
SIMBA SC YAREJESHA SHUKRANI, MIPANGO YAANZA
BAADA ya kupishana na mataji yote ndani ya msimu wa 2024/25, nahodha wa Simba SC, Mohamed Hussen Zimbwe Jr amerejesha shukrani kwa mashabiki na kubainisha kuhusu mipango ya msimu mpya wa 2025/26. Mchezo wa mwisho kwenye Ligi Kuu Bara kwa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids ilikuwa Juni 25 2025 baada ya dakika…