BONASI KIBAO KUTOLEWA UKITUMIA AIRTEL PUSH

Anza mwaka na Funga mwaka na Airtel Push ndani ya Meridianbet kibabe ambapo wakali wa ubashiri Tanzania wamekuja na promosheni kali kabisa kwa wateja wao wa Airtel. AIRTEL PUSH ni promosheni ambayo ilianza toka Januari 01, na itamalizika mwisho wa mwaka yaani mwezi Disemba 31 mwaka 2025 na Meridianbet wanakwambia hivi pesa yako ya kwanza…

Read More

BEKI YANGA SC APATA DILI NONO

BEKI wa zamani wa Yanga SC Gift Fred ambaye alishindwa kupata namba kikosi cha kwanza na kupewa Thank You anatajwa kupata dili nono kwa ajili ya changamoto mpya. Gift Fred anakaribia kujiunga na Klabu ya KCCA ya nchini Uganda katika msimu ujao wa 2025/26 kwa ajili ya kutimiza majukumu yake. Gift anakwenda kujiunga na KCCA…

Read More

KIUNGO WA MPIRA YANGA SC AREJEA KAZINI

KIUNGO wa mpira ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi amerejea kazini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za kukamilisha mzunguko wa pili 2024/25. Yanga SC ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 73 baada ya mechi 27 ni mechi tatu zimebaki kwa mujibu wa ratiba huku wao wakibainisha kuwa…

Read More

MCHEZO WA KASINO MAFIA CLASH, KUTANA NA MWAMBA ANAYELIPA ZAIDI

Tunakuletea mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye mizunguko ya mara nyingi. Furahia sherehe ya kipekee. Mafia Clash ni mchezo wa kasino ya mtandaoni inaotoa bonasi kibao kwa wachezaji, sloti hii imetengenezwa Hacksaw Gaming. Mchezo huu kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni una thamani inayoweza…

Read More

STARS VS BAFANA BAFANA NI VITA YA REKODI LEO

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kushuka dimbani usiku wa leo kuwakabili wenyeji wao, Bafana Bafana ya Afrika Kusini, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaopigwa kwenye Uwanja wa Peter Mokaba kuanzia saa 2:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu unatoa nafasi ya kutengeneza pesa kubwa kwa wabashiri kupitia Meridianbet. Licha…

Read More

MILIKI SAMSUNG A25 MPYA UKIBASHIRI NA USSD

Meridianbet inafurahia kutangaza kampeni mpya inayowezesha wateja wake kupata Samsung A25 mpya kabisa kwa urahisi kupitia huduma ya USSD. Wateja sasa wanaweza kushiriki na kudai zawadi zao kwa kupiga *149*10# bila shida yoyote, kwa haraka na kwa usalama wa hali ya juu. Hii ni fursa ya kipekee kwa wapenzi wa teknolojia kupata simu bora mkononi,…

Read More

YANGA YAFUNGA MJADALA KARIAKOO DABI

RASMI Uongozi wa Yanga umetangaza kufunga mjadala wa kuzungumzia kucheza mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba ambao ulihairishwa na Bodi ya Ligi Kuu Bara ambao umepangwa kupigwa Juni 15, mwaka huu Uwanja wa Mkapa, Dar. “Sisi tuna mawasiliano na bodi ya ligi, kuelekea dabi sisi tumeshatoa msimamo wetu na tumeshaweka ‘fixtures’ zetu za kumaliza…

Read More