AFCON 2025 Yazidi Kupamba Moto Mechi Kali Zarejea Leo

Wakali wa ubashiri Meridianbet wanakukaribisha wewe mteja ana ambaye bado hujajiunga na kampuni hii pendwa ya ubashiri uje utimize ndoto zako hapa. Tandika jamvi la ushindi leo hapa hapa. Tukianza na mechi hii ya Angola wao watakipiga dhidi ya Egypt ni moja ya mechi kali kabisa kupigwa huku kila timu ikihitaji kushinda mechi hii. Ikumbukwe…

Read More

AFCON 2025: Gabon 2-3 Msumbiji

JUMAPILI yenye utulivu imeshuhudia moja ya mchezo wenye ushindani mkubwa na dakika 90 zikikamilika kwa mabao 5 kufungwa uwanjani. Gabon 2-3 Msumbiji mchezo wa hatua ya makundi AFCON 2025 nchini Morocco Desemba 28,2025. Ni mchezo wa pili kati ya mitatu kwa kundi F. Magoli ya Gabon yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 45+5 na Moucketou-Moussounda…

Read More

Chelsea Yapigwa Nyumbani — Aston Villa Yaondoka na Ushindi wa 2–1 Stamford Bridge

Chelsea imejikuta ikipoteza pointi muhimu mbele ya mashabiki wake baada ya kukubali kichapo cha 2–1 dhidi ya Aston Villa katika mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa kwenye dimba la Stamford Bridge. Mchezo ulianza kwa kasi, na timu zote zilijaribu kumiliki mpira na kutengeneza nafasi. Aston Villa walionyesha utulivu mkubwa walipopata nafasi, jambo lililoanza kuzaa matunda…

Read More

AFCON 2025: Uganda 1-1 Tanzania, Msuva atwaa tuzo

MCHEZO wa pili kati ya mitatu katika hatua ya makundi umekamilika kwa wababe wawili kutoshana nguvu na kugawana pointi mojamoja. Baada ya dakika 90 nchini Morocco leo Desemba 27 2025 ubao umesomaUganda 1-1 Tanzania wakigawana pointi katika kundi C. Tanzania ilianza kupata goli la kuongoza dakika ya 59 kupitia kwa nyota Simon Msuva ambaye alifunga…

Read More

EPL, Serie A na AFCON 2025 Mechi Zinazovutia Leo Mashabiki, Tanzania Vs Uganda

Anza kutengeneza pesa zako na wakali wa ubashiri Tanzania yaani Meridinabet kwani ODDS za kibabe zipo kwenye michuano hii mikubwa ya AFCON. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa. EPL kama kawaida itarindima ambapo Manchester City watakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Nottingham Forest huku mechi ya mwisho kukutana, Pep Guardiola na vijana wake walishinda….

Read More

Hiba Abouk Aomba Msamaha kwa Achraf Hakimi Baada ya Talaka, Mashaka Kuhusu Sababu Za Nje

Mke wa zamani wa nyota wa PSG, Achraf Hakimi, Hiba Abouk, amedaiwa kuomba msamaha na kueleza kuzungushwa na majuto kwa kuomba talaka. Vyanzo vya karibu vinavyomfahamu mwanamitindo huyo wa Hispania vinadai kwamba Abouk alitenda kwa mihemko baada ya kuathiriwa na marafiki wake, na sasa anamuomba Hakimi amrudie. Hata hivyo, hali hii imeibua mashaka miongoni mwa…

Read More

Morocco washikwa — Mali wawatibulia sherehe

Wenyeji wa AFCON 2025, Morocco, wamelazimishwa sare ya 1–1 na Mali kwenye dimba la Prince Moulay Abdellah, uwanja wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 69,500. Morocco walitangulia kwa penalti ya Brahim Diaz dakika ya 45+5’, kabla ya Sinayoko kuisawazishia Mali kwa mkwaju wa penalti dakika ya 64’. FT: Morocco 🇲🇦 1–1 🇲🇱 Mali⚽ 45+5’ — Diaz…

Read More

Hassan Mwakinyo amchapa Eribo kwa KO raundi ya pili

Bondia nyota wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameendeleza ubabe baada ya kushinda kwa knockout (KO) dhidi ya mpinzani wake kutoka Nigeria, Eribo, katika pambano lililofanyika usiku wa leo kwenye Ukumbi wa Warehouse, Masaki — Dar es Salaam. Mwakinyo alimaliza kazi ndani ya mizunguko miwili tu, akitumia umakini na kasi kubwa, jambo lililowafanya mashabiki waliokuwa ukumbini kusimama…

Read More