SIMBA V NAMUNGO HAIJAWAHI KUWA RAHISI

KITAUMANA leo kwa wababe wawili ndani ya uwanja kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru. Ni Simba watakuwa nyumbani wakiikaribisha Namungo wauaji wa kusini kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na haitakuwa kazi rahisi kwa wote jasho litamwagika. Hapa tunakuletea baadhi ya hesabu zitakazoongeza ugumu kwa timu zote…

Read More

CHAMA KUMWAGA MAMILIONI Bet Winner

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha, Bet Winner kupitia promo code ya CHAMA inakupa nafasi ya kupata bonasi hadi Shilingi 390,000 punde utakapojiunga na kuweka salio kwenye akaunti yako. Bet Winner ambayo kwa sasa inakimbiza kwenye soko la wanaobet mtandaoni, imeipa nafasi promo code ya CHAMA (kwa herufi kubwa) kuwa ndio itakayowapa bonasi wateja wake wote…

Read More

MKIA UMALIZWE, WACHEZAJI WANALIA NA MENGI

MACHOZI ya wachezaji uwanjani yafutwe kwa vitendo na sio maneno yale ya kuwapa moyo kwamba haya yatapita. Kwenye mechi nyingi wanazocheza wapo wale wanaoumia kutokana na matokeo wengine hawajali. Ipo wazi kwamba katika dakika 90 za kutafuta matokeo yapo mengi ambayo yanatokea.Kikubwa ni viongozi kuangalia kipi kinachofanyika baada ya mchezo. Mashuhuda kwenye mchezo wa Kariakoo…

Read More

HIVI NDIVYO YANGA ILIVYOIFUNIKA SIMBA

MUUNGANO wa nyota watatu ndani ya kikosi cha Yanga ambao ni Pacome Zouzoah, Aziz KI na Maxi Nzengeli ni dawa tatu ndani ya kikosi hicho kutokana na dozi ambazo wanatoa kwa wapinzani wao. Mastaa hao watatu wamehusika kwenye mabao 18 kati ya 26 yaliyofungwa na timu hiyo baada ya kucheza mechi 9 ambazo ni sawa…

Read More

LAKINI SIMBA MNA UHAKIKA TATIZO NI ROBERTINHO?

MWANAMUZIKI mkazi wa mkoani Morogoro, Selemani Msindi ‘Afande Sele’ aliwahi kuimba ‘kama hip-hop itakufa ni nani anapaswa kuchunwa ngozi? Je, ni Producer, mapromota au wasanii?’ Tungo hii ilikuwa na ujumbe kuwa ni lazima atafutwe wa kuwajibika kutokana na kudorora na ikitokea mziki huo wa ‘kufokafoka’ ukafa, hasa baada ya mziki wa aina ya Bongo Fleva…

Read More

MAN UTD YACHAPIKA TENA UEFA, RASHFORD APEWA KADI NYEKUNDU

Manchester United iliyokuwa pungufu ya mchezaji mmoja baada ya Marcus Rashford kuoneshwa kadi nyekundu imekubali kichapo cha 4-3 dhidi ya wenyeji FC Copenhagen katika dimba la Parken, Copenhagen. FT: FC Copenhagen ?? 4-3 ??????? Man United ⚽ Elyounoussi 45′ ⚽ Goncalves 45+9′ ⚽ Lerager 83′ ⚽⚽ Højlund 2′ 27′ ⚽ Bruno (P) 69′ ? Rashford…

Read More

MATOLA SELEMAN KAZINI NDANI YA SIMBA

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba ameanza kazi ya kuwanoa wachezaji wa timu hiyo. Novemba 8 2023 alitambulishwa kurejea ndani ya kikosi cha wakubwa baada ya kuwa katika timu ya vijana. Anashirikiana na Kaimu Kocha Mkuu Cadena Daniel ambaye alikuwa ni kocha wa makipa akichukua kwa muda majukumu ya Roberto Oliveira raia wa Brazil. Mchezo…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA COASTAL UNION

HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Coastal Union ya Tanga, Uwanja wa Mkwakwani. Huu ni mchezo wa ligi ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90 kwenye mchezo utakaochezwa saa 12:30:- Aboutwalib Mshery Yao Attouhula Kibabage Bacca Nondo Aucho Maxi Muda Musonda Aziz KI Zouzoua

Read More

SIMBA KAMILI KUKABILIANA NA NAMUNGO

DANIEL Cadena, Kaimu Kocha Mkuu wa Simba amesema wamefanya maandalizi mazuri kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru, Novemba 9 2023. Ikumbukwe kwamba Simba imetoka kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-5 Yànga, Novemba 5 2023. Cadena ambaye aliwahi kuinoa Azam FC kwa upande…

Read More

WAKALI WA 5 G KWENYE KAZI NYINGINE LEO TANGA

MABINGWA mara 29 wa Ligi Kuu Bara Yànga leo wanakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Chini ya Miguel Gamondi, Novemba 5 2023 walishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-5 Yànga. Kocha huyo ameweka wazi kuwa kuna ushindani mkubwa kwenye ligi na mechi ambazo wanacheza zimeongozana hivyo ugumu upo….

Read More

KOCHA MPYA SIMBA AANZA KAZI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa upo kwenye mikono salama ya kocha wa muda ambaye amechukua mikoba ya Roberto Oliveira. Kocha Oliveira ambaye alikomba tuzo ya kocha bora ndani ya ligi Oktoba kutokana na mwendo wake bora alikutana na mkono wa asante Novemba 7 ikiwa ni baada ya kupoteza mchezo wa ligi dhidi…

Read More

GAMONDI MASTA KUWABADILISHIA MBINU WAPINZANI

MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa anaingia uwanjani kulingana na aina ya wapinzani ambao atakutana nao ndani ya dakika 90. Novemba 5 Yanga ilikomba pointi tatu mazima dhidi ya watani zao wa jadi Simba kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 1-5 Yanga. Pointi tatu kibindoni na…

Read More

PESA ZINAMIMINIKA LEOUSIKU MECHI ZA UEFA, PIGA MKWANJA

Habari mteja wetu pendwa wa Meridianbet, kama kawaida leo hii usiku wa Ulaya unaendelea huku Meridianbet wakiwa tayari wamekuwekea mechi za kupiga mkwanja pamoja na ODDS za kibabe hapo. Unachotakiwa kufanya ni kuingia Meridianbet haraka na kuanza kubashiri. Kaatika dimba la San Siro ambapo AC Milan atakuwa mwenyeji wa PSG. Milan yupo nafasi ya mwisho…

Read More