
KIUNGO MNIGERIA KUNOGESHA SIMBA DAY
KIUNGO Mnigeria,Nelson Okwa aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Rivers United uhakika ni mali ya Simba hivyo atakuwa ni miongoni mwa wale ambao watanogesha Simba Day. Nyota huyo alikuwa kwenye mazungumzo ya mwisho na mabosi wa Simba ambao walikuwa wakihitaji kuweza kuinasa saini yake. Kiungo huyo ni raia wa Nigeria anakuwa mchezaji wa kwanza ndani…