
KIUNGO MGUMU AREJEA NA KUANZA KAZI SIMBA
ULE uwezo uliopo kwenye miguu ya kiungo mgumu wa Simba, Sadio Kanoute uliwazubaza Waarabu wa Morocco, Wydad Casablanca kutokana na balaa aliloonyesha. Ikumbukwe kwamba Kanoute alirejea na kuanza kikosi cha kwanza licha ya kukosekana kwenye mechi nne mfululizo ikiwa ni pamoja na mchezo dhidi ya Yanga. Alikosekana mchezo dhidi ya Raja Casablanca hatua ya makundi,…