GAMOND AACHANA NA AL NASR YA LIBYA KISA MSHAHARA

Miguel Gamondi Aachana na Al Nasr SC Libya Kwa Sababu ya Malipo Ya kutolipwa mshahara na marupurupu mengine Miguel Gamondi, kocha wa soka mwenye umri wa miaka 58, ameamua kuachana na klabu ya Al Nasr SC ya Libya kwa sababu ya klabu hiyo kushindwa kulipa mishahara na ada zake. Gamondi alijiunga na klabu hiyo mnamo…

Read More

KIBU D ALIYEYUSHA MWAKA BILA KUFUNGA BONGO

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis ambaye ni maarufu kwa jina la mkandaji alipitisha mwaka mzima bila kufunga ndani ya ligi kwenye mechi za ushindani ambapo mara ya mwisho alifanya hivyo msimu wa 2023/24 jambo ambalo lilikuwa ni gumzo kubwa. Ikumbukwe kwamba nyota huyo ambaye ni chaguo la kwanza katika kikosi cha Simba kinachonolewa na…

Read More

KOCHA YANGA KWENYE HESABU NDEFU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud ameweka wazi wachezaji wake wanafanya kazi kubwa kutafuta matokeo uwanjani jambo ambalo linapaswa kuwa endelevu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi. Ipo wazi kwamba ndani ya Februari kocha huyo ametwaa tuzo ya kocha bora baada ya kuwashinda wawili aliongia nao kwenye fainali ya kumtafuta kocha bora. Katika mechi…

Read More

SINGIDA BLACK STARS KUZINDUA UWANJA KUKIPIGA NA YANGA

Klabu ya Singida Black Stars itazindua uwanja wake mpya wa ’AIRTEL STADIUM’ Machi 24, 2025. Uwanja huo utazinduliwa kwa mechi ya kirafiki katibya Singida Black stars dhidi ya Yanga SC. Kwenye taarifa yao, Singida wamesema kuwa uwanja huo umejengwa kwa viwango vya kimataifa na unatarajiwa kuwa kitovu cha mashindano makubwa ya kitaifa na kimataifa. Je,…

Read More

HUSSNA AFICHUA MAZITO ALIYOKUTANA NAYO OMAN ALIPOISHI MIAKA 2 – AFIKA na WADADA WENGINE 6 AIRPORT…

Watanzania 7 waliokuwa wakifanya kazi za ndani nchini Oman wamerejea nchini ambapo @zali_mapito aliwapokea na kuzungumza nao kuhusu maisha waliyopitia wakiwa nchini Oman na sababu zilizowarejesha nchini. Miongoni mwao yupo mwanadada Husna, ambaye amefanya kazi Oman kwa miaka 2, akiwa tayari ameshapitia kwenye nyumba za mabosi wake watatu. Husna ameeleza yote kuhusu kubadilisha mabosi hao…

Read More

PATA MAMILIONI NA KASINO MTANDAONI

Historia ya Kasino inaonesha kwamba, watu wengi wanaocheza kasino hushinda kuliko kushindwa, Meridianbet Kasino ya Mtandaoni ni chimbo la utajiri na kukamilisha ndoto za mtu yeyote. Kutana na mchezo wa kasino unaitwa Vegas Mega Spin ni mchezo wa sloti wenye nguzo tano katika mistari mitatu na ina mistari 25 ya malipo iliyofungwa. Ili kupata ushindi…

Read More

MASTAA YANGA WAPEWA KAZI NA KOCHA WAO

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud ameweka wazi wachezaji wake wanafanya kazi kubwa kutafuta matokeo uwanjani jambo ambalo linapaswa kuwa endelevu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi. Miloud kibindoni ana tuzo ya kocha bora ndani ya Februari baada ya kukiongoza kikosi cha Yanga kwenye mechi 5 ambazo ni dakika 450 ushindi ilikuwa kwenye mechi…

Read More

KIBU AFUNGUKIA TUZO YAKE BONGO

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis maarufu kwa jina la mkandaji amechekelea kutwaa tuzo yake ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara namba nne kwa ubora Afrika baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa KMC Complex. Ikumbukwe kwamba Machi 14 2025 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja…

Read More