
HIKI HAPA CHUMA CHA PILI KUTAMBULISHWA SIMBA SC
Baada ya Rushine De Reuck Julai 29 akiwa ni beki na mchezaji wa kwanza kutambulishwa unyamani, Julai 30 nyota mwingine ametambulishwa. Ni Alassane Kante ambaye ni kiungo aliyekuwa anacheza CA Bizertin ya Tunisia atakuwa ndani ya Simba SC msimj wa 2025/26. Kante aliwaaga mashabiki wake Tunisia na video yake ilizua gumzo wakati akiwaaga mashabiki wa…