KIKOSI CHA SIMBA DHIFI Y WYDAD

KIKOSI cha Simba dhidi ya Wydad Casablanca mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua  kipo namna hii:- Ally Salim ameanza langoni, Shomari Kapombe, Henock Inonga, Joash Onyango, Mohamed Hussein amevaa kitambaa cha unahodha. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute katika eneo la kiungo mkabaji. Kibu Dennis,Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama upande wa viungo washambuliaji na Jean…

Read More

Blackjack Live Ni Sloti Rahisi Kushinda Hela Meridianbet

Sloti ya Blackjack Live      Kasino ya Mtandaoni Meridianbet kwa kushirikiana Expanse Studios wamekuja na sloti ya kijanja ya Blackjack Live/ mchezo wa karata ni sloti yenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack Live ni mchezo unaopendwa na kuchezwa sana ulimwenguni. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa burudani na ushindi kupitia sloti ya Blackjack…

Read More

KIMATAIFA NGOMA NI NGUMU SIO SIMBA,YANGA

NGOMA ni nzito kwa wawakilishi wa Tanzania, Simba na Yanga kwenye anga la kimataifa kutokana na kilatimu kuwa imara kwenye ushambuliaji huku Simba ikiwa na tatizo kwenye ulinzi. Roberto Oliveira raia wa Brazil anakiongoza kikosi cha Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika huku Nasreddine Nabi raia wa Tunisia yupo na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho…

Read More

MITAMBO YA KAZI HII HAPA SIMBA YATAJWA

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema uwepo wa nyota kama Clatous Chama, Saido Ntibanzokiza, Kibu Dennis pamoja na wachezaji wengine wote wa Simba unampa nguvu ya kuamua nani ataanza kikosi cha kwanza na kupata matokeo. Ni dakika 1,710 ambazo ni mechi 19 mfululizo za ligi kocha huyo akishirikiana na Juma Mgunda wameongoza bila kufungwa…

Read More

SIMBA HESABU ZAO KWA WYDAD

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya pili dhidi ya Wydad Casablanca. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mohamed V, nchini Morocco baada ya robo fainali ya kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Wydad Casablanca. Ni Ijumaa ya…

Read More

KIPA SIMBA AWEKA REKODI YAKE MATATA

ALLY Salim kipa namba tatu wa Simba ameonesha uimara wake akiwa langoni ndani ya dakika 270 kwa kuyeyusha dakika zote hizo bila kutunguliwa hata walipokutana na watani zao wa jadi Yanga. Nyota huyo alipewa mikoba ya kipa namba moja wa Simba Aishi Manula na ile ya kipa namba mbili Beno Kakolanya kwenye mechi tatu mfululizo….

Read More

CITY YATINGA NUSU FAINALI UEFA

MANCHESTER City inatinga hatua ya nusu fainali UEFA Champions League kwa jumla ya ushindi wa mabao 1-4. Katika mchezo wa robo fainali uliochezwa Allianz Arena ubao ulisoma Bayern Munich 1-1 City. City ilianza kupata ushindi kupitia kwa Erling Haaland dakika ya 57. Ni Joshua Kimmich dakika ya 83 alipachika bao katika mchezo huo kwa pigo…

Read More

HAPA NDIPO YANGA WALIPOVURUGWA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kilichowavuruga dhidi ya Simba ni bao la mapema ambalo chanzo chake hakikuwa cha uhakika. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Aprili 16, ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 2-0 Yanga huku bao la kwanza likifungwa na Henock Inonga. Inonga alipachika bao hilo dakika ya kwanza akitumia…

Read More

SIMBA YAKUNJA MKWANJA WA M-BET M 100

WAKATI wachezaji wa Simba wakitarajia kuanza mazoezi leo Aprili 18,2023 kwa ajili ya mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Club Athletic ya Morocco, wadhamini wakuu wa timu hiyo, kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-Bet Tanzania imekabidhi bonasi ya Sh milioni 100. Wachezaji wa Simba walikuwa kwenye…

Read More

YANGA BADO WANA JAMBO LAO

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kupoteza mchezo wao dhidi ya Simba sio mwisho wa kazi maisha lazima yaendelee. Kabla ya mchezo Aprili 16 Kamwe alimwambia Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally kuwa wiki ya Jumatatu ya Aprili 17/2023 itakuwa ni ya masimango kwa mmoja huku mwingine akiwa na…

Read More

SIMBA WAANZA KUWAVUTIA KASI WAARABU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa umeanza maandalizi kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad ambao utachezwa Uwanja wa Mkapa. Huo ni mchezo wa hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa ambapo Simba inaipeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga hilo. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed…

Read More