KAGERA SUGAR KAMILI GADO KUIVAA SIMBA

BENCHI la ufundi la Kagera Sugar limebainisha kuwa linafanyia kazi makosa kwenye mechi zao zilizopita ili kupata matokeo katika mechi zijazo. Mchezo wao ujao kwenye ligi ni dhidi ya Simba unatarajiwa kuchezwa Desemba 15 na kikosi hicho kinaendelea na mazoezi Uwanja wa Uhuru. Marwa Chamberi, Kocha msaidizi wa Kagera Sugar amesema kuwa walipata muda wa…

Read More

MFALME MWINGINE HUYU HAPA 888STARZ JIUNGE NAYE

JINSI YA KUJIUNGA NA 888STARZ Jiunge na kampuni inayofanya vizuri kwenye mpango mzima wa ubashiri na ubashiri kama Mfalme. Pata bonasi ya TSH 335,000 bure kwa kutumia Promo code: CHAMA kwenye Deposit ya Kwanza. Ni rahisi sana jinsi ya Kujisajili na 888starz Tanzania! Bonyeza link upakue App https://aff1ect8.com/9sQk4Q Kisha bonyeza Registration by One-click Kisha kwenye…

Read More

MOTO UTAWAKA KUNDI F LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO

Moto unakwenda kuwaka leo katika ligi ya mabingwa ulaya leo haswa kwenye kundi F ambalo wengi waliamua kuliita kundi la kifo kutokana na ugumu ambao upo kwenye kundi hilo na Meridianbet hawako nyuma kwani wametoa ODDS KUBWA kwenye michezo hiyo. Kundi F linaundwa na timu kama PSG, Newcastle United, Ac Milan, na Borussia Dortmund ambapo…

Read More

KIMATAIFA KAZI KUBWA IFANYIKE, INAWEZEKANA

SIO Yanga wala Simba kwenye anga la kimataifa hakuna mwenye kazi nyepesi kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu katika hatua ya makundi. Tumeshuhudia namma mechi za kimataifa wapinzani walivyo wagumu na mechi ni ngumu. Hii inatokana na aina ya wachezaji pamoja na timu husika kuwa na mipango kazi ofauti na ile ambayo imezoeleka kwenye ligi ya…

Read More

MASTAA HAWA YANGA HABARI NYINGINE KIMATAIFA

MASTAA wa Miguel Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi wakiongozwa na Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli, Kennedy Musonda ni habari nyingine. Nyota hao ushirikiano wao umekuwa na matokeo chanya katika mechi mbili zilizopita za Ligi ya Mabingwa Afrika ambazo ni dakika 180 nyumbani na ugenini. Katika mchezo…

Read More

KAGERA SUGAR HASIRA KWA SIMBA

KLABU ya Kagera Sugar inayotumia Uwanja wa Kaitaba kwa mechi zake za nyumbani hasira zake kwa sasa ni kuelekea mchezo wao ujao dhidi ya Simba.  Kagera Sugar inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Simba Desemba 15 katika msako wa pointi tatu muhimu. Desemba 9 Kagera Sugar walishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga ukisoma Coastal…

Read More

BOSI SIMBA AMEFAFANUA NAMNA WATAKAVYOTUSUA CAF

AHMED Ally Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa bado kuna nafasi ya timu hiyo kutinga hatua ya robo fainali licha ya matokeo ambayo hayajawa mazuri kwao. Kwenye mechi tatu ambazo Simba imecheza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika imeambulia pointi mbili ikipoteza mchezo mmoja jambo ambalo linaongeza ugumu kwa timu…

Read More

PUMZIKA KWA AMANI NISHER

MTAYARISHA wa video za muziki Bongo, Nic Davie maarufu kwa jina la Director Nisher amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, saa nane na dakika tisa. Taarifa za kifo cha Nisher zimethibitishwa na familia yao, ambapo kupitia akaunti za mitandao ya kijamii, wameandika. “Familia ya Nabii Mkuu, Dkt. Geordavie inasikitika kutangaza kifo cha kijana wao mpendwa,…

Read More

AZAM FC WAJIKITA NAMBA MOJA, NADO AFANYA YAKE

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wameendelea kujikita kuwa namba moja kwenye msimamo baada ya kukomba ponti tatu mbele ya JKT Tanzania. Kwenye mchezo uliochezwa Desemba 11 2023 Uwanja wa Azam Complex unakuwa ni ushindi  wa tano mfululizo ndani ya Ligi Kuu Bara Mabao ya Azam FC yalifungwa na Sospeter Bajana dakika ya kwanza likawekwa usawa…

Read More

JINSI YA KUJIUNGA NA BETWINNER

KUNA namna nyingi ambazo zitakumpa pesa bila usumbufu hapa tunakuletea jinsi ya kujisajili Betwinner, ni rahisi sana ambapo unatakiwa kugusa link https://bwredir.com/24Ji?p=%2Fregistration%2F Kisha bonyeza Registration by One-click ‼️ Kisha kwenye Enter promo code jaza: CHAMA kama code ya bonasi Ukikamilisha hilo gusa kwenye REGISTER na utapewa Username (Login) na Password na hapo sasa utakuwa umejiunga na…

Read More

KOCHA SIMBA APISHANA NA TUZO

KOCHA Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha amepishana na tuzo ya kocha bora baada ya kuingia kwenye tatu bora ya wale wanaowania tuzo hiyo. Mrithi huyo wa mikoba ya Roberto Oliveira alikuwa kwenye chungu kimoja na Walid Regragui wa Morocco pamoja na Aliou wa Senegal. Mwisho kwenye usiku wa tuzo  kocha bora kwa timu za wanaume…

Read More

MAYELE APISHANA NA TUZO, PERCY AIBEBA

KWENYE usiku wa tuzo Tuzo Desemba 11 mchezaji bora wa mwaka kutoka kwenye mashindano ya vilabu ambaye kasepa na tuzo hiyo ni Percy Tau wa Al Ahly. Nyota huyo amewashinda wachezaji wenzake ambao alikuwa nao kwenye fainali ambao ni Peter Shalulile wa Mamelodi na Fiston Mayele  ambaye yupo ndani ya Pyramids akitokea Yanga. Tuzo ya…

Read More