MAJOGOO WASEPA NA KOMBE MUUAJI ACHEKELEA VIJANA

KLABU ya Liverpool imetwaa ubingwa na  wa Carabao kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Chelsea  Uwanja wa Wembley. Katika dakika 90 za mwanzo ngoma ilikuwa ngumu wakati Liverpool ikicheza bila ya uwepo wa mshambuliaji wao nyota Mohamed Salah ambaye bado hajawa fiti. Beki wa kazi ngumu Virgil van Dijk alifunga bao pekee la ushindi kwenye…

Read More

SIMBA AKILI ZOTE KWA JWANENG

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema mpango mkubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy. Ipo wazi kwamba mchezo uliopita wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundiilishuhudia ubao ukisoma ASEC Mimosas 0-0 Simba. Ndani ya msako wa pointi tatu wababe hao wote wawili waligawana pointi mojamoja…

Read More

YANGA YAKOMBA MILIONI 20 KISA WAARABU

YANGA wameandika rekodi ya kutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya wapinzani wao CR Belouizdad mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ushindi huo umewapa fursa Yanga chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi kuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali kwa Tanzania huku Simba ikiwa na kibarua cha kusaka ushindi…

Read More

YANGA YATINGA ROBO FAINALI KIBABE

Wananchi wanaandika historia ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya kwanza kufuatia ushindi wa 4-0 dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria kwenye hatua ya makundi. FT: Young Africans ?? 4-0 ?? CR Belouizdad ⚽️ Mudathir Yahya 43’ ⚽️ Aziz Ki 46’ ⚽️ Kennedy Musonda 48’ ⚽ Joseph Guede…

Read More

MERIDIANBET YATOA MSAADA KWA ZAHANATI YA KIJITONYAMA

Neno ambalo unaweza kusema ni kua Kijitonyama imebarikiwa kwakua imepata nafasi ya kufikiwa na kampuni bingwa kabisa ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet, Ambapo wameweza kufika eneo hilo na kutoa msaada katika Zahanati. Mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamefanikiwa kutoa msaada wa vifaa vya usafi katika Zahanati hiyo, Kwani wametoa Ndoo za kuhifadhia takataka…

Read More

Kwapua Mkwanja wa Meridianbet Jumamosi ya Leo

  Jumamosi za leo nyasi mbalimbali kwenye ligi tofauti zitawaka vilivyo, huku kila timu ikihitaji kukusanya pointi tatu za muhimu ili kuendelea kujikita kwenye nafasi nzuri za msimamo wa ligi. Nani ni nani leo. Ingia meridianbet na utandike jamvi lako. Darubini yangu inaanza kumulika ligi ya  EPL ambapo pale Old Trafford Manchester United baada ya…

Read More

SIMBA NGOMA NI NZITO KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ngoma ni nzito baada ya kugawana pointi moja na wapinzani wao ASEC Mimosas. Kwenye mchezo huo wa hatua ya makundi Simba ilikuwa na hesabu za kupata pointi tatu kama ilivyokuwa kwa wapinzani wao mwsho ubao ukasoma ASC Mimosas 0-0 Simba. Ngoma ni nzito kwa Simba katika…

Read More

RAIS WA CONGO, FELIX TSHISEKEDI ATANGAZA KUMPATIA ZAWADI MCHEZAJI LUVUMBU NZINGA

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi ametangaza kumpatia zawadi mchezaji Luvumbu Nzinga ambaye ameachana na klabu ya Rayon Sports ya Rwanda hivi karibuni. Katika mkutano na waandishi wa habari alifahamisha kuwa Luvubu alionyesha ushujaa katika kuwapigania wananchi wa DRC waliopo Kaskazini mwa nchini hiyo ambao wanaendelea kuyakimbia makazi yao kutokana na mapigano…

Read More