HUYU HAPA MBADALA WA LUSI NA ONANA WAKISEPA SIMBA
AMEFAFANUA Meneja wa Idara ya Habari Simba namna ambavyo watawauza wachezaji wao pamoja na atakayebeba mikoba yao pindi watakapoondoka ndani ya timu hiyo wakati ujao.
AMEFAFANUA Meneja wa Idara ya Habari Simba namna ambavyo watawauza wachezaji wao pamoja na atakayebeba mikoba yao pindi watakapoondoka ndani ya timu hiyo wakati ujao.
OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe ameweka wazi kuwa wanaamini kwamba watarejea kwenye mashindano ya Mapinduzi wakati mwingine wakiwa imara baada ya kupoteza nafasi ya kutwaa taji hilo 2024. Ipo wazi kwamba Yanga iliondolewa katika hatua ya robo fainali na APR kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali na wamerejea Bongo kwa maandalizi ya mechi…
FAINALI ya Mapinduzi 2024 inawakutanisha wote walioshinda kwa mikwaju ya penalti huku timu inayopoteza ikipeleka malalamiko kwa waamuzi. Ni Januari 13 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa wababe wawili waliopata zali la kushindwa kwa mikwaju ya penalti baada ya dakika 90 ngoma kuwa nzito kwa timu zote mbili. Ni Mlandege 0-0 APR FC ilikuwa Januari 9…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa bado upo imara kwa ajili ya mashindano mengine licha ya kufungashiwa virago kwenye Kombe la Mapinduzi 2024. Ipo wazi kuwa Yanga iligotea hatua ya robo fainali baada ya kushuhudia ubao ukisoma Yanga 1-3 APR FC. Watakuwa mashuhuda wa fainali ya Mapinduzi 2024 wakiwa kwenye ardhi ya Bongo. Katika mechi…
MSENEGAL Bababacar Sarr kiungo mpya wa Simba ameanza balaa lake ndani ya Mapinduzi 2024 kwa kuonyesha kile kilichopo kwenye miguu yake. Nyota huyo anayetajwa kuwa na uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya mbili uwanjani ikiwa ni kiungo mkabaji na kiungo wa kata alitambulishwa rasmi Januari 6 kujiunga na Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhack Benchikha….
USAJILI wa dirisha dogo unaendelea ambapo kuna wachezaji waliotambulishwa mitaa ya Kariakoo kwa Yanga na Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga walikuwa wa kwanza kuanza utambulisho walipomtambulisha kiungo Shekhan Ibrahim kisha Simba walifuata kwa kumtangaza Saleh Karabaka. Kuna orodha ya wachezaji ambao wataachwa kabla ya dirisha la usajili kufungwa.
Huu ni mwaka wa hela tu ukiwa na Meridianbet basi umechagua kushinda kila siku, Cheza Kasino ya Mtandaoni bila hofu yeyote ya kupoteza na endapo itatokea umepoteza tiketi yako unapatiwa rejesho la 10% ya pesa yako. Jisajili na Meridianbet ufurahie bonasi hii. Meridianbet imekuwa ikitoa bonasi kibao kama mizunguko ya bure, Bonasi ya ukaribisho kwa…
Usiku wa leo moto utawaka katika dimba la Al-Awwal nchini Saudia Arabia ambapo itapigwa derby ya Madrid ambapo klabu ya Real Madrid itakipiga dhidi ya mahasimu wao klabu ya Atletico Madrid katika mchezo wa Spanish Super Cup. Mtanange huu licha ya kua mkali na wenye kuburudisha lakini Meridianbet hawatakuacha kinyonge, Kwani kupitia kipute hichi wamehakikisha…
NYOTA wa Mlandege FC kwake ni kicheko baada ya dakika 90 Januari 9 2024 kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali dhidi ya APR alipokomba milioni moja. Wakati akiwa kwenye furaha ya kukomba mkwanja huo anasubiri mshindi kwenye mchezo wa nusu fainali kati ya Simba ama Singida fountain Gate hatua ya nusu fainali unaotarajiwa kuchezwa…
KOCHA Mkuu wa Simba, Mualgeria, Abdelhak Benchikha, amewasilisha jina la kiungo wa zamani wa Paide Linnameeskond ya nchini Estonia, Babou Cham raia wa Gambia kwa ajili ya kuwa mbadala wa Clatous Chama. Benchikha tayari amewasilisha orodha ya wachezaji anaowahitaj kwa ajili ya kuongezwa katika dirisha dogo kati ya hao, yupo kiungo mkabaji Babacar Sarr aliyetambulishwa…
Klabu ya Chelsea wanakuja vizuri siku za karibuni kutokana na kushinda michezo kadhaa mfululizo jambo ambalo limekua nadra kwa klabu hiyo sio msimu huu tu bali kwa misimu miwili ya hivi karibuni. Unaweza kusema Chelsea wameanza kuja taratibu kutokana na hali yao katika ligi kuu ya Uingereza msimu, Hivo wao kupata matokeo ya ushindi mfululizo…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuhusu uwepo wawachezaji wenye uwezo mkubwa katika kikosi hicho zikiwa ni silaha zao za kazi za kupambania ushindi. Ipo wazi kwamba Yanga imeogotea katika hatua ya robo fainali Mapinduzi 2024 imerejea Dar kwa maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika.
INGIZO jipya ndani ya Simba limeongeza ugumu katika kikosi hicho ambapo kunakuwa na idadi ya wachezaji watatu kwenye eneo hilo ambalo lina kazi kubwa ikiwa ni Fabrince Ngoma, Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute. Ni Bababacar Sarr yeye anatajwa kuongeza ugumu kwenye eneo hilo ndani ya Simba.
MLANDEGE imetinga kwa mara ya pili mfululizo fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya kufanya hivyo 2023 na hatimaye kwa mara nyingine ni 2024. Katika hatua ya nusu fainali baada ya dakika 90 ilikuwa Mlandege 0-0 APR hali iliyopelekea mshindi kupatikana kwa mikwaju ya penalti. Ilikuwa Mlandege 4-2 APR huku mpigaji wa kwanza kwa APR…
MASTAA wa Yanga, Aziz KI, Yao, Pacome ni miongoni mwa nyota wanaofanya kazi kubwa ndani ya uwanja ambapo wamekuwa na vituko kadhaa kwenye uwanja na wakiwa uwanjani wanapiga kazi kwelikweli
KUELEKEA kwenye mchezo wa nusu fainali ya Mapinduzi 2024 Kocha Msaidizi wa Singida Fountain Gate, Nizar Khalfan amesema wanaamini mchezo wao dhidi ya Simba hautakuwa mwepesi ila wamejipanga kuhakikisha wanapata ushindi. Ipo wazi kuwa walipokutana kwenye mchezo wa hatua ya makundi ubao ulisoma Simba 2-0 Singida Fountain Gate hivyo wanakwenda kukutana kwa mara nyingine tena Januari…
ULE muda wa wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania kufanya kweli na kupata matokeo kwenye mechi za ushindani ni sasa kwa kuwa mashindano ya AFCON yapo mbele yao huku ushindani ukitarajiwa kuwa mkubwa kwa timu zote. Kwa namna ambavyo kila timu inahitaji ushindi imani kubwa hata kwa wachezaji wa Stars nao pia hesabu kubwa…