Kuwa Tajiri na Mechi za Leo

Ni rahisi sana kupuna mpunga wako ukiwa na Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Tukianza na BUNDESLIGA leo hii Bayer Leverkusen  atakipiga dhidi ya ST Pauli ambao wapo nafasi ya 15 kwenye ligi wakishinda mechi 3 pekee hadi sasa. Alonso na vijana wake…

Read More

CLEMENT MZIZE ANA KAZI KUBWA YANGA

CLEMENT Mzize mshambuliaji wa Yanga ana maajabu yake ndani ya Bongo kutokana na kupenya katika kikosi cha kwanza mbele ya miamba Prince Dube, Jean Baleke, Kennedy Musonda ambao wote ni washambuliaji akiwa na kazi kubwa ya kufanya kutimiza majukumu yake. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar Mzize alianzia benchi na alipopata nafasi…

Read More

MSUVA: TAIFA STARS NI YA KILA MMOJA

NYOTA wa timu ya taifa ya Tanzania, Simon Msuva ameweka wazi kuwa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni ya kila mmoja hivyo anayepewa nafasi ya kuitwa ana nafasi ya kupeperusha vema bendera ya Tanzania. Msuva hayupo kwenye orodha ya wachezaji waliochaguliwa kuunda kikosi cha Stars kwa ajili ya kuwania kufuzu AFCON 2025 Morocco…

Read More

CHAMA KALIAMSHA BALAA UPYA HUKO

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga, Clatous Chama ameliamsha balaa upya kutokana na mwendelezo wake wa ubora kwenye anga la kimataifa ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika katika kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Chama amekuwa gumzo kwa kuwa kwenye mchezo dhidi ya Vital’O uliochezwa Uwanja wa Azam Complex waliposhinda mabao…

Read More

MUTALE MAMBO BADO NDANI YA SIMBA

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, kuna uwezekano akakosekana kwenye mchezo ujao wa ligi. Ni nyota Joshua Mutale yeye kwa upande wake mambo bado kutokana na kutokuwa fiti kwa sasa wakati timu hiyo ikiwa kwenye maandalizi ya mchezo dhidi ya Fountain Gate. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo…

Read More