
AMETEMBEZA MKWARA HUU MRITHI MIKOBA YA DIARRA
AMETEMBEZA mkwara huu hapa mrithi wa mikoba ya Diarra, ndani ya kikosi cha Yanga
AMETEMBEZA mkwara huu hapa mrithi wa mikoba ya Diarra, ndani ya kikosi cha Yanga
Mechi mbalimbali zinaendelea na tayari ODDS KUBWA zipo tayari kwenye app ya meridianbet hivyo ingia sasa na uanze kusuka mkeka wako wa maana hapa, Unachotakiwa kufanya ni kuweka dau lako na kuanza kutengeneza pesa sasa. Raundi ya 4 kombe la FA Uingereza kuendelea hii leo Southampton dhidi ya Watford FC ambapo timu hizi zote zinatokea…
WENYEJI Tabora United wakiwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi wamekubali kupoteza pointi tatu mbele ya wapinzani wao Simba ndani ya dakika 90 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao ulikuwa ni kiporo. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Tabora United 0-4 Simba wakikomba pointi tatu ugenini. Mabao ya Simba yamefungwa na Pa Omary Jobe dakika…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa ni lazima safu yake ya ulinzi kuhakikisha inakuwa kwenye mwendo bora kila wakati katika mechi za ushindani ili kuongeza nguvu ya kupata ushindi. Katika safu ya ulinzi ya Yanga chaguo namba moja kwa Gamondi ni Dickson Job beki mwenye rekodi ya kuwa mfungaji wa bao la…
Klabu ya Yanga leo Feburari 6, 2024 imesani mkataba wa miaka miwili na Hospitali ya Aga Khan kwa ajili wachezaji kufanyiwa vipimo vya afya bure na Wanachama wetu kupata punguzo kubwa la bei wanapokwenda kutibiwa kwenye Hospitali ya Aga Khan wakiwa na kadi zao za Uanachama. “Lengo la klabu ya Yanga kuingia mahusiano na Hospitali…
Dkt Jerecki ndiye muanzilishi wa mchezo wa Roulette ambapo yeye binafsi alikuwa akifika kwenye jumba la kasino majokeri wenzake wanamkimbia kwa kuogopa kupunwa pesa zao. Jamaa alifariki akiwa na miaka 80 na kwa namna ya kipekee mchango wake kwenye ulimwengu wa michezo ya Kamari anakumbukwa. American Roulette sawa na michezo mingine ya Roulette unapatikana Meridianbet…
KIKOSI cha Simba kina kazi ya kukabiliana na Tabora United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwiny. Simba imetoka kupata ushindi ugenini ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika uliposoma Mashujaa 0-1 Simba na bao likifungwa na Said Ntibanzokiza baada ya dakika 90. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano…
MARA baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa juzi Jumamosi, Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ametamba kujipanga kuzoa pointi zote 15 za michezo yao mitano ijayo ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuwa mabingwa. Simba juzi Jumamosi ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao…
KILA siku tunashuhudia ushindani mkubwa kwenye mechi ambazo zinachezwa ndani ya uwanja wa kila timu kupambania kupata ushindi hilo ni jambo la msingi ambalo linapaswa kuwa endelevu. Wakati haya yanaendelea kumekuwa na tatizo la wachezaji kuendelea kutumia nguvu nyingi na wakati mwingine kucheza faulo hata pale ambapo haihitajiki kabisa. Muhimu kuongeza umakini na kuendelea kucheza…
YANGA imeibuka na ushindi wa bao 1-0 Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Bao pekee la ushindi limefungwa na Mudathir Yahya dakika ya 86 akitumia pasi ya Kibabage. Wakali wote wawili walitokea benchi kipindj cha pili ambapo Dodoma Jiji walikuwa wanakaribia kupata pointi moja mpango ukavurugwa jioni. Mbinu…
UONGOZI wa Tabora United umesema kuwa hauna hofo na mchezo wao dhidi ya Simba ambao utakuwa wa ligi wapo tayari kuchukua pointi tatu kwa namna yoyte watakapokutana ndani ya uwanja. Ofisa Habari wa Tabora United, Christina Mwagala amesema kuwa kikosi walichonacho pamoja na usajili mzuri waliofanya unawapa nguvu ya kupata matokeo kwenye mechi zao zote…
Kila mtu ni staa wa maisha yake, kila unachokifanya unaweza kujikuta unafaidika nacho na kukufanya kuwa maarufu, ipo mifano mingi ya watu tunaowafahamu ambao walicheza kasino mtandaoni ya Meridianbet na kujikuta matajiri wakutupwa. Nafasi ni yako JISAJILI NA MERIDIANBET kama bado ili ufurahie michezo mingi ya kasino mtandaoni na sloti yenye kukupa maokoto muda wowote….
KIPA wa Yanga, Aboutwalib Mshery mrithi wa mikoba ya Djigui Diarra ndani ya Yanga ameweka wazi kuwa malengo makubwa yaliyopo ni kupata ushindi kwenye mechi ambazo wanacheza
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Tabora United. Februari 6 Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tabora United unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Tayari viingilio kwenye mchezo huo vimewekwa wazi ikiwa ni 5,000…
GAMONDI aisuka pacha ya staraika mpya Yanga, Benchikha atangaza pointi 15 za ubingwa Simba ndani ya Championi Jumatatu
MIAMBA hii imekabidhiwa mechi ya Simba wakiwa wapo ndani ya kikosi cha Azam FC kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba ikiwa ni Mzizima Dabi
Fainali za Kombe la Dunia la mwaka 2026 zitafanyika kwenye Uwanja wa MetLife, katika jimbo la New Jersey, Marekani, waandaaji wa michuano hiyo, FIFA, walitangaza Jumapili. New York na New Jersey kwa pamoja ziling’ang’ania nafasi hiyo, huku zikikabiliwa na ushindani mkali kutoka kwa Texas, ili kuwa wenyeji wa mchuano utakaofanyika tarehe 19, mwezi, kama kilele…