
VIDEO: SIMBA WAMETOA TAMKO KUHUSU WAARABU, SABABU YAKUPOTEZA
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba wakiwa wapo hatua ya robo fainali wamebainisha kuwa kugotea mara nyingi hatua ya robo fainali kumewapa somo kubwa ambalo hawataki kuona linajirudia tena kwa msimu wa 2024/25. Kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali wakiwa ugenini, Simba walishuhudia ubao wa Uwanja wa Suez Canal ukisoma Al Masry…