MEDDIE KAGERE NA UJUMBE WAKE MAPINDUZI CUP
FULANA ya Meddie Kagere mshambuliaji wa zamani wa Simba na Gor Mahia imezua gumzo kutokana na ujumbe wake ambao uliandikwa wakati akishangilia. Ni kwenye Mapinduzi Cup 2023 ambapo mambo yanazidi kuwa katika ubora baada ya wanafainali 2022 kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya JKU SC. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma JKU SC 1-4…