KOCHA MBABE WA YANGA ATAJWA SIMBA

ABDELHAK Benchikha aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa USM Alger anatajwa kuwa katika hesabu za kupewa mikoba ya Robert Oliveira. Baada ya ubao wa Uwanja wa Mkapa Novemba 5 2023 kusoma Simba 1-5 Yanga, Novemba 8 Simba ilitangaza kupeana mkono wa asante na Oliveira. Taarifa zimeeleza kuwa upo uwezekano koçha huyo aliyetwaa ubingwa wa Kombe la…

Read More

KWA NINI TEN HAG ANAHUKUMIWA?

ILIKUWA  April 14, 2012, miaka 11 nyuma. Kwenye mechi kati ya Pescara dhidi ya Livorno. Mchezaji Piermario Morosin, alipatwa na mshtuko wa moyo na kuanguka uwanjani. Baada ya juhudi kubwa za madaktari kuokoa uhai wake, saa moja na nusu mbele, aliaga dunia. Wanasema ni jukumu la daktari kutibu, kuponya ni kazi ya maulana. Unajua kilichotokea…

Read More

TAIFA STARS KAMILI GADO KWA KAZI

MAANDALIZI ya wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania yakizidi kupamba moto, nyota wa timu hiyo wameahidi wapo kamili kwa mechi zote zilizopo mbele yao. Simon Msuva anayekipiga Klabu ya JS Kabylie inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria ameweka wazi kuwa wanatambua ugumu uliopo kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180. Msuva amesema: “Tumekuja kupambania timu…

Read More

YANGA WAJA NA HILI KUHUSU MAJEMBE MAPYA

UONGOZI wa Yanga umeweka waz kuwa utafanya maboresho kwenye kikosi hicho kwa umakini kuelekea kwenye dirisha dogo linalotarajiwa kufunguliwa Desemba. Moja ya nyota wanaotajwa kuwa kwenye hesabu za kuwa ndani ya Yanga ni pamoja na Chvaviro ambaye yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na timu hiyo.

Read More

BOSI MO AIBUKA NA JAMBO HILI SIMBA

BAADA ya kimya cha muda tangu ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-5 Yanga, hatimaye ameibuka bosi wa Simba na kuwaomba mashabiki watulie kipindi hiki cha mpito. Ni Rais wa Heshima wa Simba , Mohamed Dewji amewaomba mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale….

Read More

PANGA LINAPITA NDANI YA SIMBA BOSI AMESEMA

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salum Abdallah ‘Try Again’ amewapa mwezi mmoja na nusu mastaa wao kutumia kipindi hicho kujihakikishia nafasi ya kubaki kikosini. Simbahaijawa kwenye mwendo mzuri mwanzo wa msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kufikia malengo yao ambayo walijiwekea ikiwa ni pamoja na mashindano ya African Football League. Mashindano hayo mapya…

Read More

KIEPE NYANI, TANZANIA ONE ASIYEIMBWA

FADHILI Majiha (Kiepe Nyani) bondia wa ngumi za kulipwa nchini ambaye kwa sasa anashikilia rekodi ya kuwa bondia namba moja (Tanzania One) akiwa na hadhi ya nyota nne. Majiha ambaye ni bingwa wa WBC Afrika na UBO alianza kucheza ngumi za kulipwa mwaka 2008 ambapo pambano lake la kwanza alipanda ulingoni dhidi ya Ramadhan Kumbele…

Read More

WANAJESHI HAWA WA AZAM KWENYE MAJUKUMU YA TAIFA

 WANAJESHI sita ndani ya kikosi cha Azam FC wameitwa kwenye timu zao za taifa. Kwa sasa Ligi Kuu Bara ipo kwenye mapumziko kupisha mashindano ya kimataifa ambapo timu zitakuwa kwenye mechi za  kufuzu Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026. Mastaa hao walioitwa kwenye timu za taifa ni wanne wapo kambini timu ya taifa ya…

Read More

KISA MGHANA HUYU SINGIDA FOUNTAIN GATE YAPIGWA PINI

IKIWA ni muda wa mapumziko kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara, Klabu ya Singida Fountain Gate inayotumia Uwanja wa Liti imepigwa pini kwenye suala la usajili. Timu hiyo ya Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC ya Singida Fountain Gate FC zamani ilikuwa ikiitwa Singida Big Stars FC imefungiwa kusajili mpaka itakapomlipa mchezaji…

Read More

SIMBA SC YATAMBA KUWA WA KWANZA KATIKA HILI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefanikiwa kuwa timu ya kwanza Afrika Mashariki kuzindua Simba SC WhatsApp Channel. Rasmi leo Novemba 14 Simba imetambulisha chanel hiyo ikiwa ni chanzo cha kutoa taarifa kwa mashabiki na dunia nzima kiujumla. Imani Kujula, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema: “Leo tunazindua Simba Sports Club WhatsApp channel. WhatsApp imepakuliwa na…

Read More

KAZI KUBWA NI KUSAKA USHINDI NYUMBANI AMA UGENINI

KILA timu inaposhuka uwanjani mpango kazi mkubwa ni kupata ushindi. Iwe ni kwenye mchezo wa kirafiki hata ule wa ushindani malengo bado yanabaki palepale kwa kila timu kuhitaji kuwa kwenye mwendo mzuri. Kwa sasa timu nyingi zipo kwenye maandalizi kwa ajili ya mechi za kitaifa na kimataifa hilo lipo wazi. Zipo ambazo malengo makubwa ni…

Read More

AZAM FC HAWATAKI UTANI HUKO

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani kwenye mechi zao za ligi kwa kuweka wazi kuwa watendelea kasi yao ileile waliyoanza nayo kwenye mechi za ugenini. Ipo wazi kuwa kwenye mechi mbili za ugenini Azam FC inayonolewa na Yusuph Dabo ilikomba pointi sita mazima ndani ya dakika 180. Ilianza kushuhudia ubao wa Uwanja wa Lake…

Read More

MWAMBA PHIRI ANAKUJA

MOSES Phiri, nyota wa Simba mdogomdogo anazidi kurejea kwenye ubora wake kutokana na kasi yake kwenye kufunga na kutoa pasi za mabao kuanza kuimarika. Ipo wazi kwamba zama za kocha Roberto Oliveira hakuwa chaguo la kwanza katika kikosi hicho na mechi nyingi alianza kusugua benchi licha ya uwezo alionao. Ni mabao matatu katupia ndani ya…

Read More