
PAMBA JIJI YASITISHA MKATABA NA KOCHA FRED MINZIRO, YAANZA KUSAKA MRITHI WAKE
Mwanza, Julai 28, 2025 – Klabu ya Pamba Jiji FC imetangaza kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na kocha wao mkuu Fred Felix Minziro, baada ya pande zote mbili kuridhiana kuhitimisha ushirikiano wao. Taarifa rasmi ya klabu imethibitisha kuwa hatua hiyo imefikiwa kwa mazungumzo ya amani, bila mvutano wowote, na kwamba uongozi unatoa shukrani kwa Kocha…