani ya ligi kwa msimu wa 2023/24. Alifunga bao hilo kwenye mchezo wa…

Read More

KAZI KUBWA IFANYIKE KWA KILA MMOJA

KAZI kubwa inafanyika kwa kila mmoja kuendelea na mapambano kusaka ushindi ndani ya uwanja. Muda ni sasa kuonyesha kwamba inawezekana kupata matokeo ugenini. Benchi la ufundi tunaamini kwamba walipata muda wa kutosha kuzungumza na wachezaji. Sio kuzungumza pekee maneno ya kirafiki bali maneno ya kazi kuendelea kwa kila mmoja kutimiza majukumu yake. Ukweli ni kwamba…

Read More

ISHU YA KOCHA WA VIUNGO SIMBA BOSI AFUNGUKA

WAKATI tetesi zikieleza kuwa jina la Adel Zraine aliyewahi kuwa kocha wa viungo wa Simba lipo mezani, bosi ndani ya timu hiyo kafunguka kuhusu kurejea kwake kuanza kazoo majukumu mapya. Ikumbukwe kwamba nafasi ya kocha wa viungo ipo wazi baada ya aliyeanza na timu msimu wa 2023/23 Corneille Hategekimana aliyesitishiwa mkataba wake Novemba 7. Mbali…

Read More

TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI NIGER

LEO Novemba 18 2023 timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars itakuwa na mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa jijini Marrakech, Morocco ambapo wachezaji wa Stars Novemba 17 walifanya mazoezi katika mji huo Uwanja wa Marrakech Annex One. Adel Amrouche Kocha Mkuu wa Stars amesema wapo tayari…

Read More

AUCHO YAMEMKUTA HUKO

TIMU ya taifa ya Uganda kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 imeanza kwa kupoteza mchezo wa kwanza wa kundi G dhidi ya Guinea kwa mabao 2-1. Kiongozi wao ni nahodha Khalid Aucho anayeikipiga ndani ya kikosi cha Yanga, Uganda iliokota bao la dakika za jioni likifungwa na Seydouba Cisse katika dakika za nyongeza…

Read More

YANGA YAPENYA TANO CAF TIMU BORA

KLABU ya Yanga imetinga hatua ya tano bora kuwania tuzo ya klabu bora kwa wanaume kutoka CAF kwa mwaka 2023. Ikumbukwe kwamba Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika 2022/23 waligotea nafasi ya pili na katika ligi ya ndani walitwaa taji la Ligi Kuu Bara. Zama hizo ilikuwa inanolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi na kwa…

Read More

TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI NIGER

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars Adel Amrouche ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger. Stars itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi huo na imewasili salama Morocco kwa ajili ya mchezo huo kwa ndege iliyotolewa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu. Maandalizi yameanza…

Read More