MAYELE ATETEMA KWA MARA NYINGINE YANGA IKISHINDA

KIKOSI cha Yanga kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa mabao ya Bernard Morrison dk ya 4 na Fiston Mayele dk ya 67. Mayele ametetema kwa mara nyingine kwenye mchezo wa leo ambao alianzia benchi na alichukua nafasi ya Makambo Heritier….

Read More

DR CONGO WAIDUWAZA MISRI AFCON

TIMU ya taifa ya DR Congo iliyokuwa kundi F na timu ya taifa ya Tanzania imekata tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON). Ilikuwa katikà 16 bora dhidi ya Misri ya Mohamed Salah ambaye kagotea hatua hiyo na mpango wa kutinga nusu fainali umeyeyuka mazima. Wababe hao walitinga hatua ya…

Read More

BAO LA SAKHO LACHAGULIWA KUWA BAO BORA LA WIKI

PAPE Sakho kiungo mshambuliaji wa Simba bao alilowatungua RS Berkane limechaguliwa kuwa bao bora la wiki katika mashindano ya Kombe la Shirikisho. Pape alipachika bao hilo Uwanja wa Mkapa, Machi 13 wakati Simba ikivuna pointi tatu mazima. Ilikuwa dakika ya 44 Sakho alifanya hivyo baada ya kupokea pasi kutoka kwa Meddie Kagere. Kabla ya kufunga…

Read More

NTIBANZOKIZA KUIKOSA NAMUNGO KESHO KWA MKAPA

KOCHA Msaidizi wa Yanga Cedric Kaze amethibitisha kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Saido Ntibazonkiza atakosekana kwenye pambano la kesho dhidi ya Namungo kutokana na majeraha. Akiongea na Waandishi wa Habari kuelekea pambano la kesho Kaze amesema Saido Nitbazonkiza hawezi kuwa sehemu ya kikosi hicho japo viungo wengine waliokuwa majeruhi kama Khalid Aucho na Feisal Salum…

Read More

YANGA SC YAIGOMEA KARIAKOO DABI MAZIMA

YANGA SC wamebainisha kuwa msimamo wao kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC uliotarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 upo palepale. Yanga imebainisha kuwa msimamo wao upo palepale kuhusu mchezo huo licha ya CAS kutoa majibu ya kesi yao kuhusu kesi ya mchezo huo. Taarifa iliyotolewa na Yanga SC Mei 5 2025 imeeleza namna…

Read More

INIESTA NA MESSI WATAJWA BARCELONA

JOAN Laporta, rais wa Barcelona amebainisha kuwa jambo lolote linaweza kutokea kuhusu suala la Lionel Messi pamoja na Andre’s Iniesta kurejea ndani ya Camp Nou.   Tayari Barcelona inayoshiriki La Liga imemrejesha staa wao wa zamani beki wa makombe Dani Alves ambaye alikuwa ni chaguo la Kocha Mkuu, Xavi Hernandez. Alves mwenye miaka 38 amesaini…

Read More

LIVERPOOL WAMECHANA MKEKA

TAIWO Awoniyi amezima furaha ya mashabiki wa Liverpool na kuwafanya Nottm Forest kubaki na pointi tatu wakiwa nyumbani. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England, bao la ushindi limefungwa dakika ya 55kipindi cha pili jitihada za Liverpool kusaka usawa na ushindi zikakutana na uimara wa kipa wa wapinzani wao. Ni mashuti 10 Nottm walipiga na 7…

Read More

FRED V GUEDE BADO WANAJITAFUTA HUKO

KAZI imeanza ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kila mchezaji kupambania kuonyesha uwezo wake uwanjani huku kukiwa na vita kubwa kwenye upande wa washambuliaji kuonyesha uwezo wao. Baada ya mechi za hivi karibuni mastaa wa Simba na Yanga kila mmoja alikuwa na kazi ya kufanya ni Michael Fred wa Simba na Joseph Guede mwamba wa…

Read More

ALI KAMWE: AZIZ HAWEZI KUCHEZA NA WATU WANAOFANYA DHULUMA

“Aziz Ki ni kweli anamaliza mkataba wake lakini kwa hapa sioni kama kuna timu ambayo Aziz anaweza kucheza, Aziz anahitajika na timu nyingi kwa hizi timu za Afrika Kusini Aziz hawezi kucheza na watu wanaofanya dhuluma namna ile” “Ziko ofa nyingi lakini kubwa ambalo naweza kuwaambia wanayanga, wachezaji bora ambao wamewaona kwenye kikosi chetu wanasalia…

Read More