KAGERA SUGAR KAMILI GADO KUIVAA SIMBA
BENCHI la ufundi la Kagera Sugar limebainisha kuwa linafanyia kazi makosa kwenye mechi zao zilizopita ili kupata matokeo katika mechi zijazo. Mchezo wao ujao kwenye ligi ni dhidi ya Simba unatarajiwa kuchezwa Desemba 15 na kikosi hicho kinaendelea na mazoezi Uwanja wa Uhuru. Marwa Chamberi, Kocha msaidizi wa Kagera Sugar amesema kuwa walipata muda wa…